Bado sijaelewa jambo moja: Hivi tunataka kuendesha SGR sambamba na reli ya zamani?

Bado sijaelewa jambo moja: Hivi tunataka kuendesha SGR sambamba na reli ya zamani?

Synthesizer

Platinum Member
Joined
Feb 15, 2010
Posts
12,699
Reaction score
22,598
Kuna kila dalili kwamba SGR itakapokamilika bado tutakuwa na reli ya zamani ikitoa huduma. Hapo mwanzo nilifikiri kwamba reli ya zamani itaendelea kutoa huduma kwa matawi ya Tabora - Mpanda, na labda Dar -es Salaam kwenda Tanga, Moshi na Arusha, ambako sijasikia lolote juu ya kuwepo kwa SGR.

Lakini kila habari zinapotolewa, sisikii hili likiwekwa wazi. Ninasikia tu kuhusu SGR sambamba na reli ya zamani, na manunuzi yakifanywa kwa ajili ya reli zote mbili.

Kwa nini tuendelee kuhudumia na kuwekeza kwenye reli zote mbili? Ni kupanua wigo wa huduma katika bei, kwamba SGR iwe kwa mabwana na reli ya zamani watwana?

Ninachelea kwamba uwepo wa SGR utafanya reli ya zamani iendeshwe kwa hasara iwapo tutaendelea kuitumia. Nilidhani labda SGR ikikamilika reli ya zamani itauzwa kama vyuma chakavu.

Labda ni ule uswahili wetu tu wa kiafrika, tunaendelea kutaka kumiliki vitu vya zamani, tunashindwa kuvitupa hata kama tumenunua kitu kipya mbadala
 
Kuna kila dalili kwamba SGR itakapokamilika bado tutakuwa na reli ya zamani ikitoa huduma. Hapo mwanzo nilifikiri kwamba reli ya zamani itaendelea kutoa huduma kwa matawi ya Tabora - Mpanda, na labda Dar -es Salaam kwenda Tanga, Moshi na Arusha, ambako sijasikia lolote juu ya kuwepo kwa SGR.

Lakini kila habari zinapotolewa, sisikii hili likiwekwa wazi. Ninasikia tu kuhusu SGR sambamba na reli ya zamani, na manunuzi yakifanywa kwa ajili ya reli zote mbili.

Kwa nini tuendelee kuhudumia na kuwekeza kwenye reli zote mbili? Ni kupanua wigo wa huduma katika bei, kwamba SGR iwe kwa mabwana na reli ya zamani watwana?

Ninachelea kwamba uwepo wa SGR utafanya reli ya zamani iendeshwe kwa hasara iwapo tutaendelea kuitumia. Nilidhani labda SGR ikikamilika reli ya zamani itauzwa kama vyuma chakavu.

Labda ni ule uwashili wetu tu wa kiafrika, tunaendelea kutaka kumiliki vitu vya zamani, tunashindwa kuvitupa hata kama tumenunua kitu kipya mbadala
Sarakasi za huu mradi ukizifuatilia sana unaweza kuwa chizi
 
Ndio utajua hakuna viongozi pale, kitu kama mabehewa hata kutoa maelezo ya maana kwamba ni kwa ajili ya treni ya zamani na sio SGR wameshindwa, ilikuwa ni kitu kidogo sana kueleza ukweli kuhusu yale mabehewa lakini nafikiri hata wao wenyewe hawaelewi tofauti au wanafikiri kila mtu fala kama wao kama yule aliyesema juzi vitu vimepanda bei kwa ajili ya Ukraine.
 
zote tutazitumia mkuu, wala hakuna shida katika hilo.


Yesu ni Kristo
Sasa what is the point? Navyoelewa, kuwa na SGR ni kuendana na maendeleo, kwamba hata usafirishaji wa abiria na mizigo unaenda kasi. Sasa unanunua komputer ya kisasa iliyo na kasi lakini unataka na ile ya mwaka 47 uendelee kuitumia huku ikikugharimu pesa nyingi za uendeshaji, kwa nini? Kwamba SGR haitakidhi mahitaji kama reli ya kati?
 
Ndio utajua hakuna viongozi pale, kitu kama mabehewa hata kutoa maelezo ya maana kwamba ni kwa ajiri ya treni ya zamani na sio SGR wameshindwa,ilikuwa ni kitu kidogo sana kueleza ukweli kuhusu yale mabehewa lakini nafikiri hata waowenyewe hawaelewi tofauti au wanafikiri kila mtu fala kama wao kama yule aliyesema juzi vitu vimepanda bei kwa ajiri ya Ukraine
Ina maana mama Samia anafanya maamuzi bila kuwashirikisha? Nilipata hisia kwamba hata uongozi wa TRC haukujua kama mabehewa yaliyokuwa yanapokelewa ni mapya au mitumba, ya reli ya zamani au SGR.

Kwa nini wanajikanyaga kueleza na kufafanua vitu vidogo sana hadi Samia atoe ufafanuzi?
 
Kuna kila dalili kwamba SGR itakapokamilika bado tutakuwa na reli ya zamani ikitoa huduma. Hapo mwanzo nilifikiri kwamba reli ya zamani itaendelea kutoa huduma kwa matawi ya Tabora - Mpanda, na labda Dar -es Salaam kwenda Tanga, Moshi na Arusha, ambako sijasikia lolote juu ya kuwepo kwa SGR.

Lakini kila habari zinapotolewa, sisikii hili likiwekwa wazi. Ninasikia tu kuhusu SGR sambamba na reli ya zamani, na manunuzi yakifanywa kwa ajili ya reli zote mbili.

Kwa nini tuendelee kuhudumia na kuwekeza kwenye reli zote mbili? Ni kupanua wigo wa huduma katika bei, kwamba SGR iwe kwa mabwana na reli ya zamani watwana?

Ninachelea kwamba uwepo wa SGR utafanya reli ya zamani iendeshwe kwa hasara iwapo tutaendelea kuitumia. Nilidhani labda SGR ikikamilika reli ya zamani itauzwa kama vyuma chakavu.

Labda ni ule uswahili wetu tu wa kiafrika, tunaendelea kutaka kumiliki vitu vya zamani, tunashindwa kuvitupa hata kama tumenunua kitu kipya mbadala
Na inafanyiwa ukarabati mkubwa
 
Kuna kila dalili kwamba SGR itakapokamilika bado tutakuwa na reli ya zamani ikitoa huduma. Hapo mwanzo nilifikiri kwamba reli ya zamani itaendelea kutoa huduma kwa matawi ya Tabora - Mpanda, na labda Dar -es Salaam kwenda Tanga, Moshi na Arusha, ambako sijasikia lolote juu ya kuwepo kwa SGR.

Lakini kila habari zinapotolewa, sisikii hili likiwekwa wazi. Ninasikia tu kuhusu SGR sambamba na reli ya zamani, na manunuzi yakifanywa kwa ajili ya reli zote mbili.

Kwa nini tuendelee kuhudumia na kuwekeza kwenye reli zote mbili? Ni kupanua wigo wa huduma katika bei, kwamba SGR iwe kwa mabwana na reli ya zamani watwana?

Ninachelea kwamba uwepo wa SGR utafanya reli ya zamani iendeshwe kwa hasara iwapo tutaendelea kuitumia. Nilidhani labda SGR ikikamilika reli ya zamani itauzwa kama vyuma chakavu.

Labda ni ule uswahili wetu tu wa kiafrika, tunaendelea kutaka kumiliki vitu vya zamani, tunashindwa kuvitupa hata kama tumenunua kitu kipya mbadala
Maisha ni upigaji na upigaji unahitaji Budget items
 
Ndio utajua hakuna viongozi pale, kitu kama mabehewa hata kutoa maelezo ya maana kwamba ni kwa ajiri ya treni ya zamani na sio SGR wameshindwa,ilikuwa ni kitu kidogo sana kueleza ukweli kuhusu yale mabehewa lakini nafikiri hata waowenyewe hawaelewi tofauti au wanafikiri kila mtu fala kama wao kama yule aliyesema juzi vitu vimepanda bei kwa ajiri ya Ukraine
Hapa wameamua kuepusha shari tu baada ya watu kupiga kelele sana kwamba kwanini serikali imenunua mabehewa mitumba halafu siyo mchongoko. Wakaamua yaende reli ya zamani.

Lakini kusudio halikuwa hilo, ukifuatilia hotuba ya Rais Samia kabla, maelezo ya Kadogosa kabla na ufafanuzi wa Gerson Msigwa baada ya kelele za wananchi.

Ukiwasikiliza wote hawa hawaongelei kabisa reli ya zamani.
 
Kuna kila dalili kwamba SGR itakapokamilika bado tutakuwa na reli ya zamani ikitoa huduma. Hapo mwanzo nilifikiri kwamba reli ya zamani itaendelea kutoa huduma kwa matawi ya Tabora - Mpanda, na labda Dar -es Salaam kwenda Tanga, Moshi na Arusha, ambako sijasikia lolote juu ya kuwepo kwa SGR.

Lakini kila habari zinapotolewa, sisikii hili likiwekwa wazi. Ninasikia tu kuhusu SGR sambamba na reli ya zamani, na manunuzi yakifanywa kwa ajili ya reli zote mbili.

Kwa nini tuendelee kuhudumia na kuwekeza kwenye reli zote mbili? Ni kupanua wigo wa huduma katika bei, kwamba SGR iwe kwa mabwana na reli ya zamani watwana?

Ninachelea kwamba uwepo wa SGR utafanya reli ya zamani iendeshwe kwa hasara iwapo tutaendelea kuitumia. Nilidhani labda SGR ikikamilika reli ya zamani itauzwa kama vyuma chakavu.

Labda ni ule uswahili wetu tu wa kiafrika, tunaendelea kutaka kumiliki vitu vya zamani, tunashindwa kuvitupa hata kama tumenunua kitu kipya mbadala
Ndio jibu hilo
 
Kwa kifupi hakuna (tena) SGR imeshafutwa kilichopo ni kuwaweka sawa tu kisaikolojia, kama Bwawa la Nyerere tu, …
 
Mbona Magari yao hawanunui Used?

TRC wanatumia Gari mpya kabisa 0KM
lakini kinachowafanya wawepo ni USED
 
Back
Top Bottom