Uchaguzi 2020 Bado sioni njia ya CCM kushinda huu uchaguzi. Kivyovyote vile, CCM imepoteza mpambano

Uchaguzi 2020 Bado sioni njia ya CCM kushinda huu uchaguzi. Kivyovyote vile, CCM imepoteza mpambano

Ndio Akili za Wajinga zilivyo Kutwa kudanganyana na Wajinga wenzie Wakifuata Upepo
Endeleeni Kulisha matango poli
 
Kwani uchaguzi wa mitaa 2019 si uligomewa!? Kuna jipya lolote lilitokea la hii serikali dhalimu? Ni vikwazo tu vya nguvu kiuchumi ndiyo vitaitia adabu hii Serikali dhalimu. Hakuna popote nilipoandika kuhusu Nyerere au Mkapa.
Sasa kama tume ni ya ccm wapinzani si mgomee chaguzi zote. Hamueleweki mara nyerere aliwavusha vizuri,mara mkapa jiniasi etc ila mnahesabu miaka yote 60 daah
 
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.

Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka...
Mkuu unazidi kumwaga chumvi kwenye kidonda kibichi
 
Ndio Akili za Wajinga zilivyo Kutwa kudanganyana na Wajinga wenzie Wakifuata Upepo
Endeleeni Kulisha matango poli
Umeshashiba Makande. Ccm inashinda vipi?
Kampeni wamekabidhi maafisa kificho na NEc bao inaangukia pua.
 
Ccm imezoea kushinda kwa hila. Na mwaka huu inaonekana Kuna kundi within the system limejipanga kweli kushinda na kupangua izo hila zote.
Kwa kura za kawaida, hakuna namna Ccm watashinda mwaka huu, kwa hila watu wanejipanga kuliko kawaida...
Toka zamani ccm ilikuwa inahinda kwa wizi. Awamu hii tumekaba kila kona kila njama wanazojaribu zinafeli kabla hazijaanza. Sioni namna CCM itashinda
 
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.

Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka...
Tarehe 28 October 2020 ifike tu ili tuache kusikia hizi ndoto zisizoweza kutimilika. Tuendelee na maisha halisi.


Magufuli mitano mingine.

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
Hadi ukimuona jiwe na ubabe wake limegeuka kokoto jua Hali si Hali,
Hofu imetanda akirudi atamaliza watu huyu, ni heri apumzike kwa usalama wa nchi yetu
 
Kwa njia halali mkuu. Ingetaka njia haramu wangetumia Covid19 kama kisingizio cha kuhairisha uchaguzi na kuchakachua njia zote za uchaguzi
Hawakujua tatizo. Yaani jamaa alitaka sifa za covid akasahau kipigo cha Lissu badae. Alidanganywa na wapiga makofi kuwa anakubalika. Wananchi wanachomfanyia hana amani kabisa.
 
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano.

Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa kutetea chochote walichokifanya miaka mitano iliyopita, ilani yao ya uchaguzi mwaka huu wanaiona kama 'kituo cha polisi', CCM hawajafanya kampeni zozote za maana huu mwaka...
Ulichovuta au kunywa usirudie tena mkuu, inaonekana kama umekunywa embalming fluid cocktail..
 
Toka zamani ccm ilikuwa inahinda kwa wizi. Awamu hii tumekaba kila kona kila njama wanazojaribu zinafeli kabla hazijaanza. Sioni namna CCM itashinda

China ndie tegemeo lao kwenye wizi wa kura wamekabwa kila cona Hadi China anampiga biti USA asiingilie tz, sababu ni mnufaika wa raslimali zetu. China ndie mnufaika na mfadhili mkuu wa madikteta kwake ajali hata Kama yatamaliza watu kwao pesa kwanza
 
Unaposema CCM itashindwa uwe na facts ! Kwa vigezo vipi ishindwe ?ccm ina wanachama wapiga kura takriban 15 M ! Wanashindwa vipi?! Mnapeana matumaini bure tu humu! Kila kona ya nchi hii kuanzia kwenye mashina huko ccm wapo tele! Wanashindwaje uchaguzi!. Chama cha kukitoa ccm madarakani bado hakipo! TUSIDANGANYANE!
Hawa jamaa wanajipanga kufanya vurugu. Nakwambia vurugu fanyeni kwingine siyo kwa serikali ya sasa.

Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom