Bagamoyo: Mwanamke ashindwa kuzika mwili wa mumewe. Mgogoro wasababisha afunge geti marehemu alikopaswa kuzikwa na kutokomea kusikojulikana

Hebu maliza hiyo habari. Baada ya kukuta geti limefungwa wamechukua hatua gani? Kwa hiyo mazishi hayakufanyika?
walivunja geti, mlango na hatimaye mumewe Henry Massawe uk
mke mwenyewe hata huko kilimanjaro hakufahamu, atapendekezaje mume anayempenda akazikwe sehemu ambayo haifahamu?
 
Kichwa yake imejaa makamasi ukizingatia ana mtoto mmoja tu tena mdogo wa miaka 2.
 
Akili kisoda hizo, yani hao wasukuma wapuuzi sana
 
Kuna mtu mmoja mashuhuri sana jana alikuwa anatupa story hii ila kwa mujibu wake ni kuwa:

Marehemu aliandika wosia kutaka akifa azikwe kwenye compound ya nyumba yake ila mkewe akakataa huku ndugu wakishikilia wosia utimizwe

Basi sekeseke hilo likaenda Mahakamani huko hakimu akaamuru wosia wa marehemu ufanyiwe kazi maana yake marehemu azikwe ndani ya compound yake

Mkewe anakataa hili sababu halisi hatujui ila inadhaniwa kuwa kuzikwa kwa marehemu nyumbani kwake kunaweza kuaffect mambo kadhaa

1. Akizikwa hapo nyumba haiwezi chukuliwa mkopo
2. Akizikwa hapo si rahisi nyumba kupata mpangishaji
3. Akizikwa hapo si rahisi kwa mwanaume atakaekuwa na mahusiano na mjane huo kwenda kuishi kwenye nyumba ile
4. Akizikwa hapo si rahisi kupata mnunuzi

Haya yote ni kwa mujibu wa mtu huyo mashuhuri sana hapa nchini
 
Rubbish kabisaa.

Kwa maana hiyo ,hamna haja ya Wosia?.

Wee naye ni Mwanasheria?.
Mbona Wosia wa Marehemu Mengi Mahakama iliuutenguwa!? Siyo kila alichosema Marehemu kipindi cha uhai wake lazima kitimizwe, lazima uhalisia pia uaangaliwe! Je Marehemu angesema mkamzike Marekani mngeenda kumzika huko!!??
 
Mbona Wosia wa Marehemu Mengi Mahakama iliuutenguwa!? Siyo kila alichosema Marehemu kipindi cha uhai wake lazima kitimizwe, lazima uhalisia pia uaangaliwe! Je Marehemu angesema mkamzike Marekani mngeenda kumzika huko!!??
Inategemea wosia uliandika ukiwa kwenye hali gani.

Kwa Mengi ule haukuwa wosia.
 
Marehemu alishaacha wosia azikwe Bagamoyo. Mke ndo amegoma kwa sababu za kibiashara. Mahakama imetoa amri mke ametoroka hajazika mumewe. Na hapo awali mke alishafumaniwa na picha zake zilichafua hali ya hewa kwa mange
Kuna wanawake roho mbaya unazionea usoni tu, lile lichawi jamaa sijui alikua anawezaje hata kuishi nalo.

Maskini ukute hata mtoto sio wake, na wamempoteza jamaa. Kuna mtu alipost sura ya huyo mwanamke hapa nikakumbuka nlishaiona kwenye database za connection, naona sikua wrong
 
Huu ndio uhalisia japo mchungu sana🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…