Bado tunaaminishwa/ tunaamini Aweso ni mchapakazi?

Bado tunaaminishwa/ tunaamini Aweso ni mchapakazi?

Unajua mawaziri wengi wali shine kutokana na muongozo wa magufuli. Sasa huyu aliyepo mwenyewe hajui mahitaji ya nchi wala wizara husika. Ukimuuliza unataka kuifanya nini Tanzania naamini hatokuwa na jibu lililonyooka..
Utafunga bakuri lako bila kuambiwa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221013-152746.png
    Screenshot_20221013-152746.png
    183.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221013-152710.png
    Screenshot_20221013-152710.png
    185.2 KB · Views: 3
Inawezekana kukawa na ukweli ndani yake,toka amekuwa rais hajawai kutumbua kiongozi wa dini yake kuanzia uwaziri mpaka ngazi za chini zaidi ya Ally Happy na yeye kilichomponza ni skendo ile ya wazee wale.
Ujinga umewajaa kichwani na mtakufa na kurithisha kwa watoto wenu..

Kazi inaendelea 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221013-152606.png
    Screenshot_20221013-152606.png
    47.5 KB · Views: 2
Hahahaha, aseeh statistics kuna sehemu hua zinafeli tu. Hata kama miradi ya maji inaendelea lakini statistics haziwezi jibu kwanini toka kaingia upatikanaji wa maji umepungua na umesua sua sana.

Mfano ni mkoa wa Mwanza toka kaingia maji imekua tabu iliyoshindwa kutatulika na ameshafanya ziara kadhaa kwenda huko lakini kashindwa kupatia ufumbuzi wa tatizo.

Note: kama wewe ni Statician najua utakua unaufahamu mzuri wa limitations & disadvantages of statistics.

Mtoa Mada una hoja na kweli Mr waziri analakujibu.
Umepungua na kusua sua au siyo?

Acha uendelee kupungua na kusua sua kama hivi 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221013-152719.png
    Screenshot_20221013-152719.png
    140.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221013-152510.png
    Screenshot_20221013-152510.png
    125.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221013-152521.png
    Screenshot_20221013-152521.png
    182.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221013-152746.png
    Screenshot_20221013-152746.png
    183.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221013-152710.png
    Screenshot_20221013-152710.png
    185.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221013-152606.png
    Screenshot_20221013-152606.png
    47.5 KB · Views: 1
Katikati hapo tuliaminishwa Aweso ni waziri mchapakazi anayeleta matokeo chanya.

Ajabu iwe mijini na hata huko vijijini hali ya upatikanaji wa maji ni ya kusuasua.

Binafsi siyo muumini wa mawaziri wapenda camera kama huyo Mtanga!

Ukimfutilia kwa kina ni aina ya mawaziri wanaopenda sifa za camera huku hakipo anachokifanya field cha dhati.
Anacho weza yule waziri Ni kuchakta wale wake zake tu na kubwabwaja mdomo wake kumsifia mteuzi nimewai mtumia clipu jinsi maji watu wanafuihujumu minundo mbinu ajanibu Wala kufatilia like swala
 
Katikati hapo tuliaminishwa Aweso ni waziri mchapakazi anayeleta matokeo chanya.

Ajabu iwe mijini na hata huko vijijini hali ya upatikanaji wa maji ni ya kusuasua.

Binafsi siyo muumini wa mawaziri wapenda camera kama huyo Mtanga!

Ukimfutilia kwa kina ni aina ya mawaziri wanaopenda sifa za camera huku hakipo anachokifanya field cha dhati.
Sasa kwani ameacha kuchapa Kazi?

Tatizo lako binafsi la kutokuwa muumini Kisa anapenda camera sio tatizo jumuishi Wala halizuii Waziri kuchapa Kazi..

Kazi inaendelea 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220903-201903.png
    Screenshot_20220903-201903.png
    149.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221005-104854.png
    Screenshot_20221005-104854.png
    172.8 KB · Views: 3
Upatikanaji wa maji hapa mjini umekuwa wa shida sana. Ilitakiwa yeye, na yule Luhemeja wa dawasa wote wapumzike wakale pesa zao walizozikusanya kwenye miradi na vikao.

Nadhani ule wenyeji wake wa kutokea mkoa wa pwani ya bahari na imani yake ndio pamoja na wake zake hasa yule dc ndio vinambeba mpaka sasa aendelee kuwepo. Maji hakuna yeye anabaki kufanya nini
Ili uwe wewe au? 😜😜.

Upatikanaji wa maji umeimarika kuliko kipindi chochote shida hata hamufuatilii mambo ila mnaropoka tuu..

Bajeti imeongezwa,katimua wale mainjinia makanjanja na Sasa miradi inatoa maji sio kama.zamani..

Rais Samia sio tuu atamtua ndio mama bali atafuta tatizo la maji hapa Tanzania by 2025 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220801-081753.png
    Screenshot_20220801-081753.png
    167.9 KB · Views: 3
Mtu akishakua na wake wawili ujue utendaji wake utakua zero au negative.
Muda wa ofisi anakua anasikiliza simu za majungu kutoka mke mdogo, weekend yote badala ya kupumzika anaamua kesi.
Especially Kama huyo mke mdogo walimshindwa wenzio wakambwaga.
 
Mtu akishakua na wake wawili ujue utendaji wake utakua zero au negative.
Muda wa ofisi anakua anasikiliza simu za majungu kutoka mke mdogo, weekend yote badala ya kupumzika anaamua kesi.
Especially Kama huyo mke mdogo walimshindwa wenzio wakambwaga.
Unfortunately yeye ni mbunge wewe unasubilia uonewe huruma mwisho wa mwezi 😁😁
 
Back
Top Bottom