Bado tunaaminishwa/ tunaamini Aweso ni mchapakazi?

Bado tunaaminishwa/ tunaamini Aweso ni mchapakazi?

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Katikati hapo tuliaminishwa Aweso ni waziri mchapakazi anayeleta matokeo chanya.

Ajabu iwe mijini na hata huko vijijini hali ya upatikanaji wa maji ni ya kusuasua.

Binafsi siyo muumini wa mawaziri wapenda camera kama huyo Mtanga!

Ukimfutilia kwa kina ni aina ya mawaziri wanaopenda sifa za camera huku hakipo anachokifanya field cha dhati.
 
Upatikanaji wa maji hapa mjini umekuwa wa shida sana. Ilitakiwa yeye, na yule Luhemeja wa dawasa wote wapumzike wakale pesa zao walizozikusanya kwenye miradi na vikao.

Nadhani ule wenyeji wake wa kutokea mkoa wa pwani ya bahari na imani yake ndio pamoja na wake zake hasa yule dc ndio vinambeba mpaka sasa aendelee kuwepo. Maji hakuna yeye anabaki kufanya nini
 
Katikati hapo tuliaminishwa Aweso ni waziri mchapakazi anayeleta matokeo chanya.

Ajabu iwe mijini na hata huko vijijini hali ya upatikanaji wa maji ni ya kusuasua.

Binafsi siyo muumini wa mawaziri wapenda camera kama huyo Mtanga!

Ukimfutilia kwa kina ni aina ya mawaziri wanaopenda sifa za camera huku hakipo anachokifanya field cha dhati.
Sasa nyie nae ni wapuuzi,kwani Kazi ya Waziri ni kusimamia sera za maji au kukufungia wewe Bomba?

Miradi inatekeleza kwa mujibu wa Bajeti ioiyopo sasa kama mahitaji ni makubwa kuliko bajeti ya serikali hapo Waziri anahusikaje?
 
Mwaka huu mtakoma wachawi kila Kona hata vyanzo vya uhakika vishakata, dumu la maji au ndoo lit 20 mtanunua 1000, mjiandae. Burundi ni free entry.
 
Nilimpeleka dogo kufanya clearance kule Mazimbu SUA ili aombe transcript ready for his BSc Graduation ule mto pale darajani ni kama korongo au mtaro hatuna hata tone la maji. Morogoro wajipange mwaka huu vuli ikiendelea kuchelewa tunashukuru wa dodoma area D matawi juu, Mipango matawi juu
 
Katikati hapo tuliaminishwa Aweso ni waziri mchapakazi anayeleta matokeo chanya.

Ajabu iwe mijini na hata huko vijijini hali ya upatikanaji wa maji ni ya kusuasua.

Binafsi siyo muumini wa mawaziri wapenda camera kama huyo Mtanga!

Ukimfutilia kwa kina ni aina ya mawaziri wanaopenda sifa za camera huku hakipo anachokifanya field cha dhati.
Mawaziri wengi walikuwa wanapata boost ya Marehemu.
 
Upatikanaji wa maji hapa mjini umekuwa wa shida sana. Ilitakiwa yeye, na yule Luhemeja wa dawasa wote wapumzike wakale pesa zao walizozikusanya kwenye miradi na vikao.

Nadhani ule wenyeji wake wa kutokea mkoa wa pwani ya bahari na imani yake ndio pamoja na wake zake hasa yule dc ndio vinambeba mpaka sasa aendelee kuwepo. Maji hakuna yeye anabaki kufanya nini
Ungeweza kutoa maoni na kuishia paragraph ya kwanza. Ulichoendelea kukiandika sicho tuliochoachiwa na Baba wa Taifa, kinakera na ni sumu wacha#SISI NI TAIFA PIGA VITA UDINI NA UKANDA.🙏🙏🙏
 
Umeongea la maana Sana. Miongoni mwa mawaziri failure baada ya Mwigulu na Makamamba ni huyu Aweso.
Sema udini ndo unambeba! Kitendo cha kumtoa Lukuvi na Kalemani kinafikirisha sana! Katina baraza lake asilomia kubwa ya mawaziri waislam waliokuwa awamu ya tano aliwabeba
Mummy Mwalimu- afya
Jaffo-Mazingira
Aweso-Maji
Ila wakristo wengi ndi wametumbuliwa!
1.Eng Chamriho-ujenzi
.Kalemani-nishati
3.Lukuvi-ardhi
4.Kabudi-kimataifa
Ndugulile-naibu/afya
Waitara-naibu/jenzi
Badala yake akaingiza
1.Makamba-nishati
2.Riziwani-naibu Ardh
3.Makame-ujenzi
Anafanya kazi kwa udini na kwake ufanisi sio jambo la mzingi!
 
Nakubaliana, imemchukua muda mrefu kuielewa wizara yake.
Hasa ukitilia maanani hiyo si field yake maana hii sawa kabisa na wizara ya ujenzi.
Hana uwezo na hiyo wizara period! Amekuwa naibu waziri then waziri kamili halafu unaleta excuse ya kitoto kabisa..mwenye uwezo hahitaji muda unaosema kuielewa wizara.
 
Kati ya kasoro alifanya Rais Magufuli ni kumtoa Profesa Mbarawa kwenye hii wizara na kuweka huyu amateur Aweso na naibu wake..wakati wa Mbarawa alibadilisha kabisa performance ya wizara tofauti na sasa..Aweso maneno meeengi utendaji sifuri.
 
Ungeweza kutoa maoni na kuishia paragraph ya kwanza. Ulichoendelea kukiandika sicho tuliochoachiwa na Baba wa Taifa, kinakera na ni sumu wacha#SISI NI TAIFA PIGA VITA UDINI NA UKANDA.[emoji120][emoji120][emoji120]
Hoja yangu siko kwenye udini na watu wanachaguliwa sababu ya quota ya dini na mkoa anaotoka ili kupata waziri hizi ndio sayansi za siasa.

Unadhani Hoja ya Bashungwa kubaki cabinet ni pamoja na kuwakilisha watu wa Kagera. Hii ni kanuni ya siasa.

Mfano Jafo akitemwa ataingizwa Malima sababu ya kanda wanayotoka ni moja na inahitaji mwakilishi kitaifa.
 
Hoja yangu siko kwenye udini na watu wanachaguliwa sababu ya quota ya dini na mkoa anaotoka ili kupata waziri hizi ndio sayansi za siasa.

Unadhani Hoja ya Bashungwa kubaki cabinet ni pamoja na kuwakilisha watu wa Kagera. Hii ni kanuni ya siasa.

Mfano Jafo akitemwa ataingizwa Malima sababu ya kanda wanayotoka ni moja
Hoja yangu siko kwenye udini na watu wanachaguliwa sababu ya quota ya dini na mkoa anaotoka ili kupata waziri hizi ndio sayansi za siasa.

Unadhani Hoja ya Bashungwa kubaki cabinet ni pamoja na kuwakilisha watu wa Kagera. Hii ni kanuni ya siasa.

Mfano Jafo akitemwa ataingizwa Malima sababu ya kanda wanayotoka ni moja na inahitaji mwakilishi kitaifa.
Kwa case hii uliyotoa; unaamini huo ukanda na imani hiyo hiyo hakuna mwengine anayeweza? Kama yupo, hoja yako ya Waziri wa Maji kubaki kwa sababu ya imani na ukanda inalenga nini?
Ndiyo maana nilikwambia ungeishia ktk suala la performance tu mengine siyo tuliyorithishwa na waasisi🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom