Nani akasikilize matusi ya kichaa Lissu!!Longolongo la rumumba, yaani mnapata mawnge na kuweweseka kwa upepo tuu wa TL, subirini mafuriko yawapitie
Aisee Hawajaonekana Hadi muda huu, sjajua labda anga la Bagamoyo ni zito sana!! Maana Hadi Lowasa naye waliishia kutangaza tu ujio wake, cha ajabu naye hakutokea japokuwa kwake watu walimsubiri kiwanjaniJibu la kishweitani hili; kwamba hata Lissu na viongozi husika hawakuwepo?
Dah...umeniona mimi boya sana? Niweke picha za wahanga nifungwe.... 🤣Weka picha mkuu.
🤣🤣🤣🤣🤣Hizi hasira zako hazisaidii Lisu kushinda
We boya tu, kwani helcopter ndio inakusanya watu? unaambiwa watu hawajakwenda uwanjani sasa hata angekuja na helcopter angemkuta nani? machadema pumzi imekataMataga wamezuiya kibali cha helkopta ikiyokusudiwa kutumiwa na Lissu.
uoga
uoga
uoga.
Mwanawane.. Naunga mkono hoja..Tatizo mtu kama Lisu na baadhi ya vitoto koko vya viongozi vingine havitaki hata kujua historia ndogo tu ya kujua tu udongo uliochanganywa ulichotwa wapi Tanganyika na Zanzibar? Na ile chupa iliochanganywa ule udongo baada ya kuchanganya ilipelekwa wapi na ule udongo?
Kuvunja muungano Lazima ujue siri ya ile chupa ilipo na ukaibomoe ndio unaweza vunja muungano huu wa serikali mbili siri imo bagamoyo kwa custodians wa muungano
Kuangalia show ya Diamond Ni Bora kwasababu napata burudani kuliko kusikiliza Sera za uongo za wanasiasa wetu.Upo mbali sana na ukweli? Kwahiyo bora kuangalia DIAMOND NA KIBA KULIKO MWANASIASA?
Kanda ya ziwa wanasiasa wanaliamsha kuanzia saa mbili asubuhiHuwa nawashangaa sana wanasiasa, unawakusanya Watu muda wa kazi kwasababu zipi hasa.
Kwanini wanasiasa wasiambiwe muda wakukusanya watu uwe kuanzia saa 10? Kama unahoja mbona saa moja linatosha kuwaambia watu wakakuelewa.
Watanzania tuache uvivu na kupenda kukusanyika hovyo mida ya kazi tunajidhalilisha na wanasiasa wanatuona sisi tupo tu tunawasubiri wao muda wote waje kutupigisha stori.
Vipi mataga mbona jazba tena???We boya tu, kwani helcopter ndio inakusanya watu? unaambiwa watu hawajakwenda uwanjani sasa hata angekuja na helcopter angemkuta nani? machadema pumzi imekata
Wanaingizia kuwa helcopter imezuiwa kuruka😂😂😂😂Nenda Bagamoyo, watu hakuna uwanjani. Hizi kelele za humu hazisadii kamanda.
Ila kuandika unaweza sasa unashindeaje kupinga picha huo uwanja?Niko uwanja wa miembe Saba Chalinze hapatoshi siwezi hata kupiga picha labda niwe na kamera ya juu
Bado Ana edit ya Lowassa.Weka picha ili tumkate ngebe mleta mada!
Kwanini chadema mnaogapa sana kuposti picha za kampeni siku hizi?
Ina maana huyo mlamba viatu yuko peke Yake hapo uwanjani na asipopiga picha HAKUNA kamanda hata mmoja wa kupiga picha?Bagamoyo Lissu kasimamisha mji alafu huyu mlamba viatu kaficha picha za tukio kaja kuwalaghai wenye akili zao jf..upuuzi wako malizia huko huko lumumba ken.e wewe!
Mbona mnabwabwaja tuu hampigi picha huo uwanja tuone waliozimia?Dah...We jamaa muongo sana....mimi nipo kitengo cha huduma ya kwanza...hadi mkutano unaisha watu 27 walipoteza fahamu kwa sababu ya msongamano na kukosa hewa..... acha uongo [emoji2960]