Bado ni kitendawili waliofaidi mabilioni ya Justine Kasusura

Bado ni kitendawili waliofaidi mabilioni ya Justine Kasusura

Mtu kama huyu Kasurura ni kwamba hakuwa smart, sema dodo lilimdondokea akashindwa kucheza kama pele....

Waafrika wengi weusi hatujui kucheza na pesa vilivyo hasa tunapo piga tukio, wazungu, waarabu, wachina na hawa wasomali hapa afrika akiotea dodo ni ngumu sana kumkamata though wanaintelejensia wao wapo vizuri sana kwenye kuwasachi.

Tukio umepiga miezi kadhaa unaenda guest bubu na kimwana asee hii ni hollshit alafu unaenda lewa na kurudi chakariii, haya ndiyo yale ya Hushpupy yaani he caughted red handed na pesa kibao.

Pesa kwa mtu mweusi haijifichi kabisa showoff na blabla kibao..... bilioni 4.4 za mwaka 2001 yaani nimefanikiwa kutokomea niambia ndugu yangu mwaminifu anichimbie Andaki langu kabisa 😁

Ikishindikana kuchimbiwa Andaki najibadilisha mwonekano wote kabisa, yaani napita hapo JNIA na mkinijua lazima mtoke jasho.
Kama i was Christian i must be a muslim......change the full identities....ndevu za bandia, kama ni mweusi najikoboa kuwa white, milioni $2 si mchezo.
 
Ilikuwa Ijumaa ya Augost 3, 2001 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, ALFRED TIBAIGANA, alitangaza kutokea unyan'ganyi wa fedha kiasi cha U$D 2 Milioni (Tsh 4,400,000,000/=) uliofanyika majira ya saa 5 asubuhi nje kidogo ya "Airport" ya JKIA Augost 2, mwaka huo.

RPC TIBAIGANA alimtaja mtuhimiwa was wizi huo ni JUSTINE KAKURU KASUSURA, ambaye aliiuwa dereva wa gari la Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support yenye makao makuu yake eneo la Victoria, Dar es salaam.

Kamanda TIBAIGANA alisema mtuhumiwa huyo ametoweka na fedha hizo kusiko julikana na msako mkali umeanza nchi nzima hususan maeneo ya mipakani.

Aidha alitoa rai kwa wananchi na wasamaria wema kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kufanikisha kumkamata mtuhumiwa huyo. Lakini ilipita miezi 5 bila kukamatwa.

Kipindi cha miezi 5 bila kukamatwa kilizuwa gumzo kwa wananchi wengi wakiamini kuwa huenda kakimbilia nje ya nchi, lakini taarifa za siri zilipatikana na kusaidia kukamatwa kwake usiku wa manane, Jumatatu ya Desemba 24, mwaka 2001 katika Hoteli ijulikanayo kama "Three In One" iliyoko maeneo ya Soweto, Mbeya.

Inadaiwa KASUSURA alifika hotelini hapo siku ya Jumapili, Desemba 23, 2001 saa 12 jioni akitokea Sumbawanga akijifanya mfanyabishara akiwa amevalia kofia kubwa kuficha uso wake na kupewa chumba Na. 101K ambapo katika rejista alijisajili kwa jina bandia la JOHN LAIZER na kulipia chumba malazi ya siku moja kwa Sh 3,500/=.

Jioni yake baada ya kakamilisha taratibu za chumba alitoka kwenda kujivinjari na ndipo Askari walipoingia chumbani kwakwe kukuwekea mtego was kumnasa.

KASUSURA akiwa amekwisha ianza Kristmas alirejea huku usiku akiwa kalewa na kimwana wake na mara baada ya kuingia ndani, alikutana uso kwa uso na askari walioibuka kutoka uvunguni na kabatini na kumtia nguvuni kilaini.

Hate hivyo baada ya upekuzi alikutwa na akiwa na Sh 200.000/= tu.!.View attachment 2615019View attachment 2615020
Dah, siku zinaenda kasi sana
 
Mtu kama huyu Kasurura ni kwamba hakuwa smart, sema dodo lilimdondokea akashindwa kucheza kama pele....

Waafrika wengi weusi hatujui kucheza na pesa vilivyo hasa tunapo piga tukio, wazungu, waarabu, wachina na hawa wasomali hapa afrika akiotea dodo ni ngumu sana kumkamata though wanaintelejensia wao wapo vizuri sana kwenye kuwasachi.

Tukio umepiga miezi kadhaa unaenda guest bubu na kimwana asee hii ni hollshit alafu unaenda lewa na kurudi chakariii, haya ndiyo yale ya Hushpupy yaani he caughted red handed na pesa kibao.

Pesa kwa mtu mweusi haijifichi kabisa showoff na blabla kibao..... bilioni 4.4 za mwaka 2001 yaani nimefanikiwa kutokomea niambia ndugu yangu mwaminifu anichimbie Andaki langu kabisa 😁

Ikishindikana kuchimbiwa Andaki najibadilisha mwonekano wote kabisa, yaani napita hapo JNIA na mkinijua lazima mtoke jasho.
Kama i was Christian i must be a muslim......change the full identities....ndevu za bandia, kama ni mweusi najikoboa kuwa white, milioni $2 si mchezo.
Thamani ya wakati huo, Dola 1 ilikuwa Tshs. 1200 hivi
 
Ilikuwa Ijumaa ya Augost 3, 2001 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, ALFRED TIBAIGANA, alitangaza kutokea unyan'ganyi wa fedha kiasi cha U$D 2 Milioni (Tsh 4,400,000,000/=) uliofanyika majira ya saa 5 asubuhi nje kidogo ya "Airport" ya JKIA Augost 2, mwaka huo.

RPC TIBAIGANA alimtaja mtuhimiwa was wizi huo ni JUSTINE KAKURU KASUSURA, ambaye aliiuwa dereva wa gari la Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support yenye makao makuu yake eneo la Victoria, Dar es salaam.

Kamanda TIBAIGANA alisema mtuhumiwa huyo ametoweka na fedha hizo kusiko julikana na msako mkali umeanza nchi nzima hususan maeneo ya mipakani.

Aidha alitoa rai kwa wananchi na wasamaria wema kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kufanikisha kumkamata mtuhumiwa huyo. Lakini ilipita miezi 5 bila kukamatwa.

Kipindi cha miezi 5 bila kukamatwa kilizuwa gumzo kwa wananchi wengi wakiamini kuwa huenda kakimbilia nje ya nchi, lakini taarifa za siri zilipatikana na kusaidia kukamatwa kwake usiku wa manane, Jumatatu ya Desemba 24, mwaka 2001 katika Hoteli ijulikanayo kama "Three In One" iliyoko maeneo ya Soweto, Mbeya.

Inadaiwa KASUSURA alifika hotelini hapo siku ya Jumapili, Desemba 23, 2001 saa 12 jioni akitokea Sumbawanga akijifanya mfanyabishara akiwa amevalia kofia kubwa kuficha uso wake na kupewa chumba Na. 101K ambapo katika rejista alijisajili kwa jina bandia la JOHN LAIZER na kulipia chumba malazi ya siku moja kwa Sh 3,500/=.

Jioni yake baada ya kakamilisha taratibu za chumba alitoka kwenda kujivinjari na ndipo Askari walipoingia chumbani kwakwe kukuwekea mtego was kumnasa.

KASUSURA akiwa amekwisha ianza Kristmas alirejea huku usiku akiwa kalewa na kimwana wake na mara baada ya kuingia ndani, alikutana uso kwa uso na askari walioibuka kutoka uvunguni na kabatini na kumtia nguvuni kilaini.

Hate hivyo baada ya upekuzi alikutwa na akiwa na Sh 200.000/= tu.!.View attachment 2615019View attachment 2615020
Ilikuwa pesa nyingi sana kutokana na thamani ya fedha wakati huo.
 
Ilikuwa Ijumaa ya Augost 3, 2001 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, ALFRED TIBAIGANA, alitangaza kutokea unyan'ganyi wa fedha kiasi cha U$D 2 Milioni (Tsh 4,400,000,000/=) uliofanyika majira ya saa 5 asubuhi nje kidogo ya "Airport" ya JKIA Augost 2, mwaka huo.

RPC TIBAIGANA alimtaja mtuhimiwa was wizi huo ni JUSTINE KAKURU KASUSURA, ambaye aliiuwa dereva wa gari la Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support yenye makao makuu yake eneo la Victoria, Dar es salaam.

Kamanda TIBAIGANA alisema mtuhumiwa huyo ametoweka na fedha hizo kusiko julikana na msako mkali umeanza nchi nzima hususan maeneo ya mipakani.

Aidha alitoa rai kwa wananchi na wasamaria wema kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kufanikisha kumkamata mtuhumiwa huyo. Lakini ilipita miezi 5 bila kukamatwa.

Kipindi cha miezi 5 bila kukamatwa kilizuwa gumzo kwa wananchi wengi wakiamini kuwa huenda kakimbilia nje ya nchi, lakini taarifa za siri zilipatikana na kusaidia kukamatwa kwake usiku wa manane, Jumatatu ya Desemba 24, mwaka 2001 katika Hoteli ijulikanayo kama "Three In One" iliyoko maeneo ya Soweto, Mbeya.

Inadaiwa KASUSURA alifika hotelini hapo siku ya Jumapili, Desemba 23, 2001 saa 12 jioni akitokea Sumbawanga akijifanya mfanyabishara akiwa amevalia kofia kubwa kuficha uso wake na kupewa chumba Na. 101K ambapo katika rejista alijisajili kwa jina bandia la JOHN LAIZER na kulipia chumba malazi ya siku moja kwa Sh 3,500/=.

Jioni yake baada ya kakamilisha taratibu za chumba alitoka kwenda kujivinjari na ndipo Askari walipoingia chumbani kwakwe kukuwekea mtego was kumnasa.

KASUSURA akiwa amekwisha ianza Kristmas alirejea huku usiku akiwa kalewa na kimwana wake na mara baada ya kuingia ndani, alikutana uso kwa uso na askari walioibuka kutoka uvunguni na kabatini na kumtia nguvuni kilaini.

Hate hivyo baada ya upekuzi alikutwa na akiwa na Sh 200.000/= tu.!.View attachment 2615019View attachment 2615020

Mkuu ndio imeishia hapo au nisubiri itaendelea?
 
Wasiojua thamani na uzito wa pesa wataongea mambo mengi sana, labda niwaambie ni rahisi kuiba pesa kidogo kuliko kuiba pesa nyingi,

Chukulia hapo ulipo ukiwa na milion zako 2, itakuwa rahisi sana kuzibeba,lakini ikiwa milioni 20, itaanza kukutoa jasho maana mifukoni hakai, utaitaji begi,

Sasa jiulize huo mpunga wa kasusura utaubebaje? USAD milion mbili,thamani moja ya noti kubwa ni 100,ni ngumu sana, kwanza naamini mwamba hakuwa peke yake
 
Ilikuwa Ijumaa ya Augost 3, 2001 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, ALFRED TIBAIGANA, alitangaza kutokea unyan'ganyi wa fedha kiasi cha U$D 2 Milioni (Tsh 4,400,000,000/=) uliofanyika majira ya saa 5 asubuhi nje kidogo ya "Airport" ya JKIA Augost 2, mwaka huo.

RPC TIBAIGANA alimtaja mtuhimiwa was wizi huo ni JUSTINE KAKURU KASUSURA, ambaye aliiuwa dereva wa gari la Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support yenye makao makuu yake eneo la Victoria, Dar es salaam.

Kamanda TIBAIGANA alisema mtuhumiwa huyo ametoweka na fedha hizo kusiko julikana na msako mkali umeanza nchi nzima hususan maeneo ya mipakani.

Aidha alitoa rai kwa wananchi na wasamaria wema kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kufanikisha kumkamata mtuhumiwa huyo. Lakini ilipita miezi 5 bila kukamatwa.

Kipindi cha miezi 5 bila kukamatwa kilizuwa gumzo kwa wananchi wengi wakiamini kuwa huenda kakimbilia nje ya nchi, lakini taarifa za siri zilipatikana na kusaidia kukamatwa kwake usiku wa manane, Jumatatu ya Desemba 24, mwaka 2001 katika Hoteli ijulikanayo kama "Three In One" iliyoko maeneo ya Soweto, Mbeya.

Inadaiwa KASUSURA alifika hotelini hapo siku ya Jumapili, Desemba 23, 2001 saa 12 jioni akitokea Sumbawanga akijifanya mfanyabishara akiwa amevalia kofia kubwa kuficha uso wake na kupewa chumba Na. 101K ambapo katika rejista alijisajili kwa jina bandia la JOHN LAIZER na kulipia chumba malazi ya siku moja kwa Sh 3,500/=.

Jioni yake baada ya kakamilisha taratibu za chumba alitoka kwenda kujivinjari na ndipo Askari walipoingia chumbani kwakwe kukuwekea mtego was kumnasa.

KASUSURA akiwa amekwisha ianza Kristmas alirejea huku usiku akiwa kalewa na kimwana wake na mara baada ya kuingia ndani, alikutana uso kwa uso na askari walioibuka kutoka uvunguni na kabatini na kumtia nguvuni kilaini.

Hate hivyo baada ya upekuzi alikutwa na akiwa na Sh 200.000/= tu.!.View attachment 2615019View attachment 2615020
Umedodosa tu! Kuna watu walipata shida na hii kitu, we acha tu. Yeye aliponzwa na kupenda K za kubadili. Aligundulika Police station baada ya wanawake wawili kumgombea na kupelekana polisi, ndipo police mmoja akamwangalia na kuhisi ni Kasusura. Mwema ambaye wakati huo alikuwa RPC wa Mbeya na baadaye IGP akachukua ujiko
 
Ilikuwa Ijumaa ya Augost 3, 2001 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, ALFRED TIBAIGANA, alitangaza kutokea unyan'ganyi wa fedha kiasi cha U$D 2 Milioni (Tsh 4,400,000,000/=) uliofanyika majira ya saa 5 asubuhi nje kidogo ya "Airport" ya JKIA Augost 2, mwaka huo.

RPC TIBAIGANA alimtaja mtuhimiwa was wizi huo ni JUSTINE KAKURU KASUSURA, ambaye aliiuwa dereva wa gari la Kampuni ya Ulinzi ya Knight Support yenye makao makuu yake eneo la Victoria, Dar es salaam.

Kamanda TIBAIGANA alisema mtuhumiwa huyo ametoweka na fedha hizo kusiko julikana na msako mkali umeanza nchi nzima hususan maeneo ya mipakani.

Aidha alitoa rai kwa wananchi na wasamaria wema kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi ili kufanikisha kumkamata mtuhumiwa huyo. Lakini ilipita miezi 5 bila kukamatwa.

Kipindi cha miezi 5 bila kukamatwa kilizuwa gumzo kwa wananchi wengi wakiamini kuwa huenda kakimbilia nje ya nchi, lakini taarifa za siri zilipatikana na kusaidia kukamatwa kwake usiku wa manane, Jumatatu ya Desemba 24, mwaka 2001 katika Hoteli ijulikanayo kama "Three In One" iliyoko maeneo ya Soweto, Mbeya.

Inadaiwa KASUSURA alifika hotelini hapo siku ya Jumapili, Desemba 23, 2001 saa 12 jioni akitokea Sumbawanga akijifanya mfanyabishara akiwa amevalia kofia kubwa kuficha uso wake na kupewa chumba Na. 101K ambapo katika rejista alijisajili kwa jina bandia la JOHN LAIZER na kulipia chumba malazi ya siku moja kwa Sh 3,500/=.

Jioni yake baada ya kakamilisha taratibu za chumba alitoka kwenda kujivinjari na ndipo Askari walipoingia chumbani kwakwe kukuwekea mtego was kumnasa.

KASUSURA akiwa amekwisha ianza Kristmas alirejea huku usiku akiwa kalewa na kimwana wake na mara baada ya kuingia ndani, alikutana uso kwa uso na askari walioibuka kutoka uvunguni na kabatini na kumtia nguvuni kilaini.

Hate hivyo baada ya upekuzi alikutwa na akiwa na Sh 200.000/= tu.!.View attachment 2615019View attachment 2615020
Nimeisahau hii kesi..hivi hukumu yake ilikuwaje‽
 
Wasiojua thamani na uzito wa pesa wataongea mambo mengi sana, labda niwaambie ni rahisi kuiba pesa kidogo kuliko kuiba pesa nyingi,

Chukulia hapo ulipo ukiwa na milion zako 2, itakuwa rahisi sana kuzibeba,lakini ikiwa milioni 20, itaanza kukutoa jasho maana mifukoni hakai, utaitaji begi,

Sasa jiulize huo mpunga wa kasusura utaubebaje? USAD milion mbili,thamani moja ya noti kubwa ni 100,ni ngumu sana, kwanza naamini mwamba hakuwa peke yake
Hichi ndiyo hua nawaambia washkaji zangu kwamba 100M ni nyingi ila iwe ya halali ikifikia ikiwa ni 100M ila inabidi ujifiche utaiona si chochote.

Nafikiri mwaka juzi kuna walinzi watatu kama niko sahihi waliiba zaidi ya 200M ila wakakamatwa Mbeya wakiwa wamenunua bodaboda, flat screen ya Sundar. Na nyingine ikakutwa.

Nafikiri wana idea ya kuiba lakini ni plan wanaipata baada ya kujikutana ana kwa ana na pesa so hata mpango wa kutoroka hawaujui au hawana. Unajikuta una hela nyingi lakini hata wa kumuambia nataka kutorokea Burundi huna.
 
Back
Top Bottom