Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #81
Kwa uoga uliojaa hapa nchini, sioni wa kuandamana kwa sasa. Kikubwa tunachoweza ni kuzira ama kususia na kupuliza, sio maandamano.
Mbowe alifungwa miezi 7 eti gaidi na hakuna hata mke mmoja wa Mbowe aliandamana, Sasa huyu aliyefungwa kwa uonevu chadema wakamwacha miezi 7 leo anasema watu waandamane ili sijui iweje? Nani atamsikiliza?Ukitaka watanzania waandamane waambie unazifungia club za Simba/yanga kucheza NBC Premier league kwa miaka miwili au unamfungia Diamond kujihusisha na shughuli za muziki kwa mwaka mmoja, mbali na hapo hakuna mtanzania atakayeandamana unless utafute mateja uwape kibunda wa ku support
Hili swali nimeshakujibu post ya nyuma. Umeamua kuwa mjinga ni haki yako kikatiba.Demokrasia ni ushawishi.
Kama umeshindwa kumshawishi mtu aandamane kwa nini aandamane?
Aliyewasambararisha hakua polisi Bali wao wenyewe walipoanza kuuza vyamaMbona watu waliandamana kwa ajili ya NCCR, CUF na chadema ya Slaa ulikuwa hujazaliwa? Ni muda kamati za Chadema kuwaita wanachama hai kutimiza majukumu yao kwa chama na Nchi.
Vyombo vya dola visingekuwa vinaingilia siasa hata hii thread ya kipuuzi isingekuwepo.Aliyewasambararisha hakua polisi Bali wao wenyewe walipoanza kuuza vyama
Umesahau?Kwema Wakuu!
Sina uzoefu mkubwa wa mambo ya siasa za nchi hii. Lakini kwa akili zangu hizi ndogo nadiriki kusema kuwa kile alichotangaza Mhe. Mbowe kwamba wataandaa maandamano ya Amani januari 24 hayatafanyika.
Hayo mambo ya kusema sijui Bakabaka watafanya Usafi wala isije ikawa kisingizio.
Bakabaka hawajawahi kuwa tishio kwa Wananchi walioamua kudai haki zao za msingi. Narudia Bakabaka hawajawahi kuwa kizuizi kwa Watu walioamua kudai haki zao.
Kwa nchi yetu hatuna Watu wa aina hiyo. Na kama wapo basi kwenye laki yupo mmoja.
Nchi hii ingekuwa na Watu angalau elfu tano tuu wenye ile roho ya kudai na kupigania haki zao basi mambo mengi yangeenda. Lakini kwa bahati mbaya Watu hao hawapo.
Kwa nchi yetu hata Watu wachukuliwe Wake zao, nina uhakika hakuna wa kuandamana. Wataishia tuu kulalama chinichini. Kwani hata kupiga kelele hawana huo uwezo.
Elewa kuwa Watu wanaodai haki zao sifa yao kubwa hawaogopi Kifo. Hiyo ndio sifa yao namba moja. Na kama hawaogopi kifo maana yake hakuna wanachoogopa katika hii dunia.
Huwezi kudai haki ikiwa kuna kitu chenye thamani kuliko haki unayoidai. Huo ni ulaghai. Kujidanganya na kudanganya Watu.
Nawatakia jumapili njema.
Umesahau?
CUF ile og ya Lipumba iliweza tena mara nyingi tu mpk alivunjwa mkono
Pia Shekh aliweza sana tu
Ila hawa wengine mmmm...
Ht mm kweli sioni. Hawa wana vitu vya thamani zaidi kwao kuliko hizo haki na hawako tayari kupoteza maslahi yao
Umesahau?
CUF ile og ya Lipumba iliweza tena mara nyingi tu mpk alivunjwa mkono
Pia Shekh aliweza sana tu
Ila hawa wengine mmmm...
Ht mm kweli sioni. Hawa wana vitu vya thamani zaidi kwao kuliko hizo haki na hawako tayari kupoteza maslahi yao