Bagamoyo: Mwanamke ashindwa kuzika mwili wa mumewe. Mgogoro wasababisha afunge geti marehemu alikopaswa kuzikwa na kutokomea kusikojulikana

Asante chief.

Hapa napata somo moja tu,
KATAA NDOA, NDOA NI KIFUNGO,
 
Pumba
 
Sisi binadamu kweli kila mtu ana mabaya yake, mwenzetu sijui ana shetani ndani yake!!!
Kitendo cha mumewe hata kuzikwa bado, kishapanga nyumba nini cha kufanya!!!
Huyu alikuwa na malengo yake, muda mrefu. Yeye na mama yake wakibinywa vizuri, wataeleza vizuri njama zao kwa mkaka wa wa watu.

Haya kesi kapoteza na mume anazikwa kwake, angejikaza tu akashiriki kumzika mumewe angalau.
Unajaribu kupata picha ya watu wake wa karibu, washauri wake ni watu wa aina gani.
Kabla ya kuoa na kuolewa, tuombe sana Mungu, kila mtu kwa Imani yake, akupe mke au mume aliyekupangia.
 
....
Uko hai huna maamuzi, ukifa ndio unao? Ukifa huna chako! Huwezi kuandika wosia juu ya kitu ambacho sio chako peke yako.
Utazikwaje kwenye ki garden mlangoni kwa nyumba ya mwenzio?
...
... un/fortunately mfasiri wa sheria aka Mahakama imeshatoa amri na mhusika amezikwa kwenye "ki garden". Watamhamisha?
 
Ni masenge majanaume ya hivi. Yanatuaibisha mno qumerninner zao. Miqndu yao
 
Kwa hiyo wanaume Tusile Nyumbani kwetu???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Eee Mungu wangu kikombe hiki kiniepuke,nnavompenda mme wangu age nipate nguvu ya kwenda mahakamani??? Hizi ndoa jaman Zina Siri nzito saaana
 
Manka kaona fursa ya kupangisha nyumba apate pesa hafikirii kabisa utu, ndio maana wanawake wachaga wanachukiwa kumbe hawasingiziwi.

DeepPond njoo usome huu mkasa ili ututungue story.
Hapo mwanzoni inasemekana JamiiForums ilikuwa ni uwanja wa watu wenye akili sana, lakini kwa sasa mpo nyie vijana mnaopata masifuri huko shuleni. Yani hata kuchunguza ujue kama huyo mke ni Mchaga au sio Mchaga nalo limekushinda?
 
Mtu akishakuwa ni mume/mke wa mtu halali mwenzie akitangulia all alobaki ndio wa kupanga ni wapi mume/mke wangu atazikwa! Sio ndugu......ndugu kuingilia kupanga flani azikiwe wapi ndio wana jambo lao
Hizo sio taratibu za wachaga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…