Pre GE2025 Bado sijaona Watu wa kuandamana nchi hii hata wangechukuliwa wake zao

Pre GE2025 Bado sijaona Watu wa kuandamana nchi hii hata wangechukuliwa wake zao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mnao leta uzi huku na mnao comment ilibid kwanz mutuambie mtakuw njian au ?
 
RC kachagua Tarehe hiyo kama kipimo cha utayari wa Waandamanaji.
Hao Bakabaka sio chochote mbele ya Watu walioamua kudai na kupigania haki zao. Wao wenyewe wanajua hilo.

Bakabaka hutumika kuzuia Watu Fake, wateteaji WA haki wanaoigiza
Wananchi wakifk hatua ya kuandaman kimapinduz ndio hawatoogopa lolote

Ila Tatzo ni sisi wananchi na wala hatuitaji wanasias kwakuw huku tunapoenda ni pagumu sana kulko tulpo toka
 
Wananchi wakifk hatua ya kuandaman kimapinduz ndio hawatoogopa lolote

Ila Tatzo ni sisi wananchi na wala hatuitaji wanasias kwakuw huku tunapoenda ni pagumu sana kulko tulpo toka
Hapo sawa...

Ila haya maandamano ya wanasiasa hayaeleweki

Ova
 
Alafu wewe unakadi moja ya chama chako alafu umeamriwa uandamane alafu hautaandamana.

Hapo utasemaje?
Unajua demokrasia siyo udikteta. Unahitaji shule kubwa ya demokrasia upanue uelewa wako. Maswali yako yanaonesha dhahiri jinsi huelewi demokrasia inafanya kazi. Hata kama ukiwa mwanachama hai unaweza ukakata kuandamana ni moja ya sifa ya kuwa mwanademokrasia unakuwa mtu huru kimawazo na kimatendo.
 
Mimi hua na kauli moja ccm waendeleee kutukaba koo, mpaka wote tukija tambua maandamano ni kwa faida yetu wananchi, kushinikiza mabadiliko.


Sasa nikiona kauli
"mpaka waje na familia zao "
Hua nasema akili bado haijakomaa kwani haya maandamano ya familia zao?

Wewe mwananchi umeguswa na unataka mabadili itikia wito
 
Changamoto nyingine ni reason za CHADEMA, wangesema wanaaandamana kwa sababu zinazogusa mwananchi mmoja mmoja watu wangeamka japo kidogo, ila sio wabongo waandamane kisa tume huru ya uchaguzi ambayo 97% ya raia hawaijui vizuri,

Ila waambie waandamane kwa sababu sukari na mafuta yapo juu hapo ungewaelewa watu
 
Changamoto nyingine ni reason za CHADEMA, wangesema wanaaandamana kwa sababu zinazogusa mwananchi mmoja mmoja watu wangeamka japo kidogo, ila sio wabongo waandamane kisa tume huru ya uchaguzi ambayo 97% ya raia hawaijui vizuri,

Ila waambie waandamane kwa sababu sukari na mafuta yapo juu hapo ungewaelewa watu

Hatari sana
 
Mimi hua na kauli moja ccm waendeleee kutukaba koo, mpaka wote tukija tambua maandamano ni kwa faida yetu wananchi, kushinikiza mabadiliko.


Sasa nikiona kauli
"mpaka waje na familia zao "
Hua nasema akili bado haijakomaa kwani haya maandamano ya familia zao?

Wewe mwananchi umeguswa na unataka mabadili itikia wito

Mpaka wote damu zitoke puani
 
  • Thanks
Reactions: Lax
Unajua demokrasia siyo udikteta. Unahitaji shule kubwa ya demokrasia upanue uelewa wako. Maswali yako yanaonesha dhahiri jinsi huelewi demokrasia inafanya kazi. Hata kama ukiwa mwanachama hai unaweza ukakata kuandamana ni moja ya sifa ya kuwa mwanademokrasia unakuwa mtu huru kimawazo na kimatendo.

Demokrasia ni ushawishi.
Kama umeshindwa kumshawishi mtu aandamane kwa nini aandamane?
 
Kwema Wakuu!

Sina uzoefu mkubwa wa mambo ya siasa za nchi hii. Lakini kwa akili zangu hizi ndogo nadiriki kusema kuwa kile alichotangaza Mhe. Mbowe kwamba wataandaa maandamano ya Amani januari 24 hayatafanyika.
Hayo mambo ya kusema sijui Bakabaka watafanya Usafi wala isije ikawa kisingizio.

Bakabaka hawajawahi kuwa tishio kwa Wananchi walioamua kudai haki zao za msingi. Narudia Bakabaka hawajawahi kuwa kizuizi kwa Watu walioamua kudai haki zao.

Kwa nchi yetu hatuna Watu wa aina hiyo. Na kama wapo basi kwenye laki yupo mmoja.
Nchi hii ingekuwa na Watu angalau elfu tano tuu wenye ile roho ya kudai na kupigania haki zao basi mambo mengi yangeenda. Lakini kwa bahati mbaya Watu hao hawapo.

Kwa nchi yetu hata Watu wachukuliwe Wake zao, nina uhakika hakuna wa kuandamana. Wataishia tuu kulalama chinichini. Kwani hata kupiga kelele hawana huo uwezo.

Elewa kuwa Watu wanaodai haki zao sifa yao kubwa hawaogopi Kifo. Hiyo ndio sifa yao namba moja. Na kama hawaogopi kifo maana yake hakuna wanachoogopa katika hii dunia.

Huwezi kudai haki ikiwa kuna kitu chenye thamani kuliko haki unayoidai. Huo ni ulaghai. Kujidanganya na kudanganya Watu.

Nawatakia jumapili njema.
HUWEZI KUWAONA KWANI WATANZANIA WENGI NI WAJINGA SANA AFADHALI HATA HAO WANATAMKA KUANDAMANA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
kuna watu walikuwa wanasema mbona Mbowe yupo kimya haya sasa keshasema maisha ni magumu sukari kilo 5000.
Wewe huna uwezo wa kujua kuwa sukari inavyouzwa kilo tsh 5000 kuwa maisha ni magumu hadi uambiwe na Mbowe? Hata ugumu wa maisha hamuujui Sasa mtaandamanaje?
 
Back
Top Bottom