residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Alikuwa na huduma ya "loyal customers" au twaweza ita "frequent traveller service".Kwa lipi? Je zilikuwa zinapaa? Au mwisho wa safari alikuwa anarudisha nauli? Kipi kilikuwa ni special ambacho mabus mengine hayakifanyi?
Huyu alijitahidi kwenda na muda tuMohamed Trans je!?
Kama ipi.Alitengeneza reputation yake nzuri ila msipate upofu Bado Kuna kampuni zinatoa service nzuri za mabasi kushinda hizo gari mseme mmezimiss hizo basi tu.
Natumia sana usafiri wa mabasi, bado sijaona mbadala wa Scandinavian kwa kweli. Hawa akina Sauli, Shabiby, sijui ABC bado sana aisee.
Scandinavian ilikuwa bora kuanzia kwenye vyuma vyenyewe yaani Scania tupu hakuna Layland hadi kwenye huduma. Ligi ya sasa ni vyuma vya mchina aka kambi popote
Mungu wa mbinguni mbariki mzee Abdullah na Bob Said pale Iringa
Mwenyekiti wako hapo Ufipa alikuwa Dj wetu kwenye hotel ya babake pale PostaKumbe umezeeka sana ila bado unafanya uchimvi wa wakora jukwaani !
Kuna bus ni mbovu sanaNimewahi kata tiketi kwenye shabiby mara mbili hivi. Na nilikuwa napandia bus vituo vitatu mbele toka stand na mara zote nilifika kwenye gari nakuta siti yangu imekaliwa na mtu afu nae ana tiketi kama yangu dadeki,
Hao ABC tulimpakia dogo wamshushe mlandizi tena kwa kuwasisitiza sana na kuwapigia simu mara kwa mara wakiwa njiani, lakini bado walikuja kushtukia wamefika nae mbezi na bahati mbaya dogo alisinzia
Have you ever feel the power of f360 going uphill?Inawezekana ushamba na uadimu wa huduma ndiyo unaokufanya mpaka Leo ukumbuke. Sasa hv huduma Bora zinapatikana popote ndiyo maana huoni Cha ziaida..if unataka scania tupu zipo sauli, Kilimanjaro na Arusha express. Mm sijaona utofauti wa kupanda scania na youtong labda uniambie utofauti wake nipate kung'amua.
HakunaAlitengeneza reputation yake nzuri ila msipate upofu Bado Kuna kampuni zinatoa service nzuri za mabasi kushinda hizo gari mseme mmezimiss hizo basi tu.
Sasa yakafa je? Eleza hapa yalikufa je?Siyo mabenki
Wakubwa waliingiza mabasi yao wakawa wanajaza diesel ya Serikali
Route za wakubwa:
Dar - Nairobi
Dar - Kampala
Dar - Mombasa
Dar - Tunduma
Dar - Kyela
Miaka hyo hakukua na smartphone wal wifiScandinavia ziliwahi kuwa na seat 2 by 1 free WiFi, na tv screen kila mtu kwenye siti yake?
Nakazia aisee nimezipanda sana enz za miaka ya 2003 iringa_ dar,tena zilikua zinatufata shule kabisa boarding ruaha sec iringa ,dar_ Nairobi to Musoma,zilikua ndege za chini zile, very express ,miss those days !!time fliesNahisi hukuzikuta zikiwa zinatoa huduma hivyo ni sahihi kwako kupingana na wanaoeleza ubora wake wa huduma
V Hao uliowataja hawajafikia hata urefu wa route alizokuwa anakwenda scandinavia kwa urefu na huduma za hali ya juu kwa abiria, mizigo na pesa tena bila kuchoka wahudumu na abiria
Hao uliowataja pale juu hiyo tuu safari ya Dar - Dom wahudumu huanza kuwachoka abiria na full makasiriko je wangekuwa wanakwenda Kampala si wangekuwa wanawapiga mabanzi abiria.... Na abiria nao huanza kuichoka safari kwa setting za seats, harufu za uvundo na kutojaliwa
Hajatokea wa kuwazidi wala kutukumbusha huduma za scandinavia bus service, asilani
Royal?Point kubwa niliyoielewa ulipenda hizo gari sababu ni Scania it's seems haupo interested na Brand nyinginezo lakini kuhusu huduma tuseme ukweli kampuni nyingi zinajitahidi kuwa royal Kwa customer wao ukizingatia time hii Kuna competition kubwa kwenye game la usafirishaji.
Wewe ndio haukuwa na smartphone, mimi nilikuwa na Blackberry curve.Miaka hyo hakukua na smartphone wal wifi
Labda amezingatia zile rangi za blue...Unaeza nambia kwann umemuweka dar lux hapo
Kwenye mradi mkubwa wowote yakishahusika majizi ya ccm ni lazima wafirisi.Sasa yakafa je? Eleza hapa yalikufa je?
Umewahi kupanda BM coach? Bus moja hilohilo kuna VIP na economy.Kama ipi.
Scandinavia ilikua habari ingine. Kulikua na economy bus
Business
Na first class.nani mwenye hiyo leo
Hotel ya Baba yake ilikuwa mtaa gani na ilikuwa inaitwaje?Mwenyekiti wako hapo Ufipa alikuwa Dj wetu kwenye hotel ya babake pale Posta
Wewe ulikuwa bado uko viunoni
Alitengeneza reputation yake nzuri ila msipate upofu Bado Kuna kampuni zinatoa service nzuri za mabasi kushinda hizo gari mseme mmezimiss hizo basi tu.
Shabiby, ABC upperclass, Dar lux, Superfeo,