Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #61
Mbowe yeye mwenyewe tu anafahamu kabisa kwamba Watanzania ni waoga wa maandamano. Hakuna mtz anaeweza kudiriki hata kwa sekunde moja kuandamana hyo tarehe 24
Unakuwa mwanachama hai kwasababu gani kama sera za chama hazijakushawishi?
Nitasema hujielewi.Kwa mfano nikikuambia ninakadi za vyama vyote na nalipia utasema vyote vimenishawishi?
Nitasema hujielewi.
Wananchi wakifk hatua ya kuandaman kimapinduz ndio hawatoogopa loloteRC kachagua Tarehe hiyo kama kipimo cha utayari wa Waandamanaji.
Hao Bakabaka sio chochote mbele ya Watu walioamua kudai na kupigania haki zao. Wao wenyewe wanajua hilo.
Bakabaka hutumika kuzuia Watu Fake, wateteaji WA haki wanaoigiza
Hapo sawa...Wananchi wakifk hatua ya kuandaman kimapinduz ndio hawatoogopa lolote
Ila Tatzo ni sisi wananchi na wala hatuitaji wanasias kwakuw huku tunapoenda ni pagumu sana kulko tulpo toka
Unajua demokrasia siyo udikteta. Unahitaji shule kubwa ya demokrasia upanue uelewa wako. Maswali yako yanaonesha dhahiri jinsi huelewi demokrasia inafanya kazi. Hata kama ukiwa mwanachama hai unaweza ukakata kuandamana ni moja ya sifa ya kuwa mwanademokrasia unakuwa mtu huru kimawazo na kimatendo.Alafu wewe unakadi moja ya chama chako alafu umeamriwa uandamane alafu hautaandamana.
Hapo utasemaje?
Acha kuhangaika na hao wake za Mbowe, anaulizwa matokeo hajui. Kuandamana hajawahi, hata anachoshabikia hajuiKwani nilikuuliza wewe?
Au nimeandika hapa kwaajili yako?
Yaani kuna Watu wajinga sana
Watanzania tulishajengewa uoga wa kudai haki tangu miaka mingi sana huko mashuleni. Tunaamini haki inaombwa na ukinyimwa basi nenda kanisani ufanye maombi, utaupatašAnajua kuwa Watanzania sio Watu wa haki.
Watanzania tulishajengewa uoga wa kudai haki tangu miaka mingi sana huko mashuleni. Tunaamini haki inaombwa na ukinyimwa basi nenda kanisani ufanye maombi, utaupataš
Changamoto nyingine ni reason za CHADEMA, wangesema wanaaandamana kwa sababu zinazogusa mwananchi mmoja mmoja watu wangeamka japo kidogo, ila sio wabongo waandamane kisa tume huru ya uchaguzi ambayo 97% ya raia hawaijui vizuri,
Ila waambie waandamane kwa sababu sukari na mafuta yapo juu hapo ungewaelewa watu
Acha kuhangaika na hao wake za Mbowe, anaulizwa matokeo hajui. Kuandamana hajawahi, hata anachoshabikia hajui
Hilo nyumbu hovyo kabisa.
Mimi hua na kauli moja ccm waendeleee kutukaba koo, mpaka wote tukija tambua maandamano ni kwa faida yetu wananchi, kushinikiza mabadiliko.
Sasa nikiona kauli
"mpaka waje na familia zao "
Hua nasema akili bado haijakomaa kwani haya maandamano ya familia zao?
Wewe mwananchi umeguswa na unataka mabadili itikia wito
Unajua demokrasia siyo udikteta. Unahitaji shule kubwa ya demokrasia upanue uelewa wako. Maswali yako yanaonesha dhahiri jinsi huelewi demokrasia inafanya kazi. Hata kama ukiwa mwanachama hai unaweza ukakata kuandamana ni moja ya sifa ya kuwa mwanademokrasia unakuwa mtu huru kimawazo na kimatendo.
HUWEZI KUWAONA KWANI WATANZANIA WENGI NI WAJINGA SANA AFADHALI HATA HAO WANATAMKA KUANDAMANAKwema Wakuu!
Sina uzoefu mkubwa wa mambo ya siasa za nchi hii. Lakini kwa akili zangu hizi ndogo nadiriki kusema kuwa kile alichotangaza Mhe. Mbowe kwamba wataandaa maandamano ya Amani januari 24 hayatafanyika.
Hayo mambo ya kusema sijui Bakabaka watafanya Usafi wala isije ikawa kisingizio.
Bakabaka hawajawahi kuwa tishio kwa Wananchi walioamua kudai haki zao za msingi. Narudia Bakabaka hawajawahi kuwa kizuizi kwa Watu walioamua kudai haki zao.
Kwa nchi yetu hatuna Watu wa aina hiyo. Na kama wapo basi kwenye laki yupo mmoja.
Nchi hii ingekuwa na Watu angalau elfu tano tuu wenye ile roho ya kudai na kupigania haki zao basi mambo mengi yangeenda. Lakini kwa bahati mbaya Watu hao hawapo.
Kwa nchi yetu hata Watu wachukuliwe Wake zao, nina uhakika hakuna wa kuandamana. Wataishia tuu kulalama chinichini. Kwani hata kupiga kelele hawana huo uwezo.
Elewa kuwa Watu wanaodai haki zao sifa yao kubwa hawaogopi Kifo. Hiyo ndio sifa yao namba moja. Na kama hawaogopi kifo maana yake hakuna wanachoogopa katika hii dunia.
Huwezi kudai haki ikiwa kuna kitu chenye thamani kuliko haki unayoidai. Huo ni ulaghai. Kujidanganya na kudanganya Watu.
Nawatakia jumapili njema.
Kwa uoga uliojaa hapa nchini, sioni wa kuandamana kwa sasa. Kikubwa tunachoweza ni kuzira ama kususia na kupuuza, sio maandamano.Wewe umeona kuna Watu wakiandamana nchi hii?
Wewe huna uwezo wa kujua kuwa sukari inavyouzwa kilo tsh 5000 kuwa maisha ni magumu hadi uambiwe na Mbowe? Hata ugumu wa maisha hamuujui Sasa mtaandamanaje?kuna watu walikuwa wanasema mbona Mbowe yupo kimya haya sasa keshasema maisha ni magumu sukari kilo 5000.