Bado sijaelewa lengo kuu la kufufuliwa kwa "Kisumu port"

Bado sijaelewa lengo kuu la kufufuliwa kwa "Kisumu port"

Ningependa kushirikisha mawazo yangu ili kuibua mjadala kuhusu bandari ya Kisumu ambayo punde tu itakusanya marais 5 kuizindua. Nimefikiria sana kuhusu hii bandari umuhimu wake kwa sasa, bado sijapata muunganiko wake.

Bandari ya Kisumu iliacha kufanyakazi zaidi ya miaka 12 iliyopita, sababu kubwa iliyosababisha kudorora pamoja na mambo menigine, ni kutokana na wafanyabiashara wengi wa Uganda kutumia usafiri wa reli na barabara, ambao ukipakia "cargo", hazishushwi hadi Uganda, yaani gharama za upakiaji na ushushaji ni Mara mbili tu.

Kwasababu hiyo, reli ya kuelekea Kisumu ilikosa mizigo na kuachwa ikajifia kabisa, kutokana na naekezo ya James Macharia, reli kuelekea Kisumu inahitaji kujengwa upya sio kukarabatiwa. Swali ninalojiuliza, kama hakuna reli inayoelekea Kisumu, je bandari ya Kisumu inaungana vipi na Mombasa, au Kisumu Port haitegemei mizigo ya Uganda na DRC?.

Bila shaka "Kisumu port" lengo lake ni hizi nchi za Uganda na DRC, je itatumia mfumo upi wa usafirishaji ambao utakua ni bei nafuu na ni haraka. Tumeambiwa bandari ya Mwanza itatumia mfumo wa "Railway - Marine - Railway", ambao ni " integrated ", yaani mabehewa hayashushi mizigo kutoka Dar- hadi Kampala au Jinja Uganda, Kisumu port itatumia mfumo upi kama hakuna reli inayofika Kisumu?.

Alafu haka kabandari kanakupatia tabu sana, ni ukarabati unafanyiwa tu, gharama yake ni only $30m
Shida ni kwamba unajifanya kuuliza maswali lakini ushafunga akili na kujiamulia yako bila hata kungoja jibu. Dakika chache baada ya kuanzisha hii mada ukatoa hii comment

Kenya na wakenya kwa ujumla, wanauwezo mdogo sana wa kufikiria mambo makubwa, uwezo wao wa kufikiria ni " below average". Subiri usikie majibu watakayotoa katika huu uzi ndio utagundua ninachosema.

Sasa wewe ni mtu unafaa kujibiwa lolote kweli kama ulishajiamulia na haya ndo maoni yako????


Unafaa ujiulize kama tuna uwezo mdogo wa kufikiria kwa mambo makubwa, iweje sisi ndo tunapokea mizigo mingi kuwashinda? inakuaje sisi ndo tunaongoza kwa logistics?, inakuaje sisi ndo tuko na airport kubwa.. etc..... Nyinyi mlio na akili kubwa mbona tume wawacha mbali sana ikijja kwa haya mambo???

World bank ilishawaambia bandari yenu kuu iko inneficient , yaani hata bila kutumia hela zozote kufanya expansion, mkitia bidii na kufanya bandari yenu iwe efficient kama ya Mombasa, Tanzania itaongeza $1.8Billion kwa GDP kila mwaka

1565904970814.png



Badala ya kutia juhudi kuleta hii efficiency kwa bandari yenu, mmenda kupanua bandari zenu zote ilhalii hamjafika maximum potential ya bandari mlizo nazo, sasa ni nani ndo ana uwezo mdogo wa kufikiria??

Alafu hapo unaposema sababu ya Bandari ya Kisumu kufa ni ni kutokana na wafanyabiashara wengi wa Uganda kutumia usafiri wa reli na barabara.... Ulikua unaelewa unachosema? Ni reli gani hio ulikua unaongelea ilouwa bandari ya Kisumu? Reli ya meter guage ilijengwa hadi Uganda, wakati huohuo bado pia ilifika Kisumu.. Kumbuka wakati ule Kenya ndo ilikua na meli kubwa zaidi hapo L.Victoria, wakati huo huo bado reli ya kuelekea Uganda ilikua inafanya kazi.... Kwahivyo kulikuana route zaidi ya moja kwenda Uganda...


Hapo unaposema "Kwasababu hiyo, reli ya kuelekea Kisumu ilikosa mizigo na kuachwa ikajifia kabisa" Hebu nikuulize, Kama Bandari ya Kisumu ilikosa kazi kwasababu ya Reli na barabara ya kuelekea Uganda.... Nini ilifanya reli ya Central-line ya kutoka Dar-Mwanza kufa??? kulingana na maelezo yako, si sababu itakua ni ile ile???? Northern-Corridor ya Mombasa-Kampala ndo ilichukua mizigo yote ya kuelekea Uganda kusababisha reli yenu ya central line na bandari ya Mwanza kufa kupindukia....
Sasa ni nini kimegeuka??? Ni nini kimewasababisha kufufua safari za Mwanza-Port-bell wakati Kenya ilisha wapiga kichapo enzi zile? Sasa naona mmerudi tena kwa Round two tuwanyorroshe vizuri ehh?


Alafu huo mfumo wa "Railway - Marine - Railway" jina lengine la huo mfumo ni ro-ro ambayo inamaanisha Roll-on/roll-off ships .....
Hii ndo definition ya ro-ro
Roll-on/roll-off
(RORO or ro-ro) ships are ferries designed to carry wheeled cargo, such as cars, trucks, semi-trailer trucks, trailers, and railroad cars, that are driven on and off the ship on their own wheels or using a platform vehicle, such as a self-propelled modular transporter.
Kwahivyo huo mfumo una support utumiaji wa rail-marine-rail, road-marine-road, Trailer-ship-Tailer etc, Usifikirie ni reli tu, hata malori yanaweza faidika sana, Bara bara ya kuelekea kampala ni ndefu, lori likipita na Kisumu hadi port bell itakua ni shortcut kubwa sana.....


Enzi zile kisumu ilikua na viwanda vingi sana, viwanda vilivyokua vinatengeneza bidhaa tofauti, mizigo ya Kutoka Mombasa ilikua inapita na reli hadi kampala, lakini mbali na hilo, mji wa Kisumu wenyewe ulikua unazalisha bidhaa zake ambazo zinasafirishwa hadi Mwanza, Bukoba, Port-bell etc, na kutokana na hizo biashara, pia watu walikua wanasafiri sana ili kufanya biashara.....

MV Uhuru enzi hizo, Ilikua inabeba Rail wagon lakini pia magari yaliobeba mizigo
21151194_1712430548770211_4489286374185651018_n.jpg


Hata kama SGR itafika kisumu na Kampala, inatajiwa kubeba 40% ya mizigo yote, hio 60% bado itapitia barabara, kwanini isipitia na L.Victoria ambayo itakua ni cheaper kuliko kuenda na barabara??

Unafaa ujue viwanda vya Kisumu vilipokufa, bandari nayo iliacha kutumika na Kisumu ikaacha kua logistical hub, Hio central corridor ya Tanzania ilikua imeshakufa kitambo hata kuliko meter guage ya Kenya...

Alafu pia unafaa ujue Port inayopanuliwa na serekali ni old port , hii ni tofauti na new port itakayo jengwa na SGR

The new port is expected to be constructed near Korando. However, ongoing expansion of the old port may see the Government use the funds to improve the existing port.

Usifikirie tu mizigo kutoka nje kuelekea Uganda na DRC, fikiria Viwanda kati ya Mwanza, Jinja, Port-Bell, Kisumu..... Hii ni miji ambayo ikifanya biashara kati ya hii miji itaboresha maisha ya watu wanaozunguka L.Victoria, hio haiwezi fanyika kama hakuna miundombinu kabambe... Hatuwezi kua na the biggest lake in Africa alafu tumekaa tu hata hatuitumiii....
Kwahivyo acha kua kama mwafrika mnafik na mchawi ambae hataki kuona jirani yake anajenga nyumba kwasababu anataka yeye pekee ndo awe anajenga nyumba kwa kijiji... Kisumu port ikifanya kazi hakuna litakalo zuia Tanzania kuuzia bidhaa zake kwa wakaazi wa Kisumu, Eldoret, Bungoma kupitia Mwanza..

Kwa mfano, Coca cola iko na Kiwanda cha kutengeneza Chupa hapo Kisumu, Imagine kaakue na Kiwanda cha kutengeneza Soda kule Mwanza alafu vifuniko vya Soda vitoke Kampala...
Kampuni ya EABL ilifungua kiwanda cha $150m cha kutengeneza bia hapo Kisumu, wanahitaji Sorghum kwa wingi, Kama wakulima wa western Kenya watashindwa kutosheleza, wakulima wa miji ya L.Vitoria wanaweza kuanza kujaza hio order... Hayo ndo mawazo unafaa uwe nayo akilini, si kuwa na fikra za Kimaskini..
 
Alafu haka kabandari kanakupatia tabu sana, ni ukarabati unafanyiwa tu, gharama yake ni only $30m
Shida ni kwamba unajifanya kuuliza maswali lakini ushafunga akili na kujiamulia yako bila hata kungoja jibu. Dakika chache baada ya kuanzisha hii mada ukatoa hii comment



Sasa wewe ni mtu unafaa kujibiwa lolote kweli kama ulishajiamulia na haya ndo maoni yako????


Unafaa ujiulize kama tuna uwezo mdogo wa kufikiria kwa mambo makubwa, iweje sisi ndo tunapokea mizigo mingi kuwashinda? inakuaje sisi ndo tunaongoza kwa logistics?, inakuaje sisi ndo tuko na airport kubwa.. etc..... Nyinyi mlio na akili kubwa mbona tume wawacha mbali sana ikijja kwa haya mambo???

World bank ilishawaambia bandari yenu kuu iko inneficient , yaani hata bila kutumia hela zozote kufanya expansion, mkitia bidii na kufanya bandari yenu iwe efficient kama ya Mombasa, Tanzania itaongeza $1.8Billion kwa GDP kila mwaka

View attachment 1182457


Badala ya kutia juhudi kuleta hii efficiency kwa bandari yenu, mmenda kupanua bandari zenu zote ilhalii hamjafika maximum potential ya bandari mlizo nazo, sasa ni nani ndo ana uwezo mdogo wa kufikiria??

Alafu hapo unaposema sababu ya Bandari ya Kisumu kufa ni ni kutokana na wafanyabiashara wengi wa Uganda kutumia usafiri wa reli na barabara.... Ulikua unaelewa unachosema? Ni reli gani hio ulikua unaongelea ilouwa bandari ya Kisumu? Reli ya meter guage ilijengwa hadi Uganda, wakati huohuo bado pia ilifika Kisumu.. Kumbuka wakati ule Kenya ndo ilikua na meli kubwa zaidi hapo L.Victoria, wakati huo huo bado reli ya kuelekea Uganda ilikua inafanya kazi.... Kwahivyo kulikuana route zaidi ya moja kwenda Uganda...


Hapo unaposema "Kwasababu hiyo, reli ya kuelekea Kisumu ilikosa mizigo na kuachwa ikajifia kabisa" Hebu nikuulize, Kama Bandari ya Kisumu ilikosa kazi kwasababu ya Reli na barabara ya kuelekea Uganda.... Nini ilifanya reli ya Central-line ya kutoka Dar-Mwanza kufa??? kulingana na maelezo yako, si sababu itakua ni ile ile???? Northern-Corridor ya Mombasa-Kampala ndo ilichukua mizigo yote ya kuelekea Uganda kusababisha reli yenu ya central line na bandari ya Mwanza kufa kupindukia....
Sasa ni nini kimegeuka??? Ni nini kimewasababisha kufufua safari za Mwanza-Port-bell wakati Kenya ilisha wapiga kichapo enzi zile? Sasa naona mmerudi tena kwa Round two tuwanyorroshe vizuri ehh?


Alafu huo mfumo wa "Railway - Marine - Railway" jina lengine la huo mfumo ni ro-ro ambayo inamaanisha Roll-on/roll-off ships .....
Hii ndo definition ya ro-ro

Kwahivyo huo mfumo una support utumiaji wa rail-marine-rail, road-marine-road, Trailer-ship-Tailer etc, Usifikirie ni reli tu, hata malori yanaweza faidika sana, Bara bara ya kuelekea kampala ni ndefu, lori likipita na Kisumu hadi port bell itakua ni shortcut kubwa sana.....


Enzi zile kisumu ilikua na viwanda vingi sana, viwanda vilivyokua vinatengeneza bidhaa tofauti, mizigo ya Kutoka Mombasa ilikua inapita na reli hadi kampala, lakini mbali na hilo, mji wa Kisumu wenyewe ulikua unazalisha bidhaa zake ambazo zinasafirishwa hadi Mwanza, Bukoba, Port-bell etc, na kutokana na hizo biashara, pia watu walikua wanasafiri sana ili kufanya biashara.....

MV Uhuru enzi hizo, Ilikua inabeba Rail wagon lakini pia magari yaliobeba mizigo
21151194_1712430548770211_4489286374185651018_n.jpg


Hata kama SGR itafika kisumu na Kampala, inatajiwa kubeba 40% ya mizigo yote, hio 60% bado itapitia barabara, kwanini isipitia na L.Victoria ambayo itakua ni cheaper kuliko kuenda na barabara??

Unafaa ujue viwanda vya Kisumu vilipokufa, bandari nayo iliacha kutumika na Kisumu ikaacha kua logistical hub, Hio central corridor ya Tanzania ilikua imeshakufa kitambo hata kuliko meter guage ya Kenya...

Alafu pia unafaa ujue Port inayopanuliwa na serekali ni old port , hii ni tofauti na new port itakayo jengwa na SGR

The new port is expected to be constructed near Korando. However, ongoing expansion of the old port may see the Government use the funds to improve the existing port.

Usifikirie tu mizigo kutoka nje kuelekea Uganda na DRC, fikiria Viwanda kati ya Mwanza, Jinja, Port-Bell, Kisumu..... Hii ni miji ambayo ikifanya biashara kati ya hii miji itaboresha maisha ya watu wanaozunguka L.Victoria, hio haiwezi fanyika kama hakuna miundombinu kabambe... Hatuwezi kua na the biggest lake in Africa alafu tumekaa tu hata hatuitumiii....
Kwahivyo acha kua kama mwafrika mnafik na mchawi ambae hataki kuona jirani yake anajenga nyumba kwasababu anataka yeye pekee ndo awe anajenga nyumba kwa kijiji... Kisumu port ikifanya kazi hakuna litakalo zuia Tanzania kuuzia bidhaa zake kwa wakaazi wa Kisumu, Eldoret, Bungoma kupitia Mwanza..

Kwa mfano, Coca cola iko na Kiwanda cha kutengeneza Chupa hapo Kisumu, Imagine kaakue na Kiwanda cha kutengeneza Soda kule Mwanza alafu vifuniko vya Soda vitoke Kampala...
Kampuni ya EABL ilifungua kiwanda cha $150m cha kutengeneza bia hapo Kisumu, wanahitaji Sorghum kwa wingi, Kama wakulima wa western Kenya watashindwa kutosheleza, wakulima wa miji ya L.Vitoria wanaweza kuanza kujaza hio order... Hayo ndo mawazo unafaa uwe nayo akilini, si kuwa na fikra za Kimaskini..
cc. Tony254
cc. Mkikuyu- Akilitimamu
cc. Gezaulole
cc. eliakim

Jamaa amejaribu kujibu, vipi kuna kitu hapo mlichokiekewa?.
 
cc. Tony254
cc. Mkikuyu- Akilitimamu
cc. Gezaulole
cc. eliakim

Jamaa amejaribu kujibu, vipi kuna kitu hapo mlichokiekewa?.
Amejibu vizuri kwa maoni yangu. Kenya itafanya biashara na Tanzania pia. Kama alivyosema Kisumu ya leo ina viwanda vya beer na vinahitaji malighafi kama barley ambayo wakulima East Africa wanaeza leta Kenya. Kuna viwanda vingine pia Kisumu na vitahitaji malighafi na watakaofaidi ni Wana Afrika Mashariki. Kwa hivyo tuwache kuangalia hili jambo kiushabiki tuangalie benefits ambazo kila mtu atapata na isiwe mambo ya Kenya-Uganda pekee
 
Alafu haka kabandari kanakupatia tabu sana, ni ukarabati unafanyiwa tu, gharama yake ni only $30m
Shida ni kwamba unajifanya kuuliza maswali lakini ushafunga akili na kujiamulia yako bila hata kungoja jibu. Dakika chache baada ya kuanzisha hii mada ukatoa hii comment



Sasa wewe ni mtu unafaa kujibiwa lolote kweli kama ulishajiamulia na haya ndo maoni yako????


Unafaa ujiulize kama tuna uwezo mdogo wa kufikiria kwa mambo makubwa, iweje sisi ndo tunapokea mizigo mingi kuwashinda? inakuaje sisi ndo tunaongoza kwa logistics?, inakuaje sisi ndo tuko na airport kubwa.. etc..... Nyinyi mlio na akili kubwa mbona tume wawacha mbali sana ikijja kwa haya mambo???

World bank ilishawaambia bandari yenu kuu iko inneficient , yaani hata bila kutumia hela zozote kufanya expansion, mkitia bidii na kufanya bandari yenu iwe efficient kama ya Mombasa, Tanzania itaongeza $1.8Billion kwa GDP kila mwaka

View attachment 1182457


Badala ya kutia juhudi kuleta hii efficiency kwa bandari yenu, mmenda kupanua bandari zenu zote ilhalii hamjafika maximum potential ya bandari mlizo nazo, sasa ni nani ndo ana uwezo mdogo wa kufikiria??

Alafu hapo unaposema sababu ya Bandari ya Kisumu kufa ni ni kutokana na wafanyabiashara wengi wa Uganda kutumia usafiri wa reli na barabara.... Ulikua unaelewa unachosema? Ni reli gani hio ulikua unaongelea ilouwa bandari ya Kisumu? Reli ya meter guage ilijengwa hadi Uganda, wakati huohuo bado pia ilifika Kisumu.. Kumbuka wakati ule Kenya ndo ilikua na meli kubwa zaidi hapo L.Victoria, wakati huo huo bado reli ya kuelekea Uganda ilikua inafanya kazi.... Kwahivyo kulikuana route zaidi ya moja kwenda Uganda...


Hapo unaposema "Kwasababu hiyo, reli ya kuelekea Kisumu ilikosa mizigo na kuachwa ikajifia kabisa" Hebu nikuulize, Kama Bandari ya Kisumu ilikosa kazi kwasababu ya Reli na barabara ya kuelekea Uganda.... Nini ilifanya reli ya Central-line ya kutoka Dar-Mwanza kufa??? kulingana na maelezo yako, si sababu itakua ni ile ile???? Northern-Corridor ya Mombasa-Kampala ndo ilichukua mizigo yote ya kuelekea Uganda kusababisha reli yenu ya central line na bandari ya Mwanza kufa kupindukia....
Sasa ni nini kimegeuka??? Ni nini kimewasababisha kufufua safari za Mwanza-Port-bell wakati Kenya ilisha wapiga kichapo enzi zile? Sasa naona mmerudi tena kwa Round two tuwanyorroshe vizuri ehh?


Alafu huo mfumo wa "Railway - Marine - Railway" jina lengine la huo mfumo ni ro-ro ambayo inamaanisha Roll-on/roll-off ships .....
Hii ndo definition ya ro-ro

Kwahivyo huo mfumo una support utumiaji wa rail-marine-rail, road-marine-road, Trailer-ship-Tailer etc, Usifikirie ni reli tu, hata malori yanaweza faidika sana, Bara bara ya kuelekea kampala ni ndefu, lori likipita na Kisumu hadi port bell itakua ni shortcut kubwa sana.....


Enzi zile kisumu ilikua na viwanda vingi sana, viwanda vilivyokua vinatengeneza bidhaa tofauti, mizigo ya Kutoka Mombasa ilikua inapita na reli hadi kampala, lakini mbali na hilo, mji wa Kisumu wenyewe ulikua unazalisha bidhaa zake ambazo zinasafirishwa hadi Mwanza, Bukoba, Port-bell etc, na kutokana na hizo biashara, pia watu walikua wanasafiri sana ili kufanya biashara.....

MV Uhuru enzi hizo, Ilikua inabeba Rail wagon lakini pia magari yaliobeba mizigo
21151194_1712430548770211_4489286374185651018_n.jpg


Hata kama SGR itafika kisumu na Kampala, inatajiwa kubeba 40% ya mizigo yote, hio 60% bado itapitia barabara, kwanini isipitia na L.Victoria ambayo itakua ni cheaper kuliko kuenda na barabara??

Unafaa ujue viwanda vya Kisumu vilipokufa, bandari nayo iliacha kutumika na Kisumu ikaacha kua logistical hub, Hio central corridor ya Tanzania ilikua imeshakufa kitambo hata kuliko meter guage ya Kenya...

Alafu pia unafaa ujue Port inayopanuliwa na serekali ni old port , hii ni tofauti na new port itakayo jengwa na SGR

The new port is expected to be constructed near Korando. However, ongoing expansion of the old port may see the Government use the funds to improve the existing port.

Usifikirie tu mizigo kutoka nje kuelekea Uganda na DRC, fikiria Viwanda kati ya Mwanza, Jinja, Port-Bell, Kisumu..... Hii ni miji ambayo ikifanya biashara kati ya hii miji itaboresha maisha ya watu wanaozunguka L.Victoria, hio haiwezi fanyika kama hakuna miundombinu kabambe... Hatuwezi kua na the biggest lake in Africa alafu tumekaa tu hata hatuitumiii....
Kwahivyo acha kua kama mwafrika mnafik na mchawi ambae hataki kuona jirani yake anajenga nyumba kwasababu anataka yeye pekee ndo awe anajenga nyumba kwa kijiji... Kisumu port ikifanya kazi hakuna litakalo zuia Tanzania kuuzia bidhaa zake kwa wakaazi wa Kisumu, Eldoret, Bungoma kupitia Mwanza..

Kwa mfano, Coca cola iko na Kiwanda cha kutengeneza Chupa hapo Kisumu, Imagine kaakue na Kiwanda cha kutengeneza Soda kule Mwanza alafu vifuniko vya Soda vitoke Kampala...
Kampuni ya EABL ilifungua kiwanda cha $150m cha kutengeneza bia hapo Kisumu, wanahitaji Sorghum kwa wingi, Kama wakulima wa western Kenya watashindwa kutosheleza, wakulima wa miji ya L.Vitoria wanaweza kuanza kujaza hio order... Hayo ndo mawazo unafaa uwe nayo akilini, si kuwa na fikra za Kimaskini..
Good constructive well-thought out response.
 
Amejibu vizuri kwa maoni yangu. Kenya itafanya biashara na Tanzania pia. Kama alivyosema Kisumu ya leo ina viwanda vya beer na vinahitaji malighafi kama barley ambayo wakulima East Africa wanaeza leta Kenya. Kuna viwanda vingine pia Kisumu na vitahitaji malighafi na watakaofaidi ni Wana Afrika Mashariki. Kwa hivyo tuwache kuangalia hili jambo kiushabiki tuangalie benefits ambazo kila mtu atapata na isiwe mambo ya Kenya-Uganda pekee
Kama umesoma vizuri post yangu, niliuliza mambo makubwa matatu.
1) Sababu zilizosababisha bandari ya Kisumu kusimamisha kazi zake
2)Uhusiano ulipo kati ya Mombasa port na Kisumu port.(wewe ulisema kwamba mizigo itafikishwa kwa barabara kutoka Mombasa, nikakuonyesha ugumu wa na "Road - Marine- Road", via Kisumu.

3)Transport mode ipi itakayotumiwa na Kisumu Port ili kusafirisha mizigo ya Uganda na DRC, ie " Railway - Marine- Railway vs Road - Marine- Road.

Lazima iwe cheap na faster ili kuvutia wafanyabiashara, otherwise wataendelea kutumia barabara. Ni hasara kubwa na ucheleweshaji wa "Cargo" kutumia Road -Marine -Road kwa mizigo ya DRC na Uganda. Hivi kama Lori limeshafika Naivasha, kuna sababu gani ya kuelekea Kisumu badala ya kuunganisha kwenda Malaba na kuvuka mipaka kuepuka gharama za "handling & storage charges" Kisumu na Portbell?.
 
Kama umesoma vizuri post yangu, niliuliza mambo makubwa matatu.
1) Sababu zilizosababisha bandari ya Kisumu kusimamisha kazi zake
2)Uhusiano ulipo kati ya Mombasa port na Kisumu port.(wewe ulisema kwamba mizigo itafikishwa kwa barabara kutoka Mombasa, nikakuonyesha ugumu wa na "Road - Marine- Road", via Kisumu.

3)Transport mode ipi itakayotumiwa na Kisumu Port ili kusafirisha mizigo ya Uganda na DRC, ie " Railway - Marine- Railway vs Road - Marine- Road.

Lazima iwe cheap na faster ili kuvutia wafanyabiashara, otherwise wataendelea kutumia barabara. Ni hasara kubwa na ucheleweshaji wa "Cargo" kutumia Road -Marine -Road kwa mizigo ya DRC na Uganda. Hivi kama Lori limeshafika Naivasha, kuna sababu gani ya kuelekea Kisumu badala ya kuunganisha kwenda Malaba na kuvuka mipaka kuepuka gharama za "handling & storage charges" Kisumu na Portbell?.
Kwanza sijui kwa nini port ya Kisumu ilikufa kwa hivyo sitajifanya mjuaji. Pili, port ya Kisumu ilifanya kazi kwa muda wa takriban miaka mia moja kwa hivyo huwezi kamwe kusema eti Mombasa-Kisumu-Port Bell ni expensive. Hio sio kweli maana kama ingekuwa ukweli basi huo mfumo wa usafiri ungekufa kitambo haungekwenda kwa miaka mia moja.
Halafu mizigo inayopitia Kisumu-Port Bell inaweza wasili haraka kushinda inayopitia Busia border kwani kwenye Busia border malori yanaweza chelewa kwa siku mbili au tatu na pia Kisumu- port bell ni karibu kushinda Busia-Kampala.
 
Alafu haka kabandari kanakupatia tabu sana, ni ukarabati unafanyiwa tu, gharama yake ni only $30m
Shida ni kwamba unajifanya kuuliza maswali lakini ushafunga akili na kujiamulia yako bila hata kungoja jibu. Dakika chache baada ya kuanzisha hii mada ukatoa hii comment



Sasa wewe ni mtu unafaa kujibiwa lolote kweli kama ulishajiamulia na haya ndo maoni yako????


Unafaa ujiulize kama tuna uwezo mdogo wa kufikiria kwa mambo makubwa, iweje sisi ndo tunapokea mizigo mingi kuwashinda? inakuaje sisi ndo tunaongoza kwa logistics?, inakuaje sisi ndo tuko na airport kubwa.. etc..... Nyinyi mlio na akili kubwa mbona tume wawacha mbali sana ikijja kwa haya mambo???

World bank ilishawaambia bandari yenu kuu iko inneficient , yaani hata bila kutumia hela zozote kufanya expansion, mkitia bidii na kufanya bandari yenu iwe efficient kama ya Mombasa, Tanzania itaongeza $1.8Billion kwa GDP kila mwaka

View attachment 1182457


Badala ya kutia juhudi kuleta hii efficiency kwa bandari yenu, mmenda kupanua bandari zenu zote ilhalii hamjafika maximum potential ya bandari mlizo nazo, sasa ni nani ndo ana uwezo mdogo wa kufikiria??

Alafu hapo unaposema sababu ya Bandari ya Kisumu kufa ni ni kutokana na wafanyabiashara wengi wa Uganda kutumia usafiri wa reli na barabara.... Ulikua unaelewa unachosema? Ni reli gani hio ulikua unaongelea ilouwa bandari ya Kisumu? Reli ya meter guage ilijengwa hadi Uganda, wakati huohuo bado pia ilifika Kisumu.. Kumbuka wakati ule Kenya ndo ilikua na meli kubwa zaidi hapo L.Victoria, wakati huo huo bado reli ya kuelekea Uganda ilikua inafanya kazi.... Kwahivyo kulikuana route zaidi ya moja kwenda Uganda...


Hapo unaposema "Kwasababu hiyo, reli ya kuelekea Kisumu ilikosa mizigo na kuachwa ikajifia kabisa" Hebu nikuulize, Kama Bandari ya Kisumu ilikosa kazi kwasababu ya Reli na barabara ya kuelekea Uganda.... Nini ilifanya reli ya Central-line ya kutoka Dar-Mwanza kufa??? kulingana na maelezo yako, si sababu itakua ni ile ile???? Northern-Corridor ya Mombasa-Kampala ndo ilichukua mizigo yote ya kuelekea Uganda kusababisha reli yenu ya central line na bandari ya Mwanza kufa kupindukia....
Sasa ni nini kimegeuka??? Ni nini kimewasababisha kufufua safari za Mwanza-Port-bell wakati Kenya ilisha wapiga kichapo enzi zile? Sasa naona mmerudi tena kwa Round two tuwanyorroshe vizuri ehh?


Alafu huo mfumo wa "Railway - Marine - Railway" jina lengine la huo mfumo ni ro-ro ambayo inamaanisha Roll-on/roll-off ships .....
Hii ndo definition ya ro-ro

Kwahivyo huo mfumo una support utumiaji wa rail-marine-rail, road-marine-road, Trailer-ship-Tailer etc, Usifikirie ni reli tu, hata malori yanaweza faidika sana, Bara bara ya kuelekea kampala ni ndefu, lori likipita na Kisumu hadi port bell itakua ni shortcut kubwa sana.....


Enzi zile kisumu ilikua na viwanda vingi sana, viwanda vilivyokua vinatengeneza bidhaa tofauti, mizigo ya Kutoka Mombasa ilikua inapita na reli hadi kampala, lakini mbali na hilo, mji wa Kisumu wenyewe ulikua unazalisha bidhaa zake ambazo zinasafirishwa hadi Mwanza, Bukoba, Port-bell etc, na kutokana na hizo biashara, pia watu walikua wanasafiri sana ili kufanya biashara.....

MV Uhuru enzi hizo, Ilikua inabeba Rail wagon lakini pia magari yaliobeba mizigo
21151194_1712430548770211_4489286374185651018_n.jpg


Hata kama SGR itafika kisumu na Kampala, inatajiwa kubeba 40% ya mizigo yote, hio 60% bado itapitia barabara, kwanini isipitia na L.Victoria ambayo itakua ni cheaper kuliko kuenda na barabara??

Unafaa ujue viwanda vya Kisumu vilipokufa, bandari nayo iliacha kutumika na Kisumu ikaacha kua logistical hub, Hio central corridor ya Tanzania ilikua imeshakufa kitambo hata kuliko meter guage ya Kenya...

Alafu pia unafaa ujue Port inayopanuliwa na serekali ni old port , hii ni tofauti na new port itakayo jengwa na SGR

The new port is expected to be constructed near Korando. However, ongoing expansion of the old port may see the Government use the funds to improve the existing port.

Usifikirie tu mizigo kutoka nje kuelekea Uganda na DRC, fikiria Viwanda kati ya Mwanza, Jinja, Port-Bell, Kisumu..... Hii ni miji ambayo ikifanya biashara kati ya hii miji itaboresha maisha ya watu wanaozunguka L.Victoria, hio haiwezi fanyika kama hakuna miundombinu kabambe... Hatuwezi kua na the biggest lake in Africa alafu tumekaa tu hata hatuitumiii....
Kwahivyo acha kua kama mwafrika mnafik na mchawi ambae hataki kuona jirani yake anajenga nyumba kwasababu anataka yeye pekee ndo awe anajenga nyumba kwa kijiji... Kisumu port ikifanya kazi hakuna litakalo zuia Tanzania kuuzia bidhaa zake kwa wakaazi wa Kisumu, Eldoret, Bungoma kupitia Mwanza..

Kwa mfano, Coca cola iko na Kiwanda cha kutengeneza Chupa hapo Kisumu, Imagine kaakue na Kiwanda cha kutengeneza Soda kule Mwanza alafu vifuniko vya Soda vitoke Kampala...
Kampuni ya EABL ilifungua kiwanda cha $150m cha kutengeneza bia hapo Kisumu, wanahitaji Sorghum kwa wingi, Kama wakulima wa western Kenya watashindwa kutosheleza, wakulima wa miji ya L.Vitoria wanaweza kuanza kujaza hio order... Hayo ndo mawazo unafaa uwe nayo akilini, si kuwa na fikra za Kimaskini..

Nyanza bottlers ipo Mwanza for over 35 years! Na haijawahi taka chupa toka Kisumu.
 
Kwanza sijui kwa nini port ya Kisumu ilikufa kwa hivyo sitajifanya mjuaji. Pili, port ya Kisumu ilifanya kazi kwa muda wa takriban miaka mia moja kwa hivyo huwezi kamwe kusema eti Mombasa-Kisumu-Port Bell ni expensive. Hio sio kweli maana kama ingekuwa ukweli basi huo mfumo wa usafiri ungekufa kitambo haungekwenda kwa miaka mia moja.
Halafu mizigo inayopitia Kisumu-Port Bell inaweza wasili haraka kushinda inayopitia Busia border kwani kwenye Busia border malori yanaweza chelewa kwa siku mbili au tatu na pia Kisumu- port bell ni karibu kushinda Busia-Kampala.
Ngoja nikufahamishe kuhusu Mwanza port. Mwanza port inategemea sana mizigo ya Uganda kwa zaidi ya 70% kwa ustawi wake, mizigo hii hutokea Dar port kwa reli hadi Mwanza hatimae kuvushwa hadi Port bell na Jinja upande wa Uganda.

Kwa wafanyabiashara wa Uganda, ili wapate faida na kutumia bandari ya Mwanza, lazima mzigo ufike Mwanza kwa reli, sio barabara.

Reli yetu ilipoanza kuyumba, uwezo wake wa kufika mizigo Mwanza ulipungua sana, hivyo wafanyabiashara wa Uganda wakaanza kuikimbia na kuhamia Mombasa. Kumbuka kwa usafiri wa barabara, ni "cheap and faster" kufikisha mizigo Kampala kupitia Mombasa kuliko Dar, kutokana na umbali.

Usafiri pekee kwa wafanyabiashara wa Uganda kuvutika kutumia Dar - Mwanza Ports ni kutumia reli. Hii ndio sababu kubwa ya kufyfuliwa Mwanza port na reli yetu ya "Central corridor simultaneously", kwasababu " central railway is the major single very important feeder to Mwanza port, without which Mwanza port can't survive.

Nina uhakika historia ya Kisumu port na Mwanza Port zinalingana sana. Kisumu port ilitegemea sana rail ili kusafirisha mizigo kutoka Mombasa kwenda Uganda, na kutoka Uganda kwenda Mombasa, kama reli hiyo haifanyi kazi, chaguo linalobaki ni kutumia barabara moja kwa moja toka Mombasa hadi Kampala.
 
Ngoja nikufahamishe kuhusu Mwanza port. Mwanza port inategemea sana mizigo ya Uganda kwa zaidi ya 70% kwa ustawi wake, mizigo hii hutokea Dar port kwa reli hadi Mwanza hatimae kuvushwa hadi Port bell na Jinja upande wa Uganda.

Kwa wafanyabiashara wa Uganda, ili wapate faida na kutumia bandari ya Mwanza, lazima mzigo ufike Mwanza kwa reli, sio barabara.

Reli yetu ilipoanza kuyumba, uwezo wake wa kufika mizigo Mwanza ulipungua sana, hivyo wafanyabiashara wa Uganda wakaanza kuikimbia na kuhamia Mombasa. Kumbuka kwa usafiri wa barabara, ni "cheap and faster" kufikisha mizigo Kampala kupitia Mombasa kuliko Dar, kutokana na umbali.

Usafiri pekee kwa wafanyabiashara wa Uganda kuvutika kutumia Dar - Mwanza Ports ni kutumia reli. Hii ndio sababu kubwa ya kufyfuliwa Mwanza port na reli yetu ya "Central corridor simultaneously", kwasababu " central railway is the major single very important feeder to Mwanza port, without which Mwanza port can't survive.

Nina uhakika historia ya Kisumu port na Mwanza Port zinalingana sana. Kisumu port ilitegemea sana rail ili kusafirisha mizigo kutoka Mombasa kwenda Uganda, na kutoka Uganda kwenda Mombasa, kama reli hiyo haifanyi kazi, chaguo linalobaki ni kutumia barabara moja kwa moja toka Mombasa hadi Kampala.
Wacha tumalize huu mjadala na mimi najiamini kwenye debate.

Tuongee kuhusu usafiri wa barabara, tuweke kando reli kwa sasa.

Distance from Dar to Mwanza by road ni 1126 Km.


Distance from Mwanza to Dar es Salaam
Distance between Mwanza and Dar es Salaam is 853 kilometers (530 miles).
Driving distance from Mwanza to Dar es Salaam is 1126 kilometers (700 miles).

853 km 530 miles
1126 km 700 miles






Distance between Mombasa and Kisumu ni 843 km.


Distance from Kisumu to Mombasa
Distance between Kisumu and Mombasa is 700 kilometers (435 miles).
Driving distance from Kisumu to Mombasa is 843 kilometers (524 miles).

700 km 435 miles
car
843 km
car
524 miles



1126-843 = 283 km


Usafirishaji kwa barabara kutoka Mombasa hadi Kisumu ni bei nafuu kushinda kutoka Dar hadi Mwanza.
 
Wacha tumalize huu mjadala na mimi najiamini kwenye debate.

Tuongee kuhusu usafiri wa barabara, tuweke kando reli kwa sasa.

Distance from Dar to Mwanza by road ni 1126 Km.


Distance from Mwanza to Dar es Salaam
Distance between Mwanza and Dar es Salaam is 853 kilometers (530 miles).
Driving distance from Mwanza to Dar es Salaam is 1126 kilometers (700 miles).

853 km 530 miles
1126 km 700 miles






Distance between Mombasa and Kisumu ni 843 km.


Distance from Kisumu to Mombasa
Distance between Kisumu and Mombasa is 700 kilometers (435 miles).
Driving distance from Kisumu to Mombasa is 843 kilometers (524 miles).

700 km 435 miles
View attachment 1182685 843 kmView attachment 1182686 524 miles



1126-843 = 283 km


Usafirishaji kwa barabara kutoka Mombasa hadi Kisumu ni bei nafuu kushinda kutoka Dar hadi Mwanza.
Safi Sana, nadhani unakuja vizuri sana. Tanzania haiwezi kupambana na Kenya katika kusafirisha mzigo wa Uganda kwa kutumia barabara, kama vigezo vingine vyote vitakua sawa katika usafiri wa barabara kati ya Kenya na Tanzania kwenda Uganda, waganda watachagua Mombasa Port kuifikisha mizigo yao Uganda. Hii ndio sabababu, baada ya reli hizi mbili, ya Tanzania na Kenya kuyumba, njia zilizibaki ni barabara, ambapo Kenya ni karibu sana, waganda wote walikimbilia Kenya.

Tanzania kwa kujua kwamba ili kuwarudisha waganda lazima reli ianze kufanya kazi kwa ufanisi, na kutokana na ukweli kwamba hakuna reli ya moja kwa moja ni lazima kupitia ziwa Victoria, tumelazimika kufufua bandari ya Kwanza, kama tungekuwa na reli ya moja kwa mmoja hadi Uganda kama ilivyo huko Kenya, umuhimu wa kuifufua bandari ya kwa sasa usingekua mkubwa sana.

Kenya mngepaswa kufufua reli hadi Uganda kwanza, kisha kipande kinachokwenda Kisumu kifufuliwe sambamba na bandari ya Kisumu, kwasababu vinategemeana, kufufua kimoja tu bila kingine ni upotevu wa pesa za Umma, waganda wataendelea kutumia barabara toka Mombasa kwenda Uganda.
 
Safi Sana, nadhani unakuja vizuri sana. Tanzania haiwezi kupambana na Kenya katika kusafirisha mzigo wa Uganda kwa kutumia barabara, kama vigezo vingine vyote vitakua sawa katika usafiri wa barabara kati ya Kenya na Tanzania kwenda Uganda, waganda watachagua Mombasa Port kuifikisha mizigo yao Uganda. Hii ndio sabababu, baada ya reli hizi mbili, ya Tanzania na Kenya kuyumba, njia zilizibaki ni barabara, ambapo Kenya ni karibu sana, waganda wote walikimbilia Kenya.

Tanzania kwa kujua kwamba ili kuwarudisha waganda lazima reli ianze kufanya kazi kwa ufanisi, na kutokana na ukweli kwamba hakuna reli ya moja kwa moja ni lazima kupitia ziwa Victoria, tumelazimika kufufua bandari ya Kwanza, kama tungekuwa na reli ya moja kwa mmoja hadi Uganda kama ilivyo huko Kenya, umuhimu wa kuifufua bandari ya kwa sasa usingekua mkubwa sana.

Kenya mngepaswa kufufua reli hadi Uganda kwanza, kisha kipande kinachokwenda Kisumu kifufuliwe sambamba na bandari ya Kisumu, kwasababu vinategemeana, kufufua kimoja tu bila kingine ni upotevu wa pesa za Umma, waganda wataendelea kutumia barabara toka Mombasa kwenda Uganda.
Hiyo mambo ya wewe kusema eti malori yafikapo Kisumu yatatozwa storage and handling charges sio ukweli. Hamna haja ya storage wala handling kwani lori inapofika Kisumu inaingia mara moja ndani ya ferry na kuelekea Uganda. Inapofika Uganda hio lori haitatozwa storage wala handling charges kwani lori hio itashuka na kuendelea na safari yake. Mambo ya storage and handling inakuja kwa train kwani container lazima zitolewe na kupakiwa ndani ya meli, meli inapowasili upande mwingine zinapakuliwa. Siku hizi hata kuna train ambazo zinaingia mzima mzima ndani ya meli bila kushusha container na bila kulipa storage and handling charges. Tuko 21st century wacha kuturudisha kwenye teknolojia za kitambo Joto.
 
Hiyo mambo ya wewe kusema eti malori yafikapo Kisumu yatatozwa storage and handling charges sio ukweli. Hamna haja ya storage wala handling kwani lori inapofika Kisumu inaingia mara moja ndani ya ferry na kuelekea Uganda. Inapofika Uganda hio lori haitatozwa storage wala handling charges kwani lori hio itashuka na kuendelea na safari yake. Mambo ya storage and handling inakuja kwa train kwani container lazima zitolewe na kupakiwa ndani ya meli, meli inapowasili upande mwingine zinapakuliwa. Siku hizi hata kuna train ambazo zinaingia mzima mzima ndani ya meli bila kushusha container na bila kulipa storage and handling charges. Tuko 21st century wacha kuturudisha kwenye teknolojia za kitambo Joto.
Samahani Tony 254. Wewe unataka meli yenye kubeba containers 500 ibebe na Magari, hiyo umeona wapi?. Hii maana yake ni kwamba, kama " payload ya meli ni tani 100, uzito wa malori pekee ni 50%, je huo uzito wa hayo MAGARI yaliyobeba utalipiwa gharama za usafiri au hautolipiwa?.

Meli zinazobeba wagoni, ni moja tu kwa kila bandari, na zina uwezo wa kubeba sio zaidi ya malori 20, kila baada ya siku NNE, kama malori yanayofika bandari ya Kisumu ni 50 kwa siku, maana yake yatalazimika kusubiri muda mrefu sana hapo bandarini, muda ambao yangelikwisha fikisha mzigo.

Kwaufupi Road - marine- Road, ni kwa nchi ambazo haiko "connected by land", kumbuka usafirishaji wa majini ni very slow.
 
Ngoja nikufahamishe kuhusu Mwanza port. Mwanza port inategemea sana mizigo ya Uganda kwa zaidi ya 70% kwa ustawi wake, mizigo hii hutokea Dar port kwa reli hadi Mwanza hatimae kuvushwa hadi Port bell na Jinja upande wa Uganda.

Kwa wafanyabiashara wa Uganda, ili wapate faida na kutumia bandari ya Mwanza, lazima mzigo ufike Mwanza kwa reli, sio barabara.

Reli yetu ilipoanza kuyumba, uwezo wake wa kufika mizigo Mwanza ulipungua sana, hivyo wafanyabiashara wa Uganda wakaanza kuikimbia na kuhamia Mombasa. Kumbuka kwa usafiri wa barabara, ni "cheap and faster" kufikisha mizigo Kampala kupitia Mombasa kuliko Dar, kutokana na umbali.

Usafiri pekee kwa wafanyabiashara wa Uganda kuvutika kutumia Dar - Mwanza Ports ni kutumia reli. Hii ndio sababu kubwa ya kufyfuliwa Mwanza port na reli yetu ya "Central corridor simultaneously", kwasababu " central railway is the major single very important feeder to Mwanza port, without which Mwanza port can't survive.

Nina uhakika historia ya Kisumu port na Mwanza Port zinalingana sana. Kisumu port ilitegemea sana rail ili kusafirisha mizigo kutoka Mombasa kwenda Uganda, na kutoka Uganda kwenda Mombasa, kama reli hiyo haifanyi kazi, chaguo linalobaki ni kutumia barabara moja kwa moja toka Mombasa hadi Kampala.
Hapo nimeweka bold, hebu tueleze kwanini reli ya central-corridor ilianza kuyumba kama ilikua profitable?????
Kumbuka wakati huo pia Reli ya Nortthern-corridor ilikua inaenda moja kwa moja hadi Kampala, nayo pia ilikufa na mizigo ya Uganda ikaishia kupitia bara bara... Hebu nieleze sasa ni nini kimegeuka???
NI nini kitafanya hio central corridor yenu kupata faida sasa kama mulishindwa enzi hizo???
 
Samahani Tony 254. Wewe unataka meli yenye kubeba containers 500 ibebe na Magari, hiyo umeona wapi?. Hii maana yake ni kwamba, kama " payload ya meli ni tani 100, uzito wa malori pekee ni 50%, je huo uzito wa hayo MAGARI yaliyobeba utalipiwa gharama za usafiri au hautolipiwa?.

Meli zinazobeba wagoni, ni moja tu kwa kila bandari, na zina uwezo wa kubeba sio zaidi ya malori 20, kila baada ya siku NNE, kama malori yanayofika bandari ya Kisumu ni 50 kwa siku, maana yake yatalazimika kusubiri muda mrefu sana hapo bandarini, muda ambao yangelikwisha fikisha mzigo.

Kwaufupi Road - marine- Road, ni kwa nchi ambazo haiko "connected by land", kumbuka usafirishaji wa majini ni very slow.
Hata kama reli yenu inaweza kuleta contena 500 hadi mwanza, hio meli yenu ya Rail-Marine-Rain ina uwezo wa kubeba only 880 tones ambazo ni sawa na only 44 containers!!!!! Kwahivyo reli ikifika Mwanza ni contena 44 pekee ndo zitasafirishwa juu ya meli, hizo zengine zitabaki Mwanza hadi Kesho yake...

Alafu hapo unaposema eti uzito wa lorry bla blah blah, FYI, Lorry ikiwa empty Trailer hua na uzito wa approx 7 tones, Empty wagon hua na approx weight of 13 tones...

Alafu mzigo ukiwa juu ya Gari hautalipiwa loading fee, wala storage fee wala service charges, manake dereva ndo ataendesha gari hadi ndani ya meli ... gharaama ambayo atalipia ni transport fee ambayo hata wale wanaotumia rail-Marine-rail bado wanalipia...
 
Nyanza bottlers ipo Mwanza for over 35 years! Na haijawahi taka chupa toka Kisumu.
Bado unatumia akili ya umaskini kufikiria, mimi nilitumia mifano tu sikusema eti ifanyike hivyo....
Haya basi wacha ni geuze hio sentensi, Hizo chupa za kutoka huko Mwanza ndo ziwe zinatumika kwa kampuni flani ya kutengeneza vinywaji hapo Kisumu... Happy now???

Between Mwanza, Port-Bell/Kampala and Kisumu, Hii ni miji ambayo inaweza kutegemeana kujenga uchumi mkubwa sana hapo L.Victoria.....
Meli za kuvua samaki kutoka Tanzania/Uganda zinaweza kuvua samaki na kuuzia Kisumu ambao wata supply Kenya nzima na Samaki kutoka ziwani...
Kunaweza kujengwa mahoteli mengi kwa ufuo wa L.Victoria na watalii wawe wanazunguka nchi zote za EAC ndani ya Luxury ferry kama vile cruise ships hufanya, Wakifika mwanza wanashukana kutembelea vivutio kadhaa hapo mwanza kwa siku moja, wakifika kisumu wanashuka na kuzungushwa kisumu,...etc...... Hii miji inayopakana na L.Victoria iko na ufuo wa bahari kama vile Indian ocean, hakuna sababu yoyote inayozuilia hii miji kupokea watalii wengi wa beach-tourism kama vile miji ya Dar, Mombasa, Zanzibar, Watamu inavyopokea watalii wengi..

Kisumu_view-from-Kisumu-Beach-Resort.jpg
 
Hata kama reli yenu inaweza kuleta contena 500 hadi mwanza, hio meli yenu ya Rail-Marine-Rain ina uwezo wa kubeba only 880 tones ambazo ni sawa na only 44 containers!!!!! Kwahivyo reli ikifika Mwanza ni contena 44 pekee ndo zitasafirishwa juu ya meli, hizo zengine zitabaki Mwanza hadi Kesho yake...

Alafu hapo unaposema eti uzito wa lorry bla blah blah, FYI, Lorry ikiwa empty Trailer hua na uzito wa approx 7 tones, Empty wagon hua na approx weight of 13 tones...

Alafu mzigo ukiwa juu ya Gari hautalipiwa loading fee, wala storage fee wala service charges, manake dereva ndo ataendesha gari hadi ndani ya meli ... gharaama ambayo atalipia ni transport fee ambayo hata wale wanaotumia rail-Marine-rail bado wanalipia...
Magufuli plans to have at least 4 wagon ferries for Tanzania! Aside MV Umoja, another wagon ferry is being renovoted and brand new one with a capacity 50 wagons is being constructed!
 
Magufuli plans to have at least 4 wagon ferries for Tanzania! Aside MV Umoja, another wagon ferry is being renovoted and brand new one with a capacity 50 wagons is being constructed!
we also have plans, but for now lets stick to what we currently have not what we will have in the future
 
we also have plans, but for now lets stick to what we currently have not what we will have in the future
Aside Mv Uhuru I am not sure u will have another wagon ferry any soon! While 2 r already in the works, while one running for Tanzania, the same can't be said of Kenya!
 
Back
Top Bottom