Bado sijaona mbadala wa Scandinavian katika usafiri wa Mabasi. Nauli ilitofautiana kwa aina ya SCANIA

Bado sijaona mbadala wa Scandinavian katika usafiri wa Mabasi. Nauli ilitofautiana kwa aina ya SCANIA

Kwa lipi? Je zilikuwa zinapaa? Au mwisho wa safari alikuwa anarudisha nauli? Kipi kilikuwa ni special ambacho mabus mengine hayakifanyi?
Alikuwa na huduma ya "loyal customers" au twaweza ita "frequent traveller service".
Yaani ukisafiri na bus zake mara kadhaa kwa kipindi cha muda fulani, unapata tiketi ya bure.
 
Biashara ya mabasi ni kama biashara ya ndege ni pasua kichwa. Ni mwendo wa hasara tu.

Makampuni ya mabasi kila siku yanakuja na kufa, ambayo yanadumu kiasi ni yale ambayo mmiliki anaingiza pesa kwenye mabasi toka kwenye vyanzo vingine ambapo napo eventually hufa natural death.

Same applies kwa makampuni ya ndege, sio bahati mbaya makampuni makubwa ya ndege ni state owned from Qatar, emirates, KLM, Ethiopia nk. Nchi zina-inject pesa kuyaendesha toka kwenye vyanzo vingine ila yenyewe kama yenyewe hayaingiza faida yeyote. Serikali zikiacha kuyaruzuku yanajifia faster. Biashara ya usafirishaji isikie tu.
 
Kumbe umezeeka sana ila bado unafanya uchimvi wa wakora jukwaani !
Natumia sana usafiri wa mabasi, bado sijaona mbadala wa Scandinavian kwa kweli. Hawa akina Sauli, Shabiby, sijui ABC bado sana aisee.

Scandinavian ilikuwa bora kuanzia kwenye vyuma vyenyewe yaani Scania tupu hakuna Layland hadi kwenye huduma. Ligi ya sasa ni vyuma vya mchina aka kambi popote

Mungu wa mbinguni mbariki mzee Abdullah na Bob Said pale Iringa
 
Nimewahi kata tiketi kwenye shabiby mara mbili hivi. Na nilikuwa napandia bus vituo vitatu mbele toka stand na mara zote nilifika kwenye gari nakuta siti yangu imekaliwa na mtu afu nae ana tiketi kama yangu dadeki,

Hao ABC tulimpakia dogo wamshushe mlandizi tena kwa kuwasisitiza sana na kuwapigia simu mara kwa mara wakiwa njiani, lakini bado walikuja kushtukia wamefika nae mbezi na bahati mbaya dogo alisinzia
Kuna bus ni mbovu sana

Kuna bus moja huwa laanzia sehemu hadi nilifike mkoa ulipo seat yako ishakatiwa mara mbili unapanda unakuta mtu kakaa huwa sielewagi unamuuliza anakwambia Ana ticket mnamuita konda sasa
 
Inawezekana ushamba na uadimu wa huduma ndiyo unaokufanya mpaka Leo ukumbuke. Sasa hv huduma Bora zinapatikana popote ndiyo maana huoni Cha ziaida..if unataka scania tupu zipo sauli, Kilimanjaro na Arusha express. Mm sijaona utofauti wa kupanda scania na youtong labda uniambie utofauti wake nipate kung'amua.
Have you ever feel the power of f360 going uphill?
 
Siyo mabenki

Wakubwa waliingiza mabasi yao wakawa wanajaza diesel ya Serikali

Route za wakubwa:

Dar - Nairobi

Dar - Kampala

Dar - Mombasa

Dar - Tunduma

Dar - Kyela
Sasa yakafa je? Eleza hapa yalikufa je?
 
Nahisi hukuzikuta zikiwa zinatoa huduma hivyo ni sahihi kwako kupingana na wanaoeleza ubora wake wa huduma

V Hao uliowataja hawajafikia hata urefu wa route alizokuwa anakwenda scandinavia kwa urefu na huduma za hali ya juu kwa abiria, mizigo na pesa tena bila kuchoka wahudumu na abiria
Hao uliowataja pale juu hiyo tuu safari ya Dar - Dom wahudumu huanza kuwachoka abiria na full makasiriko je wangekuwa wanakwenda Kampala si wangekuwa wanawapiga mabanzi abiria.... Na abiria nao huanza kuichoka safari kwa setting za seats, harufu za uvundo na kutojaliwa
Hajatokea wa kuwazidi wala kutukumbusha huduma za scandinavia bus service, asilani
Nakazia aisee nimezipanda sana enz za miaka ya 2003 iringa_ dar,tena zilikua zinatufata shule kabisa boarding ruaha sec iringa ,dar_ Nairobi to Musoma,zilikua ndege za chini zile, very express ,miss those days !!time flies
 
Point kubwa niliyoielewa ulipenda hizo gari sababu ni Scania it's seems haupo interested na Brand nyinginezo lakini kuhusu huduma tuseme ukweli kampuni nyingi zinajitahidi kuwa royal Kwa customer wao ukizingatia time hii Kuna competition kubwa kwenye game la usafirishaji.
Royal?
Hakuna kampuni bora tena.
Ukaribu wa kuiga.
Huduma za kuunga unga tu.
Ubabaishaji mwingi sana
 
Miaka hyo hakukua na smartphone wal wifi
Wewe ndio haukuwa na smartphone, mimi nilikuwa na Blackberry curve.

Kama umeanza kutumia smartphone kizazi cha Tecno ni wewe, kipindi hicho internet wireless inaitwa WLAN, nimetumia sana Kilimanjaro hotel free wireless internet.
 
Mwenyekiti wako hapo Ufipa alikuwa Dj wetu kwenye hotel ya babake pale Posta

Wewe ulikuwa bado uko viunoni
Hotel ya Baba yake ilikuwa mtaa gani na ilikuwa inaitwaje?

Ulikuwa kijijini kwenu unalima Uyoga, tueleze Hotel ya baba yake Mbowe ilikuwa wapi?
 
Alitengeneza reputation yake nzuri ila msipate upofu Bado Kuna kampuni zinatoa service nzuri za mabasi kushinda hizo gari mseme mmezimiss hizo basi tu.

Ile quality ya service bado haijafikiwa. Wanajitahidi lakini ile kampuni ilikua na huduma nzuri sana, mabasi mazuri nk.
 
Back
Top Bottom