maiyanga1
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 1,340
- 1,832
Hawajali muda kabisaaaaaYah mfano ratco acha kabisa, tanga dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajali muda kabisaaaaaYah mfano ratco acha kabisa, tanga dar
Kwasasa sio msafiri sana ila nahisi nacharo, ratco na shabiby luxury wanaweza wakawa na huduma nzuri kama scandinavia au hata zaidiSawa alikuwa na route nyingi kutokana na bus alizokuwa nazo. Je service iliyokuwa inatolewa kipindi Cha safari ndani ya bus hakuna kampuni yoyote inaitoa Sasa.?
TobaaaHawajali muda kabisaaaaa
Sijawahi kusafiri na "mabus yote", hivyo siwezi zungumzia chochote kuhusu "mabus yote".Hiyo huduma ilikuwepo karibia mabus yote usipotoshe umma
Hongera Kwa kuwa mwerevu.Sijawahi kusafiri na "mabus yote", hivyo siwezi zungumzia chochote kuhusu "mabus yote".
Pole kwa kuwa kilaza.
...Na ilikuwa haikimbii Ovyo kama tunavyoona Sasa hivi! Kikubwa ni kuwa haisimami sima ovyo kuokoteza okoteza Abiria!Mkuu hii mada ninakubaliana nawe 100%,Scandinavian Express ilikua super inakuondoa Dar 06:00am to Tunduma, saa 17:00ndani ya border, 20:00hrs from nakonde by 05:00am,ni good morning Lusaka Bus Terminal, hii bus ilikua hadi ndani ya zambia hakuna bus ilikua inaikamata(elewa buses zingine zilikua zinaondoka nakonde by 18:00!,lakini Kapiri Mposhi bus ya kwanza kupiga hodi pale ni Scandinavian iliyoondoka 20:00),salute salute kwa Scandinavian Express
Top class service...Na ilikuwa haikimbii Ovyo kama tunavyoona Sasa hivi! Kikubwa ni kuwa haisimami sima ovyo kuokoteza okoteza Abiria!
Niliwahi kutoka nayo Tanga on time tukiwa Abiria 17 TU! Na hatukusimama popote Hadi Dar!
....Walikuwa Mpaka na MainSpectaNjiani wanapanda manjiani kukagus Tiketi!Akikujibu pls tag me, na atoe facts sio blah blah, Scandinavian Express walikua na top class systems ya tickets, top class boarding lounge, ALWAYS ON TIME,they never ever cancel a trip, well serviced buses, well trained staff,no RUSH njiani,mkisimama sehemu ya mapumziko it's more than 30mins,ndani y bus ni smile tupu, binafsi nilipenda bcs always no 1
....Na Kasoro zake ulizoziona??...Niliyatumia mkuu.
...We bwana inaelekea unataka Ubishi TU!... Scandnavia ilikuwa Bora Kwa Huduma Zake! Kufa ni Mambo ya Kibiahara TU lakini yalikuwa Bora kwenye HUDUMA!Kati ya yeye na dar ex Nani Bora Sasa ..huyo mnaemsifia gari zake ziliuzwa Kama nyanya
Ina maana hujaiona reli ya kati?Natumia sana usafiri wa mabasi, bado sijaona mbadala wa Scandinavian kwa kweli. Hawa akina Sauli, Shabiby, sijui ABC bado sana aisee.
Scandinavian ilikuwa bora kuanzia kwenye vyuma vyenyewe yaani Scania tupu hakuna Layland hadi kwenye huduma. Ligi ya sasa ni vyuma vya mchina aka kambi popote
Mungu wa mbinguni mbariki mzee Abdullah na Bob Said pale Iringa