Pre GE2025 Bado sijaona Watu wa kuandamana nchi hii hata wangechukuliwa wake zao

Pre GE2025 Bado sijaona Watu wa kuandamana nchi hii hata wangechukuliwa wake zao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wengi sana. Uratibu ukifanyika vizuri kuanzia kwenye mashina ya chama.

Kwa chama kinachojinasibu kina wanachama zaidi ya milioni nane hata pasiporatibiwa. Tamko moja tuu la mwenyekiti wao lingetosha kabisa.

Sasa uratibu unazungumzia nini?
 
Upo sahihi hivi ndivyo Watanganyika tulivyo tengenezwa toka utawala wa kipumbavu wa Nyerere.

Nawaheshimu sana Wazanzibari katika kudai haki kidogo wao wana uhai licha ya kuteswa na kuuawa na askari wa Tanganyika.

Kwa sasa Wazenji nao wamejaa kwenye mfuko kadiri siku zinavyosonga.
Sidhani kama utakuja kusikia tenile spirit waliyokuwa nayo ya kudai kile walichokiita ni haki
 
Kwa chama kinachojinasibu kina wanachama zaidi ya milioni nane hata pasiporatibiwa. Tamko moja tuu la mwenyekiti wao lingetosha kabisa.

Sasa uratibu unazungumzia nini?
Hizo ni akili za kizamani. Maandamano ni lazima yawe smart na strategic kuwa objective.
 
Kwema Wakuu!

Sina uzoefu mkubwa wa mambo ya siasa za nchi hii. Lakini kwa akili zangu hizi ndogo nadiriki kusema kuwa kile alichotangaza Mhe. Mbowe kwamba wataandaa maandamano ya Amani januari 24 hayatafanyika.
Hayo mambo ya kusema sijui Bakabaka watafanya Usafi wala isije ikawa kisingizio.

Bakabaka hawajawahi kuwa tishio kwa Wananchi walioamua kudai haki zao za msingi. Narudia Bakabaka hawajawahi kuwa kizuizi kwa Watu walioamua kudai haki zao.

Kwa nchi yetu hatuna Watu wa aina hiyo. Na kama wapo basi kwenye laki yupo mmoja.
Nchi hii ingekuwa na Watu angalau elfu tano tuu wenye ile roho ya kudai na kupigania haki zao basi mambo mengi yangeenda. Lakini kwa bahati mbaya Watu hao hawapo.

Kwa nchi yetu hata Watu wachukuliwe Wake zao, nina uhakika hakuna wa kuandamana. Wataishia tuu kulalama chinichini. Kwani hata kupiga kelele hawana huo uwezo.

Elewa kuwa Watu wanaodai haki zao sifa yao kubwa hawaogopi Kifo. Hiyo ndio sifa yao namba moja. Na kama hawaogopi kifo maana yake hakuna wanachoogopa katika hii dunia.

Huwezi kudai haki ikiwa kuna kitu chenye thamani kuliko haki unayoidai. Huo ni ulaghai. Kujidanganya na kudanganya Watu.

Nawatakia jumapili njema
Umeupiga mwingi sana mkuu ila kwa hali inavyozidi kuwa mbaya ipo siku hiki kizazi cha panya rodi wataungana watakinukisha unajua malezi tuliolelewa yanafanya mtu ujitafakari sana ukishaona unaishi familia inakula unaona yanini malumbano ukapoteze familia yako ila kuna hiki kizazi jeuri hawana la kupoteza na malezi waliopewa ni songa twende watafanya jambo na mbaya zaidi ni hiki hiki kizazi ndio kinakutana na ukosefu wa ajira kuminywa kwa uhuru serikali kutojali wananchi kwahyo wataamua kukinukisha na ndipo kizazi chetu tunaweza waunga mkono mbali na hapo itabaki kuzaliwa na kufa tanzania bila kuona mambo ya msingi yakifanyika
 
Dunia haendi hivyo nikitaka kitu mimi sina haja ya kukusubiri wewe. Watu wakuandamana wapo ni suala la ku organise tu.

Maandamano ya hapo Kenya unajua yalifanyikaje?
Lilikuwa tamko moja tuu la Odinga na wote tunajua nini kilifanyika.

Ku-organise kwani ni mapinduzi?
Mapinduzi ndio yanahitaji uratibu
 
Kwema Wakuu!

Sina uzoefu mkubwa wa mambo ya siasa za nchi hii. Lakini kwa akili zangu hizi ndogo nadiriki kusema kuwa kile alichotangaza Mhe. Mbowe kwamba wataandaa maandamano ya Amani januari 24 hayatafanyika.
Hayo mambo ya kusema sijui Bakabaka watafanya Usafi wala isije ikawa kisingizio.

Bakabaka hawajawahi kuwa tishio kwa Wananchi walioamua kudai haki zao za msingi. Narudia Bakabaka hawajawahi kuwa kizuizi kwa Watu walioamua kudai haki zao.

Kwa nchi yetu hatuna Watu wa aina hiyo. Na kama wapo basi kwenye laki yupo mmoja.
Nchi hii ingekuwa na Watu angalau elfu tano tuu wenye ile roho ya kudai na kupigania haki zao basi mambo mengi yangeenda. Lakini kwa bahati mbaya Watu hao hawapo.

Kwa nchi yetu hata Watu wachukuliwe Wake zao, nina uhakika hakuna wa kuandamana. Wataishia tuu kulalama chinichini. Kwani hata kupiga kelele hawana huo uwezo.

Elewa kuwa Watu wanaodai haki zao sifa yao kubwa hawaogopi Kifo. Hiyo ndio sifa yao namba moja. Na kama hawaogopi kifo maana yake hakuna wanachoogopa katika hii dunia.

Huwezi kudai haki ikiwa kuna kitu chenye thamani kuliko haki unayoidai. Huo ni ulaghai. Kujidanganya na kudanganya Watu.

Nawatakia jumapili njema
Umesema kweli kabisa watu hswezi kuandana kabisa kwa sababu kwanza wamegawanyika sana na kitu kingine badi ridhiki inapatikana hivyo at list watu wanapata ata mlo mmoja, tunaendelea kupata misaada kutoka nje kwa sababu nchi yetu bado inalasilimali nyingi, zitakapo kwisha ndipo akili itatukaa sawa, hakuna mtu ataksye ambiwa aandamane ila utajikuta unaandamana mwenyewe, ikifikia kama wale wakoma walioenda kwenye kambi ya washami kuomba chakula ndipo watu akili itawakaa sawa, hivi sasa wacha tuendelee kufaidi dona na ndondo.
 
Mbona watu waliandamana kwa ajili ya NCCR, CUF na chadema ya Slaa ulikuwa hujazaliwa? Ni muda kamati za Chadema kuwaita wanachama hai kutimiza majukumu yao kwa chama na Nchi.
Kipindi kile hivi vyama vilikuwa vya moto sana lakini pia wafuasi wengi walikuwa hawafahamu undani wa viongozi wa hvi vyama so kwa Sasa watu wengi wanafahamu kuwa Hawa ni vibaraka wa chama tawala ni Ngumu Sana kwa Sasa watu kuwa mstari mbele na Hawa viongozi sana sana labda ni wale wenye masilahi na hizo saccos.
 
kuna watu walikuwa wanasema mbona Mbowe yupo kimya haya sasa keshasema maisha ni magumu sukari kilo 5000.
 
Mbona watu waliandamana kwa ajili ya NCCR, CUF na chadema ya Slaa ulikuwa hujazaliwa? Ni muda kamati za Chadema kuwaita wanachama hai kutimiza majukumu yao kwa chama na Nchi.
Kipindi kile hivi vyama vilikuwa vya moto sana lakini pia wafuasi wengi walikuwa hawafahamu undani wa viongozi wa hvi vyama so kwa Sasa watu wengi wanafahamu kuwa Hawa ni vibaraka wa chama tawala ni Ngumu Sana kwa Sasa watu kuwa mstari mbele na Hawa viongozi sana sana labda ni wale wenye masilahi na hizo saccos.
 
Kwema Wakuu!

Sina uzoefu mkubwa wa mambo ya siasa za nchi hii. Lakini kwa akili zangu hizi ndogo nadiriki kusema kuwa kile alichotangaza Mhe. Mbowe kwamba wataandaa maandamano ya Amani januari 24 hayatafanyika.
Hayo mambo ya kusema sijui Bakabaka watafanya Usafi wala isije ikawa kisingizio.

Bakabaka hawajawahi kuwa tishio kwa Wananchi walioamua kudai haki zao za msingi. Narudia Bakabaka hawajawahi kuwa kizuizi kwa Watu walioamua kudai haki zao.

Kwa nchi yetu hatuna Watu wa aina hiyo. Na kama wapo basi kwenye laki yupo mmoja.
Nchi hii ingekuwa na Watu angalau elfu tano tuu wenye ile roho ya kudai na kupigania haki zao basi mambo mengi yangeenda. Lakini kwa bahati mbaya Watu hao hawapo.

Kwa nchi yetu hata Watu wachukuliwe Wake zao, nina uhakika hakuna wa kuandamana. Wataishia tuu kulalama chinichini. Kwani hata kupiga kelele hawana huo uwezo.

Elewa kuwa Watu wanaodai haki zao sifa yao kubwa hawaogopi Kifo. Hiyo ndio sifa yao namba moja. Na kama hawaogopi kifo maana yake hakuna wanachoogopa katika hii dunia.

Huwezi kudai haki ikiwa kuna kitu chenye thamani kuliko haki unayoidai. Huo ni ulaghai. Kujidanganya na kudanganya Watu.

Nawatakia jumapili njema


Watu wanaua wakichukuliwa wake zao wewe unaongea kuandamana, kwenye mke? Ni wewe tu brother huwezi andamana sababu ya mke.
 
Yaani familia yangu wananisubiri nirudi na chakula, jioni niwaambie nilienda kwa Mbowe kuandamana.

Msigwa alishasema, kufanya jambo lilelile, kwa njia ile ile na kutarajia matokeo tofauti, ni uwendawazimu. Chadema wameshatumia njia ya maandamano mara nyingi lakini mara zote inakwama
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Maandamano ya hapo Kenya unajua yalifanyikaje?
Lilikuwa tamko moja tuu la Odinga na wote tunajua nini kilifanyika.

Ku-organise kwani ni mapinduzi?
Mapinduzi ndio yanahitaji uratibu
Hujui chochote kuhusu maandamano ya Kenya. Wasingekuwa wana organise wakina Uhuru na Ruto wasingepelekwa The Hague.
 
Umeupiga mwingi sana mkuu ila kwa hali inavyozidi kuwa mbaya ipo siku hiki kizazi cha panya rodi wataungana watakinukisha unajua malezi tuliolelewa yanafanya mtu ujitafakari sana ukishaona unaishi familia inakula unaona yanini malumbano ukapoteze familia yako ila kuna hiki kizazi jeuri hawana la kupoteza na malezi waliopewa ni songa twende watafanya jambo na mbaya zaidi ni hiki hiki kizazi ndio kinakutana na ukosefu wa ajira kuminywa kwa uhuru serikali kutojali wananchi kwahyo wataamua kukinukisha na ndipo kizazi chetu tunaweza waunga mkono mbali na hapo itabaki kuzaliwa na kufa tanzania bila kuona mambo ya msingi yakifanyika

Kwa wenye macho kama hilo litatokea ni wazi nchi hii itagawanyika na kutoka vinchi kadhaa.
Lakini pakiwa na nchi moja hali itaendelea kuwa vivi hivi dunia ingalipo.
Sisi ni waafrika
 
Kipindi kile hivi vyama vilikuwa vya moto sana lakini pia wafuasi wengi walikuwa hawafahamu undani wa viongozi wa hvi vyama so kwa Sasa watu wengi wanafahamu kuwa Hawa ni vibaraka wa chama tawala ni Ngumu Sana kwa Sasa watu kuwa mstari mbele na Hawa viongozi sana sana labda ni wale wenye masilahi na hizo saccos.
Ndio maana wanahitaji ku organize wanachama hai. Wananchi wata pick up along the way sababu watu wana hasira zao.
 
Back
Top Bottom