Bado siku 26 tupate Mshahara wa mwezi july,maana mashahara WA June umeenda haraka sio Poa na kitaa Hali si hali

Bado siku 26 tupate Mshahara wa mwezi july,maana mashahara WA June umeenda haraka sio Poa na kitaa Hali si hali

Financial education ni tatizo kubwa kwa WAAJIRIWA wengi sana.
 
Wakuu Mbona Mshahara wa mwezi June umeenda haraka hivi? Mpaka Sasa balance inasoma zero Wakuu na kitaa kigumu Sana na majukumu yamenizidia sijui nifanyeje sijui hapa kama Kuna mdau Wowote anaweza kunikopesha halafu zile tarehe zetu zikifika tutamalizana tu Wakuu

Nakuambia mshahara ulipoingia tu Kwanza ulikatwa juu kwa juu,na pia Kuna kamchepuko alikuwa na bajeti yake, plus kuweka heshima bar kwwnye mambo yetu Yale ya kamnywesho, plus Madada Poa wa morogoro,club Za hapa morogoro na kuponda Mali kwa kwenda mbele

Hapa sielewi Wakuu sina Hili wala lile mambo yametight Wakuu kweli Huu ujana Maji ya moto aisee ila bwana Huu Ndiyo mwezi wa mwisho sifanyi Ujinga tena maana unaweza kufa masikini hivi hivi unajiona
ni mshahara wa June na June yenyewe sindo hii inaisha kesho kutwa kwahiyo umetumika kwa muda muafaka kabisa.

Nenda kwa Mangi kopa mchele na maharage weka geto seat back relax maisha ni haya haya
Ushauri huu nakupa nikiwa nimepewa mezani liko Jagger Master na malaya wa riverside anapeti peti.
Potelea mbali laki si pesa mshahara kitu gani😂😂
 
Back
Top Bottom