Bado sijaona mbadala wa Scandinavian katika usafiri wa Mabasi. Nauli ilitofautiana kwa aina ya SCANIA

Kila jambo na wakati wake.nimepanda scandinavia zaidi ya mara kumi,miaka 90 mwishoni hadi 2000s.

Huduma zilikuwa nzuri kwa wakati ule,pia aina ya washindani wake wakati ule walikuwa wa kawaida.

Miaka ile soda ilikuwa " kitu cha maana" au video ilikuwa kitu adimu,kwahiyo ukihudumiwa hayo mambo unajiona mfalme,nilikuwa natunza tiketi za ukumbusho.

Miaka ile hata magari binafsi yalikuwa ya kawaida,corola,cresta,datsun n.k

Saivi mambo yamebadilika kila kitu kimekuwa cha kawaida,kwamba mtu unaweza kujitosheleza kwa kila kitu na kila siku kwenye maisha ya kawaida,kwahiyo unapokwenda kupanda basi unaona kila huduma ni ya kawaida hadi unaona kama ni usumbufu.

Haya ma yutong mazuri,yanajitosheleza kulingana na maisha ya sasa yalivyo.

Miaka ile ushamba ulikuwa mwingi ndio maana tulishoboka na hayo mabasi,lakini yalikuwa ya kawaida tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa alikuwa na route nyingi kutokana na bus alizokuwa nazo. Je service iliyokuwa inatolewa kipindi Cha safari ndani ya bus hakuna kampuni yoyote inaitoa Sasa.?
Kwasasa sio msafiri sana ila nahisi nacharo, ratco na shabiby luxury wanaweza wakawa na huduma nzuri kama scandinavia au hata zaidi
 
Iyo kampuni ilikuwa ni next level kabisa. Level za kimataifa kabisa
 
...Na ilikuwa haikimbii Ovyo kama tunavyoona Sasa hivi! Kikubwa ni kuwa haisimami sima ovyo kuokoteza okoteza Abiria!
Niliwahi kutoka nayo Tanga on time tukiwa Abiria 17 TU! Na hatukusimama popote Hadi Dar!
 
...Na ilikuwa haikimbii Ovyo kama tunavyoona Sasa hivi! Kikubwa ni kuwa haisimami sima ovyo kuokoteza okoteza Abiria!
Niliwahi kutoka nayo Tanga on time tukiwa Abiria 17 TU! Na hatukusimama popote Hadi Dar!
Top class service
 
....Walikuwa Mpaka na MainSpectaNjiani wanapanda manjiani kukagus Tiketi!
 
Kati ya yeye na dar ex Nani Bora Sasa ..huyo mnaemsifia gari zake ziliuzwa Kama nyanya
...We bwana inaelekea unataka Ubishi TU!... Scandnavia ilikuwa Bora Kwa Huduma Zake! Kufa ni Mambo ya Kibiahara TU lakini yalikuwa Bora kwenye HUDUMA!
 
Ina maana hujaiona reli ya kati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…