Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
-
- #21
Kamanda usijifanye mjuaju humu wakati kwenye kampeni hauhudhuriiChukua boda boda uwahi hapa Lumumba uje uchukue buku saba yako.
Tunapenda vijana wabunifu na wenye propa kama wewe,,, na kuanzia leo umeingia Rasmi kwenye malipo ys buku saba kila siku.
MATAGA
Hakuna aliyezuiwa, ila nina amini angeenda uwanjani na kuanza kuongea watu wangejitokeza kidogoKama kweli hali ni mbaya uko Bagamoyo. Kukwepa aibu kesho Lissu utamsikia anazusha watu walizuiwa kwenda kumsikiliza sijui na nani atakae amua kumzushia uongo.
Picha ya uwanja tupu?Weka Picha tuone kwanza
Twende uwanjani kama upo karibu na Bagamoyo, mengine achana nayoWe mcheza forex tafuta kazi ya kufanya
Hili linaweza kuwa tatizo, chama kinatakiwa kikae haraka kuja na mikakatiChadema hawana mikakati ya kuwafikia wananchi.
Wanachojua ni hamasa za mitabdaoni kutumia akaunti feki zao
Picha ya uwanja tupu??Leteni picha makamanda; yaani mmekaa kimya mpaka saa hizi?
Kama hawamtaki utawalazisha? Aunge mkono juhudi angalau atafikiriwa kuwa mzalendo.Bagamoyo walichofanya sijakipenda, ni kitendo kinachopaswa kupigwa vita kwa nguvu zote
Hongereni Chalinze, hivyo ndivyo inavyotakiwa. Kilichotokea Bagamoyo kinapaswa kukemewa na kupingwa kwa nguvu zoteChalinze hajafika uwanja teyali umeshajaa
Chadema bado tuna ushawishi, kuna nguvu inahitajika tufanye kwenye maeneo kama hayo ya bagamoyo, vinginevyo tunaenda kuaibikaCCM hangaikeni na fiesta yenu... ya Chadema waachieni wenyewe.
Si bora kama vipi uende angalau uonekane mmoja na mfia chama kuliko kuhudhuria kwenye mitandaoPicha ya uwanja tupu?
Weka picha ya mkutano wa Lissu ili kuwakata ngebe matagamisukule ya lumumba mnashida sana
Weka picha ili tumkate ngebe mleta mada!Nipo Bagamoyo. Watu wamekusanyika wengi Sana hapa ktk viwanja vya Majengo wakiendelea kumsubiria rais mtarajiwa bila kuchoka.
Wana Lumumba kwa propa hamjambo. Mnaogopa nini?Weka Picha tuone kwanza
Tuelezeni Kwa nini Bagamoyo hajaja?Chalinze hajafika uwanja teyali umeshajaa