Pre GE2025 Bado sijaona Watu wa kuandamana nchi hii hata wangechukuliwa wake zao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hujui chochote kuhusu maandamano ya Kenya. Wasingekuwa wana organise wakina Uhuru na Ruto wasingepelekwa The Hague.

Kuandamana na kuratibu maandamano kipi kigumu?
Maandamano yanahitaji ushawishi ili yafanikiwe. Mbowe hana huo ushawishi.

Uratibu hapo unazungumzia mapinduzi na hakuna jina jingine.
 
Jamani mnabishana wakati tarehe husika inakuja kwanini tuandikie mate?

Madai ya wanaotaka kuandamana yanaweza kuwa ya haki au kinyume chake.Muhimu hapa ni kila mmoja anautashi wake ni mbaya Sana kutoa hoja kama vile wote tumekubaliana kuandamana au kutokuandamana.

Ni kweli nchi hii kwa muda mrefu kuna mambo hayaendi vizuri na sababu kubwa ni kutokana na kuwa asilimia 90 ya watu wake hawana uzalendo Sasa swali linalotusumbua tukiandamana baadhi ya waandamanaji watapata shida na mengine yote yatakayotokea tutakwepa kuwaweka hawa asilimia 90 ya wachumia tumbo?

Tutapigana Sawa na yeyote anaweza kushinda Je,hiki kidogo tulicho nacho kitapotea au tutakilinda?

Kwakuwa dhuruma,ufisadi na ubadhilifu unatamalaki kila sector ni vema tukatafuta njia ya kupunguza watu wasio na uzalendo kwa nchi kutoka asilia 90 mpaka 10 na Wala haiitaji maandamano tunachotakiwa ni kuamua kufichua maovu yote kwa KUTUMIA nguvu ileile inayofanana na Maandamano tuachane na kusubiri Waziri mkuu KWENDA kufichua uozo.
 
Kuandamana na kuratibu maandamano kipi kigumu?
Maandamano yanahitaji ushawishi ili yafanikiwe. Mbowe hana huo ushawishi.

Uratibu hapo unazungumzia mapinduzi na hakuna jina jingine.
Uelewa wako ni mdogo ungekuwa na shule nzuri ungeelewa jambo linalopangwa lina uwezekano mkubwa wa kufanikiwa kuliko la kurupuka.
 

Ushawishi ndio tatizo.
Wapinzani bado hawajafanikiwa kuwa na nguvu ya ushawishi wa kusema jambo likafanywa na raia wanaowaanini.
 
Uelewa wako ni mdogo ungekuwa na shule nzuri ungeelewa jambo linalopangwa lina uwezekano mkubwa wa kufanikiwa kuliko la kurupuka.

Siasa inahitaji ushawishi.
Unaweza kuwa mpangàji mzuri sana lakini kama huna ushawishi huna utakalofanya.
Mapinduzi ndio yanahitaji mipango iliyonyooka ili yafanikiwe.
 
Mkuu heshima yako salute. Sisi watanzani tuandamana linapo husika swala la Simba na Yanga tu. Kwa sababu huko tunajua HAKUNA mabomu ya machozi Wala vilungu.
 
Kwa wenye macho kama hilo litatokea ni wazi nchi hii itagawanyika na kutoka vinchi kadhaa.
Lakini pakiwa na nchi moja hali itaendelea kuwa vivi hivi dunia ingalipo.
Sisi ni waafrika
Bora ogawanyike ndugu zetu wachaga warudi kaskazini tujiunge kilimanjaro arusha na manyara tuwe na kanchi ketu
 
Better late than never.
 
Siasa inahitaji ushawishi.
Unaweza kuwa mpangàji mzuri sana lakini kama huna ushawishi huna utakalofanya.
Mapinduzi ndio yanahitaji mipango iliyonyooka ili yafanikiwe.
Wameshawishi watu zaidi ya Milioni kuwa wanachama hai wanaolipa kadi za unachama kidijitali. Wanahitaji kupanga jinsi ya kufanya maandamano na hawa wanachama hai. Wewe mwoga kaa nyumbani.
 
Mbowe yeye mwenyewe tu anafahamu kabisa kwamba Watanzania ni waoga wa maandamano. Hakuna mtz anaeweza kudiriki hata kwa sekunde moja kuandamana hyo tarehe 24
 
Unalosema kuw wananch wa Tz hatua ya kuandaman kwa amani bado hawaja commited Lakn swala la kusema bakabaka hawawaji na sio kikwazo kwa maandamano ya amani nawez kupnga hilo kwa hoja

Either kwann RC Tareh hiyo ameitumia kama siku ya usaf na kuwatumia Askari ?
 
Ukitaka watanzania waandamane waambie unazifungia club za Simba/yanga kucheza NBC Premier league kwa miaka miwili au unamfungia Diamond kujihusisha na shughuli za muziki kwa mwaka mmoja, mbali na hapo hakuna mtanzania atakayeandamana unless utafute mateja uwape kibunda wa ku support
 
Wameshawishi watu zaidi ya Milioni kuwa wanachama hai wanaolipa kadi za unachama kidijitali. Wanahitaji kupanga jinsi ya kufanya maandamano na hawa wanachama hai.

Kulipa kadi au kuwa na kadi fulani hiyo haimaanishi unaushawishi.
Mtu mmoja anaweza kuwa na hizo kadi za vyama vyote.

Ushawishi wa kiongozi upo katika matukio kama haya. Hapo ndio utajua unaushawishi kwa kiwango gani.

Unafikiri kwa nini viongozi wa kisiasa wanaonya kwamba dini zisihusishwe na Siasa. Ni kwa sababu dini inaushawishi.
Yaani dini wakisema paaap! Hawahitaji mipango wala nini, Watu wako barabarani
 

RC kachagua Tarehe hiyo kama kipimo cha utayari wa Waandamanaji.
Hao Bakabaka sio chochote mbele ya Watu walioamua kudai na kupigania haki zao. Wao wenyewe wanajua hilo.

Bakabaka hutumika kuzuia Watu Fake, wateteaji WA haki wanaoigiza
 
Unakuwa mwanachama hai kwasababu gani kama sera za chama hazijakushawishi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…