Good-bye
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,085
- 1,812
SawaWakija kujisaidia kwenye gate lako ndiyo utajua hujui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaWakija kujisaidia kwenye gate lako ndiyo utajua hujui
Hii tabia huwa inanikera sana basi tu!Kula muhindi, karanga,ndizi kiporo na kurusha mabaki babarani wakati gari inatembea.
Kutupa takataka mda wa usiku maeneo ya barabara.
Kumbuka wamezaliwa downtownNdiyo hiyo bado hawajaacha vijiji vyao walivyotoka, vipo kichwani
Kitabu gani Mkuu maana nimesoma vyote kuanzia The GodfatherUkisoma kitabu Cha Mario Puzzo amewaelezea vizuri Hawa watu kwa kiitalia wanaitwa Cafone
Fools dieKitabu gani Mkuu maana nimesoma vyote kuanzia The Godfather
Mkuu mimi siyo mkabila, mpaka sasa nimekwishapewa utamu na dada zako wawili, na wote wana shule zao nzuri na mizigo ya kuvunja chaggaHiyo no 12 tabia unayo wew....
Unawachukia wahaya hadi siku moja nikakuona unatukana Dada na mama zetu wa kihaya matusi yasiyo na staha hata kidogo....
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hivi nyie watu wa mijini tuambieni kusalimia wakubwa na kuudhuria misiba kuna athari gani mbaya kwa jamii unao ishi? Mimi naona ni limbukeni au rural-urban axcitement yenu kukosoa kila tabia ya mliko toka.hujakaa kijijini usiposalimia unajidai na unajifanya wewe ndo wewe kuna sehemu zingine watu wote wanajuana huyu mjukuu wa flani mtoto wa yule kijana wa mzee flani usiposalimia unaweza ukaitwa kwenye baraza la migogoro, ukaambiwa kwenye vikao vya familia, yani huku vijijini utasikia we kaka nani muwe mnaenda misibani yakiwakuta hapa shauri yenu ........
i mimi au mtoa mada ? 🤣 mi ni wa kijijini nalima zangu mahindi tu Mbinga hukuHivi nyie watu wa mijini tuambieni kusalimia wakubwa na kuudhuria misiba kuna athari gani mbaya kwa jamii unao ishi? Mimi naona ni limbukeni au rural-urban axcitement yenu kukosoa kila tabia ya mliko toka.
Wale watuma salamu redioni kila muda sijaona sehemu yao.NDIYO MAANA KUNA FINES SIKU HIZI, KUDHIBITI HUO USHAMBA
Umesahau na hizi:Wanasema unaweza ukamtoa mtu kijijini lakini ukashindwa kutoa kijiji kichwani mwake
Maana yake nini, watu wetu wengi bado ni washamba sana (wapori-porii), bado wanatambaa na mawazo ya kale vichwani mwao.
Haijalishi huyo mtu amesoma shule mpaka levels gani, au amekuwa exposed kiasi gani au ameishi mjini kwa muda gani. Japo saa nyingine watu wanadhani kuzaliwa tu mjini peke yake ni elimu kubwa au kinga ya ushamba.
Hapa sina nia ya kumsema mwendazake na genge lake (sukuma gang) au watu wa mikoani, la khasha, hii ni kwetu sote, ata wa mjini.
Wanafanya matendo au wanatekeleza mila na tamaduni bila kujali athari zake au kuhoji uhalali wake, faida zake na relevance yake katika maisha ya sasa. Wengi ni watu walio kariri kwamba yale yote ya vijijini kwao ndiyo sahihi bila kuzingatia kwamba dunia inakwenda kasi sana
Ninatoa mifano midogo katika haya yanayofanyika:
1. Kusalimia salimia watu hovyo;
2. Kulaumu watu wengine wasipo shiriki misiba au sherehe:
3. Ku force force kujuana juana tunakoishi au mitaaini kwenye hustle nakasirika zaidi nikiwa safarini, sikujui hunijui unaniongelesha nini?;
4. Kulamba viatu vya viongozi na watu matajiri au wenye umaarufu (uchawa)
5; Kusengenya watu makazini, majumbani, kwenye nyumba za ibada na kwenye siasa;
6. Ulozi, kuloga watu wasifanikiwe au kujihusisha na ushirikina na kufanya matambiko;
7. Kufuatilia mambo ya watu wengine, udaku na umbeya mambo ya kishamba sana;
8. Kuongea ongea kwa nguvu kwenye public places, hii ikiwa ni,pamoja na kuongea kwa nguvu ukitumia simu na kujiongelesha mambo yako au kuwasha simu na kusikiliza audio au kutazama video zenye sauti kali kwenye hadhara ya watu, huu ni ushamba mwingi sana;
9. Kuwasha maredio kwa sauti kubwa, majumbani, kwenye gari au boda boda, au kwenye pubs au bar huu ni ukenge sana;
10 Kutembea na wake au wapenzi wa watu ili usifiwe, huo ni ukenge mwingi sana;
11. Code za kilokole, kuvaa masuruali ya vitambaa yenye celebration au turn-ups na mashati oversize, yaani ni ushamba mwingi sana;
12 Kuwa na chuki na watu waliofanikiwa au kabila fulani au watu wa kanda fulani hizo ni code za kishamba sana;
13 Kukaa kwenye fast lane (upande wa kulia wa barabaara huku unaendesha gari taratibu na unaongea na simu ni ushamba mwingi sana;
14 Kupiga piga honi nyingi barabarani bila sababu za msingi au kupiga honi getini kwako ili ufunguliwe ni ushamba sana(weka motor kwenye geti yako acha kusumbua majirani);
15 Ku park hovyo gari barabarani kama mtu wa dala dala ni ushamba mwingi sana.
Kuna mambo mengi sana ya kijinga zaidi haya bado yanendelea kufanywa na kuaminiwa na watu ambao ukiwaona utashangaa.
Kuna baadhi ya nyuzi nimejaribu kutoa humu JF nakupata uhalisia wa watu wetu na mitazamo yao na hiili limenifanya nitafakari uzi huu.
Watanzania wengi hawaogi na hawapaki deodorant
Heri ya sikukuu ya sabasaba. Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia mbali perfume. Jana nilikua kwenye misongamano ya watu sehemu mbili tofauti katika jiji la Dar es...www.jamiiforums.com
Kwanini watu wa mikoani wanapenda kusalimia salimia?
Amani iwe nanyi wana JF Niko shamba kwa mitikasi ya hapa na pale, yaani kila mtu anasalimia, kwa siku unasalimiwa zaidi ya mara 200 Mambo ya kijinga sana na ni code za kigoloko sana, unakuta una mawazo yako mtu ana ku-distract halafu cha ajabu hakujui na hiyo salamu haijengi chochote. Kwa...www.jamiiforums.com
Ni Tanzania pekee ambapo ujinga unatetewa na kundi kubwa la watu
Wasalaam wana JF Katika kipindi cha miaka sita iliyopita nchi yetu ilishuhudia utawala usiofuata sheria na kutojali haki na heshima za binadamu. Watanzania wengi walikua wamekatwa mikia na kugugumia. Haki za kisiasa na kiraia ziliporwa na watu waliumizwa kimwili na kiuchumi na wengine kupoteza...www.jamiiforums.com
80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'
Wasalaam wana JF Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli. Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada. Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako...www.jamiiforums.com
Wizi wa mali za Umma ni reflection ya jamii ya watu wasiostaarabika
Kwa hasira kabisa ni wafokee wezi wote wa mali za umma. Jamii yoyote iliyostaarabika inatizama mustakabali wa vizazi vijavyo. Unapoiba pesa au mali za umma ni kielelezo cha ubinafsi kama mtu mmoja lakini kwa jamii nzima ni reflection ya kuwa jamii hiyo haijastaarabika. Vipo viashiria vingi...www.jamiiforums.com
Hii ni sehemu ndogo tu ya reflection ya uhalisia wa watu wetu unaojitokeza kwenye comments zao
Hoja hupingwa na hoja iliyo bora na si vinginevyo