Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

Watanzania wenye mtindio wa ubongo na wavutabange walijitahidi kumponda JPM lakini he was the best.
Mei Mosi alifanya nn?
Kama vp Zingatia ushauri wa Zito.
Mama kazi iendelee
 
Magufuli hafui dafu kwa mama kwa lolote lile kwanzia umombo, busara, exposure. Nk mama ni next level
 
Mwache JPM apumzike
Kushughulikashughulika na marehemu huo ni wanga
Shughulika na aliye hai kwakua anaweza kukujibu madai yako
Kama unatamani sana kushughulika na marehemu mfate huko alikoenda.
 
Mchinga sound
 
Your browser is not able to display this video.
 
Mwache JPM apumzike
Kushughulikashughulika na marehemu huo ni wanga
Shughulika na aliye hai kwakua anaweza kukujibu madai yako
Kama unatamani sana kushughulika na marehemu mfate huko alikoenda.
Tunashughulika na Samia. Kuzimu kama una hamu tangulia.
 

CCM tafuteni Mgombea mwingine​

 
Ubora wa rais hautokani na kupandisha mishahara, ni bora mishahara iwe ya kawaida lakini mfumuko wa bei udhibitiwe. Angepewa muda wa kutosha nchi hii ingeenda mbali sana.
Magufuli alipewa zaidi ya miaka mitano na hakuwahi kupandisha mishahara, kuajiri wala kutoa unafuu wa kimaisha zaidi ya kuwaambia watanzania wachape tu kazi, wafunge mikanda na kupiga marufuku siasa za uhuru, uwazi na Demokrasia.

Kwenye mambo ya wafanyakazi na haki zao Magufuli alikuwa mtu wa ovyo kupitiliza. Kwenye nyongeza za mishahara mpaka sasa sijaona tofauti ya Magufuli na Samia, wote wamekaa kitapeli tapeli sana.
 

Hahahahahaha
 
Rejea post uliyoniquote.
Nimerejea. Ninachoona ni kuwa umeamini kuwa kuna nyongeza. Hapo ndipo uliponiona mtoto.
Umefikiria kuwa sasa ni mwaka,mama yako ndiyo anafikiria ku-calculate mshahara wako?

Siasa ngumu sana. Tunaweza gombana huku, mama yako anatanua US akizindua album
 
Sasa mkuu Sifa zote ulizomsifia magufuli ungeelekeza kwenye mengine tu maana kwa wafanyakazi hakufanya chochote ni uyu mama kapunguza Kodi na kupandisha madaraja ambayo uyo malaika wenu hakuyafanya for five years hivi we jamaa ulikuwa unaongelea nini labda??
 
Duh๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜๐Ÿ™„๐Ÿค”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ