Bado unaamini hii kesi ni ya Ugaidi?

Hangaya anatia aibu na ile miwani yake kama bundi
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
Komenti za aina hii ndio zimemkatisha tamaa kabisa na kuishia kusema "kama humpendi chifu basi panda nchi yako"
 
Toka lini maandamano yakawa ni ugaidi. Only in Tanzania.
 
Wao hawategemei ushahidi wanategemea kumwelekeza jaji a hukumu mbowe
 
Hangaya anazidi kuaibika maana tayari alishautangaZia ulimwengu kwamba mwamba ni gaidi, wanachofanya ni kulazimisha ushahidi ili kuficha aibu
duuh katiba ndo kila kitu. Madaraka ya Rais ni makubwa kiasi anaingilia uhuru wa mihimili mingine bila kujali kabisa
 
Vipi kuhusu matukio yanayoendelea nchini hali yakuwa yupo jela?
Watu wanachinjwa kama kuku?watu wanauana kila uchwao?amani sio mpaka kuwe na vita mzee.View attachment 2091001
Hao hawawezi kujulikana walipo maana Polisi wetu wapo bize wamejifungia Gest na Mashahidi wa uongo wanawamezesha madesa ili wamfunge Mbowe,ndio maana wahalifu wanatamba tu mitaani
 
Ushauri wako labda ukaupeleke nje ya nchi. Hii nchi hakuna .wenye akili za kukuelewa. Hasa wale wenye mamlaka.
 
Hao hawawezi kujulikana walipo maana Polisi wetu wapo bize wamejifungia Gest na Mashahidi wa uongo wanawamezesha madesa ili wamfunge Mbowe,ndio maana wahalifu wanatamba tu mitaani
Kweli. Januari 2022 pekee, kumetokea mauaji zaidi ya 10 yaliyotangazwa, huku tukio moja likiwa la polisi kumpora pesa kisha kuua polisi mmoja na raia mmoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…