Bado natafuta mantiki ya kujenga hili Daraja la Kigongo - Busisi kwa Tshs. Bilioni 700

Bado natafuta mantiki ya kujenga hili Daraja la Kigongo - Busisi kwa Tshs. Bilioni 700

Hata angefanya hivyo, wapo watu wangepinga na kusema Ni maendeleo ya vitu, huenda hata wewe ungekuwa ni mmoja wao.
Haiwezekani kila mtu akawa anajipangia Cha kufanya ndio maana Kuna vipaombele vya kitaifa vinavyoratibiwa na wataalamu wa uchumi baada ya kufanyia utafiti mahitaji ya msingi ya wananchi.Kujenga viwanja ni upuuzi Kama huu tu wa madaraja.

Serikali umejenga vituo vya afya Kama 500 hivi umesikia nani anapinga? Sera ya afya ni kituo cha afya kila kata lakini Kuna zaidi ya kata 2000 hazina vituo vya afya hapo bado zahanati kila Kijiji nk

Hiyo pesa ingetisha vituo vya afya 120 kwa Bei ya serikali ya mln 500,huoni tungeendelea kupunguza tatizo?
 
Bunge lilihadili wakati wabunge wenu wamejifungia kupigana miti wakisingizia korona.

Mantiki utaijuaje wewe hata hesabu hujui. Muda watu wanapoteza hapo, pesa wanayolipa kuvusha magari na watu, haya kwa uchache kakake pale upige hesabu kisha ukipata jibu utuambie hiyo pesa itarudi baada ya muda gani.
[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Unaweza kuwa umeongea a point in one side, lakini hiyo point ikafifishwa na faida ya hilo daraja na pia kipato cha moja kwa moja kama tozo la kuvuka hilo daraja kama wanavyo fanya Kigamboni, pia kuna faida za kibiashara nk, kuniambia hizo faida hazipo nitakuelewa.
 
Wajengee hospitality pale walipo, wawe stabilized then ndio wapelekwe bugando. Kusafirisha wagonjwa mahututi ni ushamba. Lisu alipelekwa ubelgiji, je kuna daraja kati ya tz na ubelgiji
Tz to Ubelgiji ni Kilomita ngapi ?
 
G Sam,

We utakua hujakutana na adha ya usafiri wa kigongo fery hivi unajua kweli mkuu au unaropoka tu ionekane unaongea na ww hizo feri zipo hapo lakin hazikidhi maahitaji na unafikir kwa upeo wako feri ingekua ni suluhisho kuliko daraja?
 
Nkishasema siku sana kwamba kubishana na wafuasi wa Lisu ni kujishushia hadhi.
 
Kama ishu ni hospital fikiria hiyo hela zingejengwa hospital ngapi za maana katika hilo eneo na maeneo mengine?
Hospitali ni jambo moja, yapo mengi yenye maana yenye kuhitaji hilo daraja hata usafiri binafsi tu unahitaji hilo daraja. Kuna usafirishaji wa mizigo wenye uhitaji wa kuvuka hapo barabarani.

Kumbuka kuna ujenzi wa reli ya kisasa ambao ujenzi wa hilo daraja kunakuwa na link ya moja kwa moja wenye kutegemeana baina ya daraja na reli ya kisasa.

NOTE; KUPANGA NI KUCHAGUA KAMA CHADEMA WALIVYOAMUA KUNUNUA MAGARI KWA AJILI YA KAMPENI BADALA YA KUJENGA OFISI YA CHAMA TAIFA KUONDOKANA NA ULIPAJI WA PANGO LA NYUMBA.
 
Si kila daraja lipo kwa ajili ya kupata faida. Mwanza kuna hospitali kubwa ya kanda, unapotumia feri wagonjwa wanachelewa kuvuka na kuhatarisha uhai/afya wao/zao.

Pia kivuko cha feri hakiaminiki si tu kwa usalama lakini pia hata utengemano si muda wote kitakuwa kizima.

Na inawezekana hata hata kwa mwaka usiwahi kupita kwenye njia hii.

NOTE: NIMEKUJIBU LAKINI NATAMBUA WAZI UPO MLENGO WA KUPINGA.

..nadhani 700 billion is a lot of money.

..mimi kwa maoni yangu billion 700 zingeweza kufanya mambo mengi ya maendeleo hukohuko kanda ya ziwa badala ya kuziwekeza zote ktk daraja.

..na wananchi wa hilo eneo tayari wana usafiri wa barabara na feri za kuwafikisha Mwanza.

cc Manelezu
 
Kigoma haija unganishwa na lami, bil 700 zingemaliza kabisa tatizo la barabara za vumbi kigoma na hapo busis wakanunua kivuko cha bil 50
Mayanga Construction Company Limited! Tenda nyumbani
 
Nyie hamna jema katika nchi hii,

Sasahiv unaleta unafiki wako hapa wa Bora angenunua feri mpya wakati nyie hao hao mlikuwa mna mubeza kukarabati na kujenga meli mpya za ziwa Victoria kwa kusema hivyo siyo vipa umbele vya Tanzania.

Shame on you Wanafiki Wakubwa nyie.
Wangejua hiyo meli ilivyo na msaada mkubwa wasingeongea chochote
 
Kigoma haija unganishwa na lami . .. bil 700 zingemaliza kabisa tatizo la barabara za vumbi kigoma na hapo busis wakanunua kivuko cha bil 50
Hata ingeelekezwa kwenye barabara, bado mngekuja na kudai, no bora hizo hela wangegawiwa masikini mikopo isiyokuwa na riba[emoji2], nyinyi hamueleweki mnachokitaka.
 
Wabunge wenyewe mkichukua posho mnaingia mitini ,eti bungeni kuna corona,pathetic
 
Wabunge wenyewe mkichukua posho mnaingia mitini ,eti bungeni kuna corona,pathetic
Hawahusiki kwenye kupanga bajeti bungeni wanasubiri miradi ipitishwe wao wakiwa nje, ili baadae waanze kubweka [emoji2788].
 
Nani kakwambia kwamba watu wanaotumia kivugo hichoni wa hali ya chini ? Ulishawahi kupita katika vivuko hivyo ukaona adha wanayopata watumiaji wa vivuko hivyo ? Kabla ya kuandika uwe unafanya utafiti kwanza badala ya kuongozwa na ukaskazini. Daraja linalojengwa ni msaada mkubwa kwa wakazi wa kanda ya Ziwa na Tanzania kwa ujumla. G Sam
 
G Sam,

Nikushauri urudi darasa la uchumi iwapo wewe ni mchumi. Ila kukusaidia tu, moja ya adui mkubwa wa UMASKINI ni kutokujua thamani ya muda.
 
Hakuna anayeng'ang'ania Ikulu ila hatuna chama mbadala wa CCM, hivyo nchi yetu haiwezi kuongozwa na vibaraka wa mabeberu. Upo hapo ?
Hahaha unadhani kwanini wanang'ang'ania kubaki ikulu, ikiwaponyoka wajue pesa wata zinya.

Bahati yao tutakuwa tunawapa dhamana, kesi zitakuwa nyingi sana.
 
Hao ndio wakaskazini jasho linawatoka awamu hii, mimi nasema wanyooshwe tu
Nyie hamna jema katika nchi hii,

Sasahiv unaleta unafiki wako hapa wa Bora angenunua feri mpya wakati nyie hao hao mlikuwa mna mubeza kukarabati na kujenga meli mpya za ziwa Victoria kwa kusema hivyo siyo vipa umbele vya Tanzania.

Shame on you Wanafiki Wakubwa nyie.
 
Hakuna anayeng'ang'ania Ikulu ila hatuna chama mbadala wa CCM, hivyo nchi yetu haiwezi kuongozwa na vibaraka wa mabeberu. Upo hapo ?
Hahaha mwambieni apumzike, kaanza kampeni 2015 hadi leo 2020 haeleweki, anatafuta nini kuficha wizi alioufanya?!

Maovu yote yanajulikana, ukatili na roho mbaya vinafahamika, anatafuta nini!
 
Back
Top Bottom