City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 4,925
- 6,137
Nimerejea. Ninachoona ni kuwa umeamini kuwa kuna nyongeza. Hapo ndipo uliponiona mtoto.
Umefikiria kuwa sasa ni mwaka,mama yako ndiyo anafikiria ku-calculate mshahara wako?
Siasa ngumu sana. Tunaweza gombana huku, mama yako anatanua US akizindua album
Nani katamka? Uneshuka wapi na umepanda wqpInatamkwa Mara kwa Mara kuwa jamaa alishusha uchumi wa nchi. Lakini genge lile linamsifia kwa nguvu kubwa.
Mama mwenyewe kasema hatuna shukrani. Ina maana hatujaona lolote.Sasa mkuu Sifa zote ulizomsifia magufuli ungeelekeza kwenye mengine tu maana kwa wafanyakazi hakufanya chochote ni uyu mama kapunguza Kodi na kupandisha madaraja ambayo uyo malaika wenu hakuyafanya for five years hivi we jamaa ulikuwa unaongelea nini labda??
Hahahahahaha. Tumchague Ndugai basiMagufuli alipewa zaidi ya miaka mitano na hakuwahi kupandisha mishahara, kuajiri wala kutoa unafuu wa kimaisha zaidi ya kuwaambia watanzania wachape tu kazi, wafunge mikanda na kupiga marufuku siasa za uhuru, uwazi na Demokrasia.
Kwenye mambo ya wafanyakazi na haki zao Magufuli alikuwa mtu wa ovyo kupitiliza. Kwenye nyongeza za mishahara mpaka sasa sijaona tofauti ya Magufuli na Samia, wote wamekaa kitapeli tapeli sana.
Fungua akiliyako mkuu, kuwa the best sio mbaka upandishe mishahara,hata ukidhibiti mfumuko wa bei pia your the best.He was best? Alipandisha % ngapi enzi za utawala wake?
Yes, kama unataka kunya bure katika choo chakulipia bora ukakae na maviyako nyumbani kwako hakuna mtu atakae safisha maviyako bilamalipo.Haya nenda kakae na mavi yako nyumbani-Jiwe.
Acheni ujinga, kunawatu mitaani hawana kazi na maisha yanaendelea.Kuna watu ni wapumbavu sana mkuu.
!!!Acheni ujinga, kunawatu mitaani hawana kazi na maisha yanaendelea.
Apewe na Nani? Muda wa Kutosha SI anao Mwenyewe, ndio maana 'Akahamia' Marekani Wiki Bee... Na Bado Biden hakutaka Kuona naye! Nashaa Hata Vyombo vyetu vya Habari Havizungumzii hili!Ubora wa rais hautokani na kupandisha mishahara, ni bora mishahara iwe ya kawaida lakini mfumuko wa bei udhibitiwe. Angepewa muda wa kutosha nchi hii ingeenda mbali sana.
...Wote tulimsikia... Hakutaja Mwezi! Alisema tu 'Jambo letu lipo' na akaishia Hapo!Wewe ni punguani kwa ulichokiandika PERIOD na Mama amesema mishahara itapanda July watu watajua imepanda kwa kiasi gani unalaumu hata July haijafika what's up bro ?relax
CCM ni Ile Ile...!Magufuli alipewa zaidi ya miaka mitano na hakuwahi kupandisha mishahara, kuajiri wala kutoa unafuu wa kimaisha zaidi ya kuwaambia watanzania wachape tu kazi, wafunge mikanda na kupiga marufuku siasa za uhuru, uwazi na Demokrasia.
Kwenye mambo ya wafanyakazi na haki zao Magufuli alikuwa mtu wa ovyo kupitiliza. Kwenye nyongeza za mishahara mpaka sasa sijaona tofauti ya Magufuli na Samia, wote wamekaa kitapeli tapeli sana.
...Wapambe!....Bado anaupiga mwingi..Kwendra
Kuwa na subira ndugu yangu, Mwezi wa saba bado.Tukiwa bado tunalamikia ziara ya mama ya week mbili abroad. Ziara ambayo haijawahi fanywa na mkuu yoyote wa nchi kusini mwa Africa toka tupate uhuru, tunapigwa kitu kizito sana kichwani. Tunaambiwa alikuwa busy anatanua akasahau watu wake katika siku muhimu sana inayoaamua mengi kisiasa. Tunaamini waliomwandali hotuba wako katika hot soup muda huu.
Sisi mwaka jana tuliambiwa mshahara utapanda. Tena kwa bashasha na mbwembwe. Nadhani lengo lilikuwa kuwaonyesha kuwa Magufuri alikuwa mbaya kwa wafanyakazi. Kwa kuwa Hajapandisha mshahara miaka mitano.
Mwaka huu tunaambiwa bado hawaja-calculate viwango. Mwaka mzima!!!. Pia hali ya uchumi wa Dunia ni mbaya. Tunaaminishwa kuwa Kenya, ambao wameweka viwango na kutamka kwa kujiamini kuwa unapanda kwa asilimia 12, wako sayari Jupiter.
Kenya wako makini na raia wao. Mambo yako moja kwa moja na hakuna ubabaishaji. Haya mambo aliyaishi mzee wetu marehemu, Magufuri. RIP
Ww atuongee salary miaka 7 blbl tunakula ela ya kikwete ss tunaumiaFungua akiliyako mkuu, kuwa the best sio mbaka upandishe mishahara,hata ukidhibiti mfumuko wa bei pia your the best.