Bado sehemu kubwa ya watu wetu wamenga'ng'ania vijiji kichwani mwao (waporipori)

Hiyo no 12 tabia unayo wew....

Unawachukia wahaya hadi siku moja nikakuona unatukana Dada na mama zetu wa kihaya matusi yasiyo na staha hata kidogo....



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo no 12 tabia unayo wew....

Unawachukia wahaya hadi siku moja nikakuona unatukana Dada na mama zetu wa kihaya matusi yasiyo na staha hata kidogo....



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mkuu mimi siyo mkabila, mpaka sasa nimekwishapewa utamu na dada zako wawili, na wote wana shule zao nzuri na mizigo ya kuvunja chagga
 
hujakaa kijijini usiposalimia unajidai na unajifanya wewe ndo wewe kuna sehemu zingine watu wote wanajuana huyu mjukuu wa flani mtoto wa yule kijana wa mzee flani usiposalimia unaweza ukaitwa kwenye baraza la migogoro, ukaambiwa kwenye vikao vya familia, yani huku vijijini utasikia we kaka nani muwe mnaenda misibani yakiwakuta hapa shauri yenu ........
 
Hivi nyie watu wa mijini tuambieni kusalimia wakubwa na kuudhuria misiba kuna athari gani mbaya kwa jamii unao ishi? Mimi naona ni limbukeni au rural-urban axcitement yenu kukosoa kila tabia ya mliko toka.
 
n
Hivi nyie watu wa mijini tuambieni kusalimia wakubwa na kuudhuria misiba kuna athari gani mbaya kwa jamii unao ishi? Mimi naona ni limbukeni au rural-urban axcitement yenu kukosoa kila tabia ya mliko toka.
i mimi au mtoa mada ? 🤣 mi ni wa kijijini nalima zangu mahindi tu Mbinga huku
 
Umesahau na hizi:
16. Kutembea na toothpick mdomoni kutwa nzima tena jitu jingine limeenda restaurant limemaliza kula linakaa hapo kupiga story huku linajichokonoa meno masaa yote bila kujali linawatia kichefuchefu wateja wanaokula
17. Kusalimia kwa kushikana mikono, unakuta jitu jingine linapenga makamasi linajifutia mikono halafu mkikutana linakusalimia kwa kushikana mikono! Mwingine ametoka kukojoa kichochoroni ameshika mboo au katoka kunya akajichambia magazeti au majani ya miti kucha zake zikagusa nnya halafu linakuja kukusalimia kwa mkono![emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…