Uchaguzi 2020 Bagamoyo msirudie mlichokifanya kwa CHADEMA leo

Uchaguzi 2020 Bagamoyo msirudie mlichokifanya kwa CHADEMA leo

Wazaramo na siasa wapi na wapi???-- lao ni ngoma na bao tu.🤣
 
Walishazoea kubebwa kwenye mafuso na kuhongwa pesa za uji
 
Chadema kampeni zao ili wasiendelee kuaibika wangewekeza nguvu zao nyingi kwenye mikoa ya Mara, Mbeya, Iringa, Arusha, Singida , Kilimanjaro na Mikumi kwa Prof J na Zanzibar.Mikoa mingine msiende jamani mtamuaibisha mgombea wetu
 
Kwa nini CHADEMA hamkusomba watu toka Kawe waende Bagamoyo kwenye huo mkutano wa uzinduzi hapo Bagamoyo!? Kweli mmeshindwa kutumia MKAKATI huo?
 
Tatizo mtu kama Lisu na baadhi ya vitoto koko vya viongozi vingine havitaki hata kujua historia ndogo tu ya kujua tu udongo uliochanganywa ulichotwa wapi Tanganyika na Zanzibar? Na ile chupa iliochanganywa ule udongo baada ya kuchanganya ilipelekwa wapi na ule udongo?


Kuvunja muungano Lazima ujue siri ya ile chupa ilipo na ukaibomoe ndio unaweza vunja muungano huu wa serikali mbili siri imo bagamoyo kwa custodians wa muungano
Mwanawane.. Naunga mkono hoja..
 
Huwa nawashangaa sana wanasiasa, unawakusanya Watu muda wa kazi kwasababu zipi hasa.
Kwanini wanasiasa wasiambiwe muda wakukusanya watu uwe kuanzia saa 10? Kama unahoja mbona saa moja linatosha kuwaambia watu wakakuelewa.

Watanzania tuache uvivu na kupenda kukusanyika hovyo mida ya kazi tunajidhalilisha na wanasiasa wanatuona sisi tupo tu tunawasubiri wao muda wote waje kutupigisha stori.
Kanda ya ziwa wanasiasa wanaliamsha kuanzia saa mbili asubuhi
 
Bagamoyo Lissu kasimamisha mji alafu huyu mlamba viatu kaficha picha za tukio kaja kuwalaghai wenye akili zao jf..upuuzi wako malizia huko huko lumumba ken.e wewe!
Ina maana huyo mlamba viatu yuko peke Yake hapo uwanjani na asipopiga picha HAKUNA kamanda hata mmoja wa kupiga picha?
 
Dah...We jamaa muongo sana....mimi nipo kitengo cha huduma ya kwanza...hadi mkutano unaisha watu 27 walipoteza fahamu kwa sababu ya msongamano na kukosa hewa..... acha uongo [emoji2960]
Mbona mnabwabwaja tuu hampigi picha huo uwanja tuone waliozimia?
 
Back
Top Bottom