Bado siku 26 tupate Mshahara wa mwezi july,maana mashahara WA June umeenda haraka sio Poa na kitaa Hali si hali

Bado siku 26 tupate Mshahara wa mwezi july,maana mashahara WA June umeenda haraka sio Poa na kitaa Hali si hali

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Wakuu Mbona Mshahara wa mwezi June umeenda haraka hivi? Mpaka Sasa balance inasoma zero Wakuu na kitaa kigumu Sana na majukumu yamenizidia sijui nifanyeje sijui hapa kama Kuna mdau Wowote anaweza kunikopesha halafu zile tarehe zetu zikifika tutamalizana tu Wakuu

Nakuambia mshahara ulipoingia tu Kwanza ulikatwa juu kwa juu,na pia Kuna kamchepuko alikuwa na bajeti yake, plus kuweka heshima bar kwwnye mambo yetu Yale ya kamnywesho, plus Madada Poa wa morogoro,club Za hapa morogoro na kuponda Mali kwa kwenda mbele

Hapa sielewi Wakuu sina Hili wala lile mambo yametight Wakuu kweli Huu ujana Maji ya moto aisee ila bwana Huu Ndiyo mwezi wa mwisho sifanyi Ujinga tena maana unaweza kufa masikini hivi hivi unajiona
 
Wakuu Mbona Mshahara wa mwezi June umeenda haraka hivi? Mpaka Sasa balance inasoma zero Wakuu na kitaa kigumu Sana na majukumu yamenizidia sijui nifanyeje sijui hapa kama Kuna mdau Wowote anaweza kunikopesha halafu zile tarehe zetu zikifika tutamalizana tu Wakuu

Nakuambia mshahara ulipoingia tu Kwanza ulikatwa juu kwa juu,na pia Kuna kamchepuko alikuwa na bajeti yake, plus kuweka heshima bar kwwnye mambo yetu Yale ya kamnywesho, plus Madada Poa wa morogoro,club Za hapa morogoro na kuponda Mali kwa kwenda mbele

Hapa sielewi Wakuu sina Hili wala lile mambo yametight Wakuu kweli Huu ujana Maji ya moto aisee ila bwana Huu Ndiyo mwezi wa mwisho sifanyi Ujinga tena maana unaweza kufa masikini hivi hivi unajiona
pole mwalimu
 
Dai upate haki yako ya cheo/daraja kama ambavyo ilitakiwa mwezi huu but hujapewa.

Promotion na haki za watumishi imekuwa kama his hisani na si matakwa ya mikataba inavyotaka.

GEN Z IJE TANZANIA
 
Kula ni pesa yako kijana, ila dah Morogoro hapo wakuhamishe wakupeleke hata Mbingu au Mngeta huko au Malinyi, malaya wa star park, samaki samaki watakusababisha utolewe Figo.
 
Inasikitisha sana, halafu hapo et, utegemee akufundishie mtoto aelewe.
Hili nalo mkalitazame.
Kilicho bora kinatengenezwa kwa thamani.
Ndo hapo sasa maboss mkiboreshe kiwe cha thamani sasa , waishi kama watu !
Kama mko kwenye hizo nafasi za kuwaongezea maslahi wajalini ili wawatolee vitu bora ! Waache muda kuwaza kuuza kashata na visheti badala ya kufundisha
 
Inasikitisha sana, halafu hapo et, utegemee akufundishie mtoto aelewe.
Hili nalo mkalitazame.
Kilicho bora kinatengenezwa kwa thamani.
Kwani yeye ni mwalimu au muuguzi?

Kwa matumizi ya kijinga aliyoyaelezea hata akilipwa milioni 3 haitamtosha.
 
Wakuu Mbona Mshahara wa mwezi June umeenda haraka hivi? Mpaka Sasa balance inasoma zero Wakuu na kitaa kigumu Sana na majukumu yamenizidia sijui nifanyeje sijui hapa kama Kuna mdau Wowote anaweza kunikopesha halafu zile tarehe zetu zikifika tutamalizana tu Wakuu

Nakuambia mshahara ulipoingia tu Kwanza ulikatwa juu kwa juu,na pia Kuna kamchepuko alikuwa na bajeti yake, plus kuweka heshima bar kwwnye mambo yetu Yale ya kamnywesho, plus Madada Poa wa morogoro,club Za hapa morogoro na kuponda Mali kwa kwenda mbele

Hapa sielewi Wakuu sina Hili wala lile mambo yametight Wakuu kweli Huu ujana Maji ya moto aisee ila bwana Huu Ndiyo mwezi wa mwisho sifanyi Ujinga tena maana unaweza kufa masikini hivi hivi unajiona
Omba 'salari adivansi' ......!!
 
Wakuu Mbona Mshahara wa mwezi June umeenda haraka hivi? Mpaka Sasa balance inasoma zero Wakuu na kitaa kigumu Sana na majukumu yamenizidia sijui nifanyeje sijui hapa kama Kuna mdau Wowote anaweza kunikopesha halafu zile tarehe zetu zikifika tutamalizana tu Wakuu

Nakuambia mshahara ulipoingia tu Kwanza ulikatwa juu kwa juu,na pia Kuna kamchepuko alikuwa na bajeti yake, plus kuweka heshima bar kwwnye mambo yetu Yale ya kamnywesho, plus Madada Poa wa morogoro,club Za hapa morogoro na kuponda Mali kwa kwenda mbele

Hapa sielewi Wakuu sina Hili wala lile mambo yametight Wakuu kweli Huu ujana Maji ya moto aisee ila bwana Huu Ndiyo mwezi wa mwisho sifanyi Ujinga tena maana unaweza kufa masikini hivi hivi unajiona
Kula maisha acha kelele,biashara zenyewe hakuna kitu kula vyombo,enjoy as you are stil young,Karibuni veta muwalete vijana wapate mafunzo ya uhudumu wa hotel.
 
Back
Top Bottom