joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
- #41
Hahahaha, hahahaha, hahahaha.Hahaa....Sasa si umuinbox muongee na yeye huko inbox.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha, hahahaha, hahahaha.Hahaa....Sasa si umuinbox muongee na yeye huko inbox.
nani hapendi sifa maishani,Kama haupendi sifa basi you are a walking corpse nowonder dangagiza is just that a land of walking corpsesHawa wakenya wanapenda sifa
Niliitegemea hii commentnani hapendi sifa maishani,Kama haupendi sifa basi you are a walking corpse nowonder dangagiza is just that a land of walking corpses
Heeeee eti bajeti yenu poor tony bajeti ya Kenya siyo Mali ya mwananchi ni Mali ya Uhuru na familia yake na marafiki wakeNani amekuambia geza eti hatuna $2 bn. Geza wachanga madharau saa zingine. Yaani wewe hujui budget yetu this year ni $30 bn? Duh wewe unajua mambo mengi kuhusu Kenya unajua tunaeza afford kujenga sgr kutoka Mombasa hadi Nairobi kila mwaka na tutabaki na change. Shida ni corruption na stupidly high wage bill. 2% of Kenyans get paid 50% of budget according to President Uhuru's speech in state of the nation adress. Kenya ina pesa vibaya sana, tatizo ni inatumika aje? Usije tena siku nyingine kuuliza kama tuna pesa, afadhali uhoji pesa inaenda wapi
Hiyo ni opinion yangu na kila mtu ako na right ya kusema anachotaka.
Heee tony ujui huyo anaitwa miss kibera originalSawa. Acha tuone kama jito la jiwe atafikisha ujumbe maana kina Uhuru, ruto na wengineo hawajui kama kuna kitu kinaitwa jf.. Wangesoma malalamiko yako..
Sawa. Acha tuone kama jito la jiwe atafikisha ujumbe maana kina Uhuru, ruto na wengineo hawajui kama kuna kitu kinaitwa jf.. Wangesoma malalamiko yako..
Nani amekuambia geza eti hatuna $2 bn. Geza wachanga madharau saa zingine. Yaani wewe hujui budget yetu this year ni $30 bn? Duh wewe unajua mambo mengi kuhusu Kenya unajua tunaeza afford kujenga sgr kutoka Mombasa hadi Nairobi kila mwaka na tutabaki na change. Shida ni corruption na stupidly high wage bill. 2% of Kenyans get paid 50% of budget according to President Uhuru's speech in state of the nation adress. Kenya ina pesa vibaya sana, tatizo ni inatumika aje? Usije tena siku nyingine kuuliza kama tuna pesa, afadhali uhoji pesa inaenda wapi
Sawa geniusHeeeee eti bajeti yenu poor tony bajeti ya Kenya siyo Mali ya mwananchi ni Mali ya Uhuru na familia yake na marafiki wake
Huyo ni rafiki yangu, usimchokoze. Na jina langu usiwahi kuandika kwa small letter tena nitakuzaba kofi.Heee tony ujui huyo anaitwa miss kibera original
Ukivunja makaazi ya kibera lazima ahandamane
What happened with today's launch at Kisumu port?Huyo ni rafiki yangu, usimchokoze. Na jina langu usiwahi kuandika kwa small letter tena nitakuzaba kofi.
I am not sure but i don't think it happened. We will find out the reasons laterWhat happened with today's launch at Kisumu port?
I am not sure but i don't think it happened. We will find out the reasons later
Yaani wewe upewe tu citizenship ya Kenya, you deserve it kwa bidii uliyonayo kusaka infornation kutuhusu![]()
Nation - Breaking News, Kenya, Africa, Politics, Business, Sports | HOME
Nation.Africa brings the Latest News from Kenya, Africa and the World. Get live news and latest stories from Politics, Business, Technology, Sports and more.www.nation.co.ke
Naskia Mv Uhuru ime-fail safety standards!Yaani wewe upewe tu citizenship ya Kenya, you deserve it kwa bidii uliyonayo kusaka infornation kutuhusu
Naskia Mv Uhuru ime-fail safety standards!
The road leading to Kisumu port is 99% complete. The port part isn't complete and that's the main reason why it wasn't launched today.View attachment 1182248View attachment 1182249View attachment 1182250View attachment 1182251
Does Mwanza even have a road leading to the port?Mbona kako narrow hivyo kama ka street.
[emoji16][emoji23][emoji1787]
Does Mwanza even have a road leading to the port?
Niliitegemea hii comment