Kummmmko una hasira sana utafikiri huyo malaya ni mkeo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni masenge majanaume ya hivi. Yanatuaibisha mno qumerninner zao. Miqndu yao
Mwanamke gani wa kibongo atakubali kusaini akose Mali?, Wengi wanafuata Mali kwako si dudu maana kama ni dudu mbona wanakua wanazo nyingi tu b4 wwIla ukimsainisha mke wako Pre-nup contract kabla ya ndoa, ukaweka terms kuhusu mali zako, hio si inakua favourable kama mtaachana? na vp inaruhusiwa kwa sheria za Tanzania?
Pamoja na yote hayo DeepPond kuchepuka haachi ng'o😂😂Hii ndo point muhimu kuliko chochote... Kama huyo DeepPond na umalaya wake kumbe mke wake anamchora tu...ni mwendo wa kuweka mafuta ya transforma kwenye misosi akajifie mbele huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Sheria za au maamuzi ya mahakama za Tz huwa zinaniacha hoi!Baadhi ya Waombolezaji kwenye msiba wa Kijana Henry Massawe aliyekuwa Mkazi wa Kiaraka Magengeni, Bagamoyo Mkoani Pwani, wamelazimika kuvunja geti la nyumbani kwa Marehemu ili kuingia kumzika baada ya kukuta geti hilo limefungwa huku Mke wake akiwa hajulikani alipo ikiwa ni muda mfupi tu baada ya Mahakama ya Bagamoyo kuamuru Marehemu azikwe Bagamoyo na sio Kilimanjaro kama alivyotaka Mkewe.
Kabla ya kuvunjwa kwa geti hilo Waombolezaji walikuwa wamekaa nje wakati wote na baada ya hapo wakaingia na kuuvunja pia mlango wa nyumba ya Marehemu ili mwili uingizwe sebuleni kama ilivyo taratibu za misiba ya kikristo.
Henry Massawe alifariki January 16, 2023 na mwili wake ulisubiri kuzikwa kwa wakati wote huo kutokana na mgogoro uliokuwepo baina ya Ndugu wa Marehemu waliotaka azikwe nyumbani kwake Bagamoyo huku Mke wa Marehemu akitaka azikwe Kilimanjaro kabla ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Bagamoyo Vedatus Mwalia kuamua kuwa Marehemu azikwe Bagamoyo.
Mahakama ya Bagamoyo mkoani Pwani leo January 24 2023 kuamuru mwili wa Henry Massawe kuzikwa nyumbani kwake Kiaraka, Bagamoyo kama watakavyo Ndugu zake na kutupilia mbali hoja za Mke wake aliyetaka akazikwe Mkoani Kilimanjaro.
Ndugu Jamaa na Marafiki waliojitokeza kwa ajili ya maziko ya Marehemu Henry wamekuta geti la nyumbani kwake limefungwa huku ikielezwa kuwa Mkewe hajulikani alipo.
Yaani kwa Tz hizi tafsiri za sheria hazina mantiki kabisa, na ina shangaza jinsi jamii inavyoshadadia kudhalilishwa kwa mke wa mhusika!Hivi ukishakuwa na ndoa mwenye haki ya kuzika ni mke au ndugu wa mume?
Naona kama umetukana bila sababu hivi.
Mtazamo wa Karne gani huu?Wenye wajibu wa kuzika ni ndugu, mke Hana mamlaka mumewe azikwe wapi ila mwanamke akifa mumewe ndio mwenye mamlaka
RIP Dr MengiSheria za au maamuzi ya mahakama za Tz huwa zinaniacha hoi!
Wenzetu walioendelea, wanamheshimu Sana mume au mke wa mtu, kuliko hata wazazi na ndugu zake.
Hapa kwetu ni kinyume kabisa! Huyu mke anadharauliwa, na hapo mume kazikwa bila ya mkewe kuwepo, mke wa Mengi naye anadharauliwa, wosia wa marehemu unadharauliwa, ni nini maana ya sheria kwa Tz?!!
Wosia kwa mahakama za Tz pia hausaidii. Ona ya familia Mengi.Upatapo wasaa andika wosiaaa
Ule sio wosia (ulikosa sifa kuitwa Wosia).Wosia kwa mahakama za Tz pia hausaidii. Ona ya familia Mengi.
Naona tz kuna maeneo sheria hazifanyi kazi bali utamaduni uliozoeleka na watuSheria za au maamuzi ya mahakama za Tz huwa zinaniacha hoi!
Wenzetu walioendelea, wanamheshimu Sana mume au mke wa mtu, kuliko hata wazazi na ndugu zake.
Hapa kwetu ni kinyume kabisa! Huyu mke anadharauliwa, na hapo mume kazikwa bila ya mkewe kuwepo, mke wa Mengi naye anadharauliwa, wosia wa marehemu unadharauliwa, ni nini maana ya sheria kwa Tz?!!
Kuna mtu mmoja mashuhuri sana jana alikuwa anatupa story hii ila kwa mujibu wake ni kuwa:
Marehemu aliandika wosia kutaka akifa azikwe kwenye compound ya nyumba yake ila mkewe akakataa huku ndugu wakishikilia wosia utimizwe
Basi sekeseke hilo likaenda Mahakamani huko hakimu akaamuru wosia wa marehemu ufanyiwe kazi maana yake marehemu azikwe ndani ya compound yake
Mkewe anakataa hili sababu halisi hatujui ila inadhaniwa kuwa kuzikwa kwa marehemu nyumbani kwake kunaweza kuaffect mambo kadhaa
1. Akizikwa hapo nyumba haiwezi chukuliwa mkopo
2. Akizikwa hapo si rahisi nyumba kupata mpangishaji
3. Akizikwa hapo si rahisi kwa mwanaume atakaekuwa na mahusiano na mjane huo kwenda kuishi kwenye nyumba ile
4. Akizikwa hapo si rahisi kupata mnunuzi
Haya yote ni kwa mujibu wa mtu huyo mashuhuri sana hapa nchini
Umekutana nao tu, hukuishi nao, na bado unajiona Una haki ya kutoa shutuma nzito za mauaji?Kwani hawana Roho mbaya mkuu, mimi wawili tu nilikutana nao wamenishinda wanapenda hela balaa
Mwanamke gani wa kibongo atakubali kusaini akose Mali?, Wengi wanafuata Mali kwako si dudu maana kama ni dudu mbona wanakua wanazo nyingi tu b4 ww
Sheria za au maamuzi ya mahakama za Tz huwa zinaniacha hoi!
Wenzetu walioendelea, wanamheshimu Sana mume au mke wa mtu, kuliko hata wazazi na ndugu zake.
Hapa kwetu ni kinyume kabisa! Huyu mke anadharauliwa, na hapo mume kazikwa bila ya mkewe kuwepo, mke wa Mengi naye anadharauliwa, wosia wa marehemu unadharauliwa, ni nini maana ya sheria kwa Tz?!!
Wenye wajibu wa Mume azikwe wapi ni ndugu, na Mwenye wajibu mke azikwe wapi ni mumeMtu akishakuwa ni mume/mke wa mtu halali mwenzie akitangulia all alobaki ndio wa kupanga ni wapi mume/mke wangu atazikwa! Sio ndugu......ndugu kuingilia kupanga flani azikiwe wapi ndio wana jambo lao
Sio mtazamo ndio uhalisia kwani wewe unaishi wapi? Hujayaona na kuyashuhudia??Mtazamo wa Karne gani huu?
Huu ndio ukweli na uhalisia uliopoWenye wajibu wa Mume azikwe wapi ni ndugu, na Mwenye wajibu mke azikwe wapi ni mume
JKumbe mnyantunzu ! Alimwekea baba mdogo wangu Sumu , kile chakula kikamwagika akala mbwa akaangusha ndani ya sekunde kadhaa
Sema Yule baba [emoji119], akaita tu majirani akachota akapeleka sample hospital akaenda kupiga bia, Hakumuuliza Yule mama
Ila Bmkubwa alikaa Kama 2weeks akaondoka na nguo zake tu, mpaka Leo hajulikani alipo.
Usi conclude haraka, haidhuru kuuliza mtu mashuhuri nani mkuu😂haya ameandika albert msando kwenye post ya millard!! mtu mmoja mtu mmoja[emoji38] mashuhuri mashuhuri
Inauma sana.Ukichunguza huenda hata watoto baadhi utakuta sio wa marehemu. 🤣🤣🤣 MWANAMKE AKIWA HAKUPENDI KAFATA HELA NI ZAIDI YA SHETANI.