Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

Bado Rais Samia haja-calculate mshahara

Watanzania wenye mtindio wa ubongo na wavutabange walijitahidi kumponda JPM lakini he was the best.
Mei Mosi alifanya nn?
Kama vp Zingatia ushauri wa Zito.
Mama kazi iendelee
 
Magufuli hafui dafu kwa mama kwa lolote lile kwanzia umombo, busara, exposure. Nk mama ni next level
 
Tukiwa bado tunalamikia ziara ya mama ya week mbili abroad. Ziara ambayo haijawahi fanywa na mkuu yoyote wa nchi kusini mwa Africa toka tupate uhuru, tunapigwa kitu kizito sana kichwani. Tunaambiwa alikuwa busy anatanua akasahau watu wake katika siku muhimu sana inayoaamua mengi kisiasa. Tunaamini waliomwandali hotuba wako katika hot soup muda huu.

Sisi mwaka jana tuliambiwa mshahara utapanda. Tena kwa bashasha na mbwembwe. Nadhani lengo lilikuwa kuwaonyesha kuwa Magufuri alikuwa mbaya kwa wafanyakazi. Kwa kuwa Hajapandisha mshahara miaka mitano.

Mwaka huu tunaambiwa bado hawaja-calculate viwango. Mwaka mzima!!!. Pia hali ya uchumi wa Dunia ni mbaya. Tunaaminishwa kuwa Kenya, ambao wameweka viwango na kutamka kwa kujiamini kuwa unapanda kwa asilimia 12, wako sayari Jupiter.

Kenya wako makini na raia wao. Mambo yako moja kwa moja na hakuna ubabaishaji. Haya mambo aliyaishi mzee wetu marehemu, Magufuri. RIP
Mwache JPM apumzike
Kushughulikashughulika na marehemu huo ni wanga
Shughulika na aliye hai kwakua anaweza kukujibu madai yako
Kama unatamani sana kushughulika na marehemu mfate huko alikoenda.
 
Tukiwa bado tunalamikia ziara ya mama ya week mbili abroad. Ziara ambayo haijawahi fanywa na mkuu yoyote wa nchi kusini mwa Africa toka tupate uhuru, tunapigwa kitu kizito sana kichwani. Tunaambiwa alikuwa busy anatanua akasahau watu wake katika siku muhimu sana inayoaamua mengi kisiasa. Tunaamini waliomwandali hotuba wako katika hot soup muda huu.

Sisi mwaka jana tuliambiwa mshahara utapanda. Tena kwa bashasha na mbwembwe. Nadhani lengo lilikuwa kuwaonyesha kuwa Magufuri alikuwa mbaya kwa wafanyakazi. Kwa kuwa Hajapandisha mshahara miaka mitano.

Mwaka huu tunaambiwa bado hawaja-calculate viwango. Mwaka mzima!!!. Pia hali ya uchumi wa Dunia ni mbaya. Tunaaminishwa kuwa Kenya, ambao wameweka viwango na kutamka kwa kujiamini kuwa unapanda kwa asilimia 12, wako sayari Jupiter.

Kenya wako makini na raia wao. Mambo yako moja kwa moja na hakuna ubabaishaji. Haya mambo aliyaishi mzee wetu marehemu, Magufuri. RIP
Mchinga sound
 
Tukiwa bado tunalamikia ziara ya mama ya week mbili abroad. Ziara ambayo haijawahi fanywa na mkuu yoyote wa nchi kusini mwa Africa toka tupate uhuru, tunapigwa kitu kizito sana kichwani. Tunaambiwa alikuwa busy anatanua akasahau watu wake katika siku muhimu sana inayoaamua mengi kisiasa. Tunaamini waliomwandali hotuba wako katika hot soup muda huu.

Sisi mwaka jana tuliambiwa mshahara utapanda. Tena kwa bashasha na mbwembwe. Nadhani lengo lilikuwa kuwaonyesha kuwa Magufuri alikuwa mbaya kwa wafanyakazi. Kwa kuwa Hajapandisha mshahara miaka mitano.

Mwaka huu tunaambiwa bado hawaja-calculate viwango. Mwaka mzima!!!. Pia hali ya uchumi wa Dunia ni mbaya. Tunaaminishwa kuwa Kenya, ambao wameweka viwango na kutamka kwa kujiamini kuwa unapanda kwa asilimia 12, wako sayari Jupiter.

Kenya wako makini na raia wao. Mambo yako moja kwa moja na hakuna ubabaishaji. Haya mambo aliyaishi mzee wetu marehemu, Magufuri. RIP
 
Mwache JPM apumzike
Kushughulikashughulika na marehemu huo ni wanga
Shughulika na aliye hai kwakua anaweza kukujibu madai yako
Kama unatamani sana kushughulika na marehemu mfate huko alikoenda.
Tunashughulika na Samia. Kuzimu kama una hamu tangulia.
 

Tukiwa bado tunalamikia ziara ya mama ya week mbili abroad. Ziara ambayo haijawahi fanywa na mkuu yoyote wa nchi kusini mwa Africa toka tupate uhuru, tunapigwa kitu kizito sana kichwani. Tunaambiwa alikuwa busy anatanua akasahau watu wake katika siku muhimu sana inayoaamua mengi kisiasa. Tunaamini waliomwandali hotuba wako katika hot soup muda huu.

Sisi mwaka jana tuliambiwa mshahara utapanda. Tena kwa bashasha na mbwembwe. Nadhani lengo lilikuwa kuwaonyesha kuwa Magufuri alikuwa mbaya kwa wafanyakazi. Kwa kuwa Hajapandisha mshahara miaka mitano.

Mwaka huu tunaambiwa bado hawaja-calculate viwango. Mwaka mzima!!!. Pia hali ya uchumi wa Dunia ni mbaya. Tunaaminishwa kuwa Kenya, ambao wameweka viwango na kutamka kwa kujiamini kuwa unapanda kwa asilimia 12, wako sayari Jupiter.

Kenya wako makini na raia wao. Mambo yako moja kwa moja na hakuna ubabaishaji. Haya mambo aliyaishi mzee wetu marehemu, Magufuri. RIP

CCM tafuteni Mgombea mwingine​

 
Ubora wa rais hautokani na kupandisha mishahara, ni bora mishahara iwe ya kawaida lakini mfumuko wa bei udhibitiwe. Angepewa muda wa kutosha nchi hii ingeenda mbali sana.
Magufuli alipewa zaidi ya miaka mitano na hakuwahi kupandisha mishahara, kuajiri wala kutoa unafuu wa kimaisha zaidi ya kuwaambia watanzania wachape tu kazi, wafunge mikanda na kupiga marufuku siasa za uhuru, uwazi na Demokrasia.

Kwenye mambo ya wafanyakazi na haki zao Magufuli alikuwa mtu wa ovyo kupitiliza. Kwenye nyongeza za mishahara mpaka sasa sijaona tofauti ya Magufuli na Samia, wote wamekaa kitapeli tapeli sana.
 

Magufuli alipewa zaidi ya miaka mitano na hakuwahi kupandisha mishahara, kuajiri wala kutoa unafuu wa kimaisha zaidi ya kuwaambia watanzania wachape tu kazi, wafunge mikanda na kupiga marufuku siasa za uhuru, uwazi na Demokrasia.

Kwenye mambo ya wafanyakazi na haki zao Magufuli alikuwa mtu wa ovyo kupitiliza. Kwenye nyongeza za mishahara mpaka sasa sijaona tofauti ya Magufuli na Samia, wote wamekaa kitapeli tapeli sana.
Hahahahahaha
 
Rejea post uliyoniquote.
Nimerejea. Ninachoona ni kuwa umeamini kuwa kuna nyongeza. Hapo ndipo uliponiona mtoto.
Umefikiria kuwa sasa ni mwaka,mama yako ndiyo anafikiria ku-calculate mshahara wako?

Siasa ngumu sana. Tunaweza gombana huku, mama yako anatanua US akizindua album
 
Tukiwa bado tunalamikia ziara ya mama ya week mbili abroad. Ziara ambayo haijawahi fanywa na mkuu yoyote wa nchi kusini mwa Africa toka tupate uhuru, tunapigwa kitu kizito sana kichwani. Tunaambiwa alikuwa busy anatanua akasahau watu wake katika siku muhimu sana inayoaamua mengi kisiasa. Tunaamini waliomwandali hotuba wako katika hot soup muda huu.

Sisi mwaka jana tuliambiwa mshahara utapanda. Tena kwa bashasha na mbwembwe. Nadhani lengo lilikuwa kuwaonyesha kuwa Magufuri alikuwa mbaya kwa wafanyakazi. Kwa kuwa Hajapandisha mshahara miaka mitano.

Mwaka huu tunaambiwa bado hawaja-calculate viwango. Mwaka mzima!!!. Pia hali ya uchumi wa Dunia ni mbaya. Tunaaminishwa kuwa Kenya, ambao wameweka viwango na kutamka kwa kujiamini kuwa unapanda kwa asilimia 12, wako sayari Jupiter.

Kenya wako makini na raia wao. Mambo yako moja kwa moja na hakuna ubabaishaji. Haya mambo aliyaishi mzee wetu marehemu, Magufuri. RIP
Sasa mkuu Sifa zote ulizomsifia magufuli ungeelekeza kwenye mengine tu maana kwa wafanyakazi hakufanya chochote ni uyu mama kapunguza Kodi na kupandisha madaraja ambayo uyo malaika wenu hakuyafanya for five years hivi we jamaa ulikuwa unaongelea nini labda??
 
Sasa mkuu Sifa zote ulizomsifia magufuli ungeelekeza kwenye mengine tu maana kwa wafanyakazi hakufanya chochote ni uyu mama kapunguza Kodi na kupandisha madaraja ambayo uyo malaika wenu hakuyafanya for five years hivi we jamaa ulikuwa unaongelea nini labda??
Duh😃😁🙄🤔
 
Back
Top Bottom