Bado sijaelewa lengo kuu la kufufuliwa kwa "Kisumu port"

Bado sijaelewa lengo kuu la kufufuliwa kwa "Kisumu port"

Magu pekee hawezi geuza utendakazi wa Tz, yeye kazi yake ni kufuta wale anaona hawatendi kazi na kuandika wengine....
Wale wanaoendesha makampuni yenu ya kiserekali ndo Wana jukumu kuu.... Swali ni simple, ni mbinu ghani ambazo watatumia kuhakikisha hio reli ya central corridor haitakufa kama hapo awali?
Mbinu zile zile Ilizotumika kuongeza ufanisi serikalini,kupiga vita rushwa, na kuboresha utendaji kazi katika sector mbalimbali. Mwanzoni tulidhani uzembe na uwajibikaji serikalini hauwezi kupungua,au rushwa haiwezi kupungua, sasa hivi Hospitali za umma ndizo zinazo ongoza ktk kutoa Huduma bora.
 
Mbinu zile zile Ilizotumika kuongeza ufanisi serikalini,kupiga vita rushwa, na kuboresha utendaji kazi katika sector mbalimbali. Mwanzoni tulidhani uzembe na uwajibikaji serikalini hauwezi kupungua,au rushwa haiwezi kupungua, sasa hivi Hospitali za umma ndizo zinazo ongoza ktk kutoa Huduma bora.
Kwahivyo unaachosema ni kwamba mko na ndoto ...... well, your dreams are valid!!!!!
 
Wenzako wenye akili wameelewa vizuri kuhusu wasiwasi wangu, inaonekana uwezo wako wa kuelewa mada ngumu Kama hizi ni mdogo sana, muombe Tony254 akueleweshe nilichokusudia.
Hii ndio maaana nilikuuliza unijibu kuhusu reli yenu ya central corridor na bandari ya mwanza mlio ifufua juzi baada ya kufa kwa miaka mingi, manake wasi wasi wako wa Kisumu port pia ni sawa tu na Mwanza, na jibu lolote utakalo toa kutetea ufufuzi wa mwanza, jibu hilo hilo ndo linaweza kutumika kutetea Kisumu....

Kwahivyo labda wewe ndo una uwezo mdogo wa kuelewa manake hauoni kwamba Mwanza na Kisumu ziko gora moja.. Na badala ya kua na wasi wasi na Kisumu, unafaa uanze na hiyo ya Kwenu ya Mwanza
 
Kama kawaida yako, mzee wa "theory", tuambie gharama za kusafirisha tani moja/container moja toka Mombasa hadi Kampala, hiyo ndio pesa Mwenye Lori atapokea toka kwa mwenye mzigo.

Lori likipitia Kisumu port, mwenye Lori atalazimika kulipa gharama za tani moja/ container moja toka Kisumu hadi port bell, plus gharama za lori . lete hizo gharama tulinganishe, acha kuleta theory.

Sasa ni nani hapa ndo anapiga theory
Mbinu zile zile Ilizotumika kuongeza ufanisi serikalini,kupiga vita rushwa, na kuboresha utendaji kazi katika sector mbalimbali. Mwanzoni tulidhani uzembe na uwajibikaji serikalini hauwezi kupungua,au rushwa haiwezi kupungua, sasa hivi Hospitali za umma ndizo zinazo ongoza ktk kutoa Huduma bora.


NB:
Kila mtu anafaa kujua by now kwamba water transport ndo cheapest mode of transport kushinda reli, kushinda barabara... etc Nikiagizia bidhaa kutoka China less than 10 KG, nalipishwa 400ksh kama shipping cost!!!!!! ila kuleta huo mzigo kutoka Mombasa hadi nyumbani kwangu nalipa kama 5,000. Hauwezi ukaniambia eti itakua gali Kwa lorry kupitia Kisumu port kuliko kuenda na barabara hadi kampala..... Water transport is the most economical means of transport.
 
Hii ndio maaana nilikuuliza unijibu kuhusu reli yenu ya central corridor na bandari ya mwanza mlio ifufua juzi baada ya kufa kwa miaka mingi, manake wasi wasi wako wa Kisumu port pia ni sawa tu na Mwanza, na jibu lolote utakalo toa kutetea ufufuzi wa mwanza, jibu hilo hilo ndo linaweza kutumika kutetea Kisumu....

Kwahivyo labda wewe ndo una uwezo mdogo wa kuelewa manake hauoni kwamba Mwanza na Kisumu ziko gora moja.. Na badala ya kua na wasi wasi na Kisumu, unafaa uanze na hiyo ya Kwenu ya Mwanza
Soma post yangu #69. Kubali tu kwamba uwezo wenu wa akili ni mdogo, mnauliza mambo ambayo yameshajibiwa, hilo sio tatizo langu.
 
Sasa ni nani hapa ndo anapiga theory



NB:
Kila mtu anafaa kujua by now kwamba water transport ndo cheapest mode of transport kushinda reli, kushinda barabara... etc Nikiagizia bidhaa kutoka China less than 10 KG, nalipishwa 400ksh kama shipping cost!!!!!! ila kuleta huo mzigo kutoka Mombasa hadi nyumbani kwangu nalipa kama 5,000. Hauwezi ukaniambia eti itakua gali Kwa lorry kupitia Kisumu port kuliko kuenda na barabara hadi kampala..... Water transport is the most economical means of transport.
Acha theory nimekuambia lete gharama za kusafirisha tani moja toka Mombasa hadi Kampala kwa barabara, hiyo ndiyo pesa ya mwenye mzigo atamlipa mwenye lori. Mwenye Lori ataamua au kutumia barabara moja kwa moja hadi Kampala, au kwenda kulipa gharama za meli. Lete gharama za kusafirisha tani moja toka Kisumu hadi Port bell ili tuone kama ni nafuu.

Punguza theory nyingi, mbona gharama za kusafirisha mzigo kwa SGR yenu ni kubwa kuliko kutumia barabara wakati tulitegemea zingekua cheaper?. Acha theory za Maneno matupu, lete real data.
 
Acha theory nimekuambia lete gharama za kusafirisha tani moja toka Mombasa hadi Kampala kwa barabara, hiyo ndiyo pesa ya mwenye mzigo atamlipa mwenye lori. Mwenye Lori ataamua au kutumia barabara moja kwa moja hadi Kampala, au kwenda kulipa gharama za meli. Lete gharama za kusafirisha tani moja toka Kisumu hadi Port bell ili tuone kama ni nafuu.

Punguza theory nyingi, mbona gharama za kusafirisha mzigo kwa SGR yenu ni kubwa kuliko kutumia barabara wakati tulitegemea zingekua cheaper?. Acha theory za Maneno matupu, lete real data.
Wewe ndo ulikua unafaa ulete taarifa ya hatua ghani Mwanza port imechukua ili kuhakikisha yalio fanya central rail corridor kufa hapo zamani... Leta hayo maelezo kwanza! alafu ndo tuongee kuhusu gharama ya kuenda na L.Victoria vs gharama ya kuenda na gari
 
Kisumu port construction continues smoothly.
FB_IMG_15663037803168288.jpeg
 
Wewe ndo ulikua unafaa ulete taarifa ya hatua ghani Mwanza port imechukua ili kuhakikisha yalio fanya central rail corridor kufa hapo zamani... Leta hayo maelezo kwanza! alafu ndo tuongee kuhusu gharama ya kuenda na L.Victoria vs gharama ya kuenda na gari
Kila kitu kuhusu Mwanza port nimeekeza katika post #69, na hatua tunazochukua. Tafadhali ukishamaliza kusoma, lete hizo gharama nilizokuuliza, usitoroke.
 
Kila kitu kuhusu Mwanza port nimeekeza katika post #69, na hatua tunazochukua. Tafadhali ukishamaliza kusoma, lete hizo gharama nilizokuuliza, usitoroke.

Hii ndo post yako #69

Ngoja nikufahamishe kuhusu Mwanza port. Mwanza port inategemea sana mizigo ya Uganda kwa zaidi ya 70% kwa ustawi wake, mizigo hii hutokea Dar port kwa reli hadi Mwanza hatimae kuvushwa hadi Port bell na Jinja upande wa Uganda.

Kwa wafanyabiashara wa Uganda, ili wapate faida na kutumia bandari ya Mwanza, lazima mzigo ufike Mwanza kwa reli, sio barabara.

Reli yetu ilipoanza kuyumba, uwezo wake wa kufika mizigo Mwanza ulipungua sana, hivyo wafanyabiashara wa Uganda wakaanza kuikimbia na kuhamia Mombasa. Kumbuka kwa usafiri wa barabara, ni "cheap and faster" kufikisha mizigo Kampala kupitia Mombasa kuliko Dar, kutokana na umbali.

Usafiri pekee kwa wafanyabiashara wa Uganda kuvutika kutumia Dar - Mwanza Ports ni kutumia reli. Hii ndio sababu kubwa ya kufyfuliwa Mwanza port na reli yetu ya "Central corridor simultaneously", kwasababu " central railway is the major single very important feeder to Mwanza port, without which Mwanza port can't survive.

Nina uhakika historia ya Kisumu port na Mwanza Port zinalingana sana. Kisumu port ilitegemea sana rail ili kusafirisha mizigo kutoka Mombasa kwenda Uganda, na kutoka Uganda kwenda Mombasa, kama reli hiyo haifanyi kazi, chaguo linalobaki ni kutumia barabara moja kwa moja toka Mombasa hadi Kampala.



Hii ndo post yangu ya #75 amabayo ilikua ni reply ya hio post yako #69

Hapo nimeweka bold, hebu tueleze kwanini reli ya central-corridor ilianza kuyumba kama ilikua profitable?????
Kumbuka wakati huo pia Reli ya Nortthern-corridor ilikua inaenda moja kwa moja hadi Kampala, nayo pia ilikufa na mizigo ya Uganda ikaishia kupitia bara bara... Hebu nieleze sasa ni nini kimegeuka???
NI nini kitafanya hio central corridor yenu kupata faida sasa kama mulishindwa enzi hizo???


Hio post yako ya #69 hakuna popote umeelezea hatua mlizochukua sasa ili kuhakikisha central rail na mwanza port hazitaanguka kama hapo awali.... Tena ukumbuke wakati huu hio central corridor mmefanya marekebisho kwa Mwanza port na hio reli ya Kitambo,,,, Lakini wakati ule kabla hio route ianguke, Reli yenu na bandari yenu ilikua mpya na bado inafanya kazi vizuri, Meli zenu zilikua ziko sawa hazina shida..... lakini licha ya hivyo bado ilianguka..... Ni nini kimegeuka sahii ukilinganisha na hapo kitambo?????

Unajua alivyosema Albert Einstein,"The definition of insanity is doing the same thing over and over again and expecting a different result. "

Mmeanzisha route ya Dar-Mwanza port kwa mara nyengine, conditions ni zie zile, hakuna jipya mlilofanya alafu mnatarajia matokeo yatakua ni tofauti!!!!! huo si ni uwendawazimu????
 
Hii ndo post yako #69





Hii ndo post yangu ya #75 amabayo ilikua ni reply ya hio post yako #69




Hio post yako ya #69 hakuna popote umeelezea hatua mlizochukua sasa ili kuhakikisha central rail na mwanza port hazitaanguka kama hapo awali.... Tena ukumbuke wakati huu hio central corridor mmefanya marekebisho kwa Mwanza port na hio reli ya Kitambo,,,, Lakini wakati ule kabla hio route ianguke, Reli yenu na bandari yenu ilikua mpya na bado inafanya kazi vizuri, Meli zenu zilikua ziko sawa hazina shida..... lakini licha ya hivyo bado ilianguka..... Ni nini kimegeuka sahii ukilinganisha na hapo kitambo?????

Unajua alivyosema Albert Einstein,"The definition of insanity is doing the same thing over and over again and expecting a different result. "

Mmeanzisha route ya Dar-Mwanza port kwa mara nyengine, conditions ni zie zile, hakuna jipya mlilofanya alafu mnatarajia matokeo yatakua ni tofauti!!!!! huo si ni uwendawazimu????
Kwanza reli yetu ilijengwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, imeacha kufanya kazi miaka 10 iliyopita, kwahiyo sio kweli kwamba ilikua mpya Kama unavyosema. Tatizo lako ni kuzungumza mambo usiyojua badala yake unatumia akili yako, ambayo kawaida ni ndogo Sana.

Baada ya reli yetu kuwa chakavu, uwezo wake wa kusafirisha mizigo ulipungua sana, kasi ilipungua hadi kufikia chini ya 30Km/ h. Trains zilikua zinaangua Mara kwa Mara kutokana na uchakavu wa vyuma vya reli na trains zenyewe, ilihitajika pesa nyingi ili kuikarabati, lakini WB na IMF ndio wakaingia na Sera yao ya "Structural Adjustment Program), tukalazimika kuibinafsisha kwa wahindi tukitegemea watawekeza ili kuifufua, lakini hawa kufanya hivyo, matokeo yake wafanyabiashara wakakimbilia kusafirisha mizigo kwa barabara.

Kwasababu bandari ya Mwanza ilitegemea reli, kufa kwa reli kulisababisha bandari ya Mwanza kukosa biashara ya Uganda. Marekebisho tuliyofanya, ni kuwekeza katika kuifufua hii reli, ili kuongeza uwezo wa kubeba mzigo, kasi ya train na kupunguza gharama. Ili reli iweze kutumiwa na waganda, lazima bandari ya Mwanza nayo ifufuliwe pamoja na reli, ili mzigo ukipakiwa Dar port katika train, ufike Kampala by train. Kufufua reli pekee bila Mwanza port, au Mwanza port bila reli, hakutowavutia wafanyabiashara wa Uganda ambao wanataka unafuu wa nauli, na uharaka.

Ninyi mumefufua Kisumu port bila reli inayofika Kisumu, Nina kuhakikisha, bado usafiri wa barabara toka Mombasa mpaka Kampala ndio utakuwa " More convenience and much cheaper" kwa waganda, hakuna atapitisha mizigo hapo Kisumu port.
 
Kwanza reli yetu ilijengwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, imeacha kufanya kazi miaka 10 iliyopita, kwahiyo sio kweli kwamba ilikua mpya Kama unavyosema. Tatizo lako ni kuzungumza mambo usiyojua badala yake unatumia akili yako, ambayo kawaida ni ndogo Sana.

Baada ya reli yetu kuwa chakavu, uwezo wake wa kusafirisha mizigo ulipungua sana, kasi ilipungua hadi kufikia chini ya 30Km/ h. Trains zilikua zinaangua Mara kwa Mara kutokana na uchakavu wa vyuma vya reli na trains zenyewe, ilihitajika pesa nyingi ili kuikarabati, lakini WB na IMF ndio wakaingia na Sera yao ya "Structural Adjustment Program), tukalazimika kuibinafsisha kwa wahindi tukitegemea watawekeza ili kuifufua, lakini hawa kufanya hivyo, matokeo yake wafanyabiashara wakakimbilia kusafirisha mizigo kwa barabara.

Kwasababu bandari ya Mwanza ilitegemea reli, kufa kwa reli kulisababisha bandari ya Mwanza kukosa biashara ya Uganda. Marekebisho tuliyofanya, ni kuwekeza katika kuifufua hii reli, ili kuongeza uwezo wa kubeba mzigo, kasi ya train na kupunguza gharama. Ili reli iweze kutumiwa na waganda, lazima bandari ya Mwanza nayo ifufuliwe pamoja na reli, ili mzigo ukipakiwa Dar port katika train, ufike Kampala by train. Kufufua reli pekee bila Mwanza port, au Mwanza port bila reli, hakutowavutia wafanyabiashara wa Uganda ambao wanataka unafuu wa nauli, na uharaka.

Ninyi mumefufua Kisumu port bila reli inayofika Kisumu, Nina kuhakikisha, bado usafiri wa barabara toka Mombasa mpaka Kampala ndio utakuwa " More convenience and much cheaper" kwa waganda, hakuna atapitisha mizigo hapo Kisumu port.
Umepiga story lakini kuna mahali umetoa jibu sahihi bila kujua, Hapo uliposema...

qoute:
Baada ya reli yetu kuwa chakavu, uwezo wake wa kusafirisha mizigo ulipungua sana, kasi ilipungua hadi kufikia chini ya 30Km/ h. Trains zilikua zinaangua Mara kwa Mara kutokana na uchakavu wa vyuma vya reli na trains zenyewe, ilihitajika pesa nyingi ili kuikarabati"
endQuote:

Unajua ile methali ya kati ya yai na kuku nani ndo alikua wa kwanza?????
Reli iliochakaa hadi kufa miaka 10 iliopita mnaifufua tena, Swali kuu ni, ni reli ilichakaa ndo mizigo ikapungua au ni mizigo ilipungua ndo reli ikachakaa???? manake kama reli ingekua inatengeneza faida kweli, ingekua waliweza kugaramia regular maintenance ambayo ingefanya hio reli isichakae kiasi hicho!!!
FYI reli ya meter guage huku Kenya ina miaka 121 na bado hua inatumika hadi wa leo kupeleka Magadi ash hadi Mombasa, Upande wa Kutoka Nairobi kuelekea kampala ndo hio reli imekufa kabisa.....
CnbbeeE005003_20170531_NBMFN0A003_11n.jpg




Kwahivyo hapo unafaa uwe makini kujua kwanini Central rail ilikufa, manake kama ilikua inatengeneza faida kubwa enzi zile, wangekua na uwezo wa kufanya regular maintenance kila mwaka na ingekua haikuchakaa hadi kufa. Sahii mnafufua reli ambayo ilikosa biashara enzi hizo na mnatarajia eti itagonga ndipo!!!
 
Umepiga story lakini kuna mahali umetoa jibu sahihi bila kujua, Hapo uliposema...

qoute:
Baada ya reli yetu kuwa chakavu, uwezo wake wa kusafirisha mizigo ulipungua sana, kasi ilipungua hadi kufikia chini ya 30Km/ h. Trains zilikua zinaangua Mara kwa Mara kutokana na uchakavu wa vyuma vya reli na trains zenyewe, ilihitajika pesa nyingi ili kuikarabati"
endQuote:

Unajua ile methali ya kati ya yai na kuku nani ndo alikua wa kwanza?????
Reli iliochakaa hadi kufa miaka 10 iliopita mnaifufua tena, Swali kuu ni, ni reli ilichakaa ndo mizigo ikapungua au ni mizigo ilipungua ndo reli ikachakaa???? manake kama reli ingekua inatengeneza faida kweli, ingekua waliweza kugaramia regular maintenance ambayo ingefanya hio reli isichakae kiasi hicho!!!
FYI reli ya meter guage huku Kenya ina miaka 121 na bado hua inatumika hadi wa leo kupeleka Magadi ash hadi Mombasa, Upande wa Kutoka Nairobi kuelekea kampala ndo hio reli imekufa kabisa.....
CnbbeeE005003_20170531_NBMFN0A003_11n.jpg




Kwahivyo hapo unafaa uwe makini kujua kwanini Central rail ilikufa, manake kama ilikua inatengeneza faida kubwa enzi zile, wangekua na uwezo wa kufanya regular maintenance kila mwaka na ingekua haikuchakaa hadi kufa. Sahii mnafufua reli ambayo ilikosa biashara enzi hizo na mnatarajia eti itagonga ndipo!!!
Tafadhali sana acha kutumia theory. Reli yetu bado inafanya kazi hadi Leo, trains za Abiria zinafanya kazi 3 times per week, bado mizigo ya Rwanda na Burundi imeendelea kutumia reli hii hadi Leo, haijasimama kabisa kama ilivyosimama RVR yenu kwenda Uganda.

Ila kutokana na uchakavu ilipunguza sana uwezo wake wa kubeba mzigo mkubwa, kumbuka reli inabeba mzigo mkubwa sana, mwisho wa "life span" yake, lazima reli yote ibadilishwe, Kenya imekopa zaidi ya $700M kutoka China kwa ajili ya kuifufua upya hiyo meter gauge yenu kutokana na uchakavu.

Kutokana na kupungua kwa uwezo wa kusafirisha mizigo na kuboreka kwa usafiri wa barabara, wafanyabiashara waliona bora kutumia barabara. Sisi tunajua kwamba, kupungua kwa uwezo wa train, na kuanguka Mara kwa Mara kwa trains za mizigo, kuliwafanya wafanyabiashara kutopendelea tena usafiri wa train, badala yake kuhamia ktk barabara.

Kwa kulijua hilo, sasa hivi tunaiboresha, itakuwa na kasi kubwa, bei ndogo, na usalama zaidi ya barabara, hiyo ndio" strategy" tunayotumia kuhakikisha tunawarudisha wafanyabiashara waliokimbia, tayari WFP wameshaanza kuitumia "central Corridor. Lete mbinu mtakazotumia kuwavutia wafanyabiashara wa Uganda kutumia Kisumu port bila Kuwepo na reli inayofika Kisumu.
 
Tafadhali sana acha kutumia theory. Reli yetu bado inafanya kazi hadi Leo, trains za Abiria zinafanya kazi 3 times per week, bado mizigo ya Rwanda na Burundi imeendelea kutumia reli hii hadi Leo, haijasimama kabisa kama ilivyosimama RVR yenu kwenda Uganda.

Ila kutokana na uchakavu ilipunguza sana uwezo wake wa kubeba mzigo mkubwa, kumbuka reli inabeba mzigo mkubwa sana, mwisho wa "life span" yake, lazima reli yote ibadilishwe, Kenya imekopa zaidi ya $700M kutoka China kwa ajili ya kuifufua upya hiyo meter gauge yenu kutokana na uchakavu.

Kutokana na kupungua kwa uwezo wa kusafirisha mizigo na kuboreka kwa usafiri wa barabara, wafanyabiashara waliona bora kutumia barabara. Sisi tunajua kwamba, kupungua kwa uwezo wa train, na kuanguka Mara kwa Mara kwa trains za mizigo, kuliwafanya wafanyabiashara kutopendelea tena usafiri wa train, badala yake kuhamia ktk barabara.

Kwa kulijua hilo, sasa hivi tunaiboresha, itakuwa na kasi kubwa, bei ndogo, na usalama zaidi ya barabara, hiyo ndio" strategy" tunayotumia kuhakikisha tunawarudisha wafanyabiashara waliokimbia, tayari WFP wameshaanza kuitumia "central Corridor. Lete mbinu mtakazotumia kuwavutia wafanyabiashara wa Uganda kutumia Kisumu port bila Kuwepo na reli inayofika Kisumu.
Kwa upande wetu, nilishakuonyesha picha ya MV. Uhuru in 1970 wakati reli kwa Kwenda hadi kampala ilikua inafanya kazi, MV.Uhuru mbali na kupeleka mizigo kupitia reli ilikua inapeleka kwa kupakia malori pia....

Alafu sisi tutakua tunatumia bandari ya Kisumu old port kama alternative route ya kufanya biashara kati ya mji wa Kisumu na vitngoji vyake kama homa bay na miji ya nchi jirani...... Nyinyi mmefufua bandari yenu kwasababu ya kupeleka mizigo kutoka dar hadi kampala..... Hata hao waganda ukiwauliza kuhusu hio route yenu wataambia hio route ya Mwanza-Port bell haiwezi tumika for serious business, Kwahivyo not unless muanze kujipanga kufanya mji wa Mwanza uwe unafanya biashara na Kisumu na Kampala, hio route yenu itakufa kama vile ilivyokufa hapo awali.....
 
Kwa upande wetu, nilishakuonyesha picha ya MV. Uhuru in 1970 wakati reli kwa Kwenda hadi kampala ilikua inafanya kazi, MV.Uhuru mbali na kupeleka mizigo kupitia reli ilikua inapeleka kwa kupakia malori pia....

Alafu sisi tutakua tunatumia bandari ya Kisumu old port kama alternative route ya kufanya biashara kati ya mji wa Kisumu na vitngoji vyake kama homa bay na miji ya nchi jirani...... Nyinyi mmefufua bandari yenu kwasababu ya kupeleka mizigo kutoka dar hadi kampala..... Hata hao waganda ukiwauliza kuhusu hio route yenu wataambia hio route ya Mwanza-Port bell haiwezi tumika for serious business, Kwahivyo not unless muanze kujipanga kufanya mji wa Mwanza uwe unafanya biashara na Kisumu na Kampala, hio route yenu itakufa kama vile ilivyokufa hapo awali.....
Hujajibu kwanini bandari ya Kisumu na reli inayokwenda Kisumu vilikufa.
 
Politics. Kisumu is always viewed as home of government opposition so they don't get all the attention from the government. Most leaders from opposition hails from Kisumu and they criticises everything govt wants to do and that's the reason why most government developments are not done in Kisumu. Because of opposition govt opted to rail line that passes from Nairobi to Eldoret via Malaba to Kampala and left the route of Nairobi-Kisumu-Malaba-Kampala.
Hujajibu kwanini bandari ya Kisumu na reli inayokwenda Kisumu vilikufa.
 
Politics. Kisumu is always viewed as home of government opposition so they don't get all the attention from the government. Most leaders from opposition hails from Kisumu and they criticises everything govt wants to do and that's the reason why most government developments are not done in Kisumu. Because of opposition govt opted to rail line that passes from Nairobi to Eldoret via Malaba to Kampala and left the route of Nairobi-Kisumu-Malaba-Kampala.
Do you want to tell me that Kenyans are very stupid to that level?, that you are ready to kill your economy for the benefit of politics and ethnicity?
 
I know you can't understand. Please go to google and read THE ROLE OF KISUMU IN KENYA'S POLITICS AND ITS CONSEQUENCES.
Do you want to tell me that Kenyans are very stupid to that level?, that you are ready to kill your economy for the benefit of politics and ethnicity?
 
Back
Top Bottom