Bado tunaaminishwa/ tunaamini Aweso ni mchapakazi?

Unajua mawaziri wengi wali shine kutokana na muongozo wa magufuli. Sasa huyu aliyepo mwenyewe hajui mahitaji ya nchi wala wizara husika. Ukimuuliza unataka kuifanya nini Tanzania naamini hatokuwa na jibu lililonyooka..
Utafunga bakuri lako bila kuambiwa πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221013-152746.png
    183.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221013-152710.png
    185.2 KB · Views: 3
Inawezekana kukawa na ukweli ndani yake,toka amekuwa rais hajawai kutumbua kiongozi wa dini yake kuanzia uwaziri mpaka ngazi za chini zaidi ya Ally Happy na yeye kilichomponza ni skendo ile ya wazee wale.
Ujinga umewajaa kichwani na mtakufa na kurithisha kwa watoto wenu..

Kazi inaendelea πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221013-152606.png
    47.5 KB · Views: 2
Umepungua na kusua sua au siyo?

Acha uendelee kupungua na kusua sua kama hivi πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20221013-152719.png
    140.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221013-152510.png
    125.9 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221013-152521.png
    182.7 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221013-152746.png
    183.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221013-152710.png
    185.2 KB · Views: 1
  • Screenshot_20221013-152606.png
    47.5 KB · Views: 1
Anacho weza yule waziri Ni kuchakta wale wake zake tu na kubwabwaja mdomo wake kumsifia mteuzi nimewai mtumia clipu jinsi maji watu wanafuihujumu minundo mbinu ajanibu Wala kufatilia like swala
 
Sasa kwani ameacha kuchapa Kazi?

Tatizo lako binafsi la kutokuwa muumini Kisa anapenda camera sio tatizo jumuishi Wala halizuii Waziri kuchapa Kazi..

Kazi inaendelea πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220903-201903.png
    149.4 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221005-104854.png
    172.8 KB · Views: 3
Ili uwe wewe au? 😜😜.

Upatikanaji wa maji umeimarika kuliko kipindi chochote shida hata hamufuatilii mambo ila mnaropoka tuu..

Bajeti imeongezwa,katimua wale mainjinia makanjanja na Sasa miradi inatoa maji sio kama.zamani..

Rais Samia sio tuu atamtua ndio mama bali atafuta tatizo la maji hapa Tanzania by 2025 πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220801-081753.png
    167.9 KB · Views: 3
Mtu akishakua na wake wawili ujue utendaji wake utakua zero au negative.
Muda wa ofisi anakua anasikiliza simu za majungu kutoka mke mdogo, weekend yote badala ya kupumzika anaamua kesi.
Especially Kama huyo mke mdogo walimshindwa wenzio wakambwaga.
 
Mtu akishakua na wake wawili ujue utendaji wake utakua zero au negative.
Muda wa ofisi anakua anasikiliza simu za majungu kutoka mke mdogo, weekend yote badala ya kupumzika anaamua kesi.
Especially Kama huyo mke mdogo walimshindwa wenzio wakambwaga.
Unfortunately yeye ni mbunge wewe unasubilia uonewe huruma mwisho wa mwezi 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…