Bado sijapata mwenza

Fungua PM yako nikutongoze
Mie sihitaji.

Jenga urafiki na mabinti, quote na kulike comments zao utashtukia umepata marafiki wengi na kwenye urafiki ndo utajua yupi anakufaa.
Hili ni bango lako la pili na bado utaendelea kuweka mabango ya kutafuta mke.

Halafu pia wapo wanawake wamefanya kama wewe wanatafuta waume. Jaribu kuanza na hao.
 
Wengine hapa tumewatumia sana men picha hadi naogopa mwisho wa siku waniloge kwa hizo picha
Ok ,,mfate jamaa pm ako na nia ya dhati, mtapeana details zenu, ikimpendeza M/Mungu mnaweza kuwa mume n mke !
 
Sio kabila tu nina miaka 2 humu natafuta mme
Badilisha jina liwe ummmm ili nimalizie me iwe ummmm and me unganisha inakuwa ummmmme "jokes bana" [emoji1787][emoji1787] kwani mtaani hawapo au kanisani
 
744771115
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…