Bagamoyo: Mwanamke ashindwa kuzika mwili wa mumewe. Mgogoro wasababisha afunge geti marehemu alikopaswa kuzikwa na kutokomea kusikojulikana

Bagamoyo: Mwanamke ashindwa kuzika mwili wa mumewe. Mgogoro wasababisha afunge geti marehemu alikopaswa kuzikwa na kutokomea kusikojulikana

Ila ukimsainisha mke wako Pre-nup contract kabla ya ndoa, ukaweka terms kuhusu mali zako, hio si inakua favourable kama mtaachana? na vp inaruhusiwa kwa sheria za Tanzania?
Mwanamke gani wa kibongo atakubali kusaini akose Mali?, Wengi wanafuata Mali kwako si dudu maana kama ni dudu mbona wanakua wanazo nyingi tu b4 ww
 
Hii ndo point muhimu kuliko chochote... Kama huyo DeepPond na umalaya wake kumbe mke wake anamchora tu...ni mwendo wa kuweka mafuta ya transforma kwenye misosi akajifie mbele huko [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Pamoja na yote hayo DeepPond kuchepuka haachi ng'o😂😂

Wanatuchukuliaga poa sana ila wangejua mioyo yetu ikichafukwa ni zaidi ya shetani mwenye mapembe
 
Baadhi ya Waombolezaji kwenye msiba wa Kijana Henry Massawe aliyekuwa Mkazi wa Kiaraka Magengeni, Bagamoyo Mkoani Pwani, wamelazimika kuvunja geti la nyumbani kwa Marehemu ili kuingia kumzika baada ya kukuta geti hilo limefungwa huku Mke wake akiwa hajulikani alipo ikiwa ni muda mfupi tu baada ya Mahakama ya Bagamoyo kuamuru Marehemu azikwe Bagamoyo na sio Kilimanjaro kama alivyotaka Mkewe.

Kabla ya kuvunjwa kwa geti hilo Waombolezaji walikuwa wamekaa nje wakati wote na baada ya hapo wakaingia na kuuvunja pia mlango wa nyumba ya Marehemu ili mwili uingizwe sebuleni kama ilivyo taratibu za misiba ya kikristo.

Henry Massawe alifariki January 16, 2023 na mwili wake ulisubiri kuzikwa kwa wakati wote huo kutokana na mgogoro uliokuwepo baina ya Ndugu wa Marehemu waliotaka azikwe nyumbani kwake Bagamoyo huku Mke wa Marehemu akitaka azikwe Kilimanjaro kabla ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Bagamoyo Vedatus Mwalia kuamua kuwa Marehemu azikwe Bagamoyo.

Mahakama ya Bagamoyo mkoani Pwani leo January 24 2023 kuamuru mwili wa Henry Massawe kuzikwa nyumbani kwake Kiaraka, Bagamoyo kama watakavyo Ndugu zake na kutupilia mbali hoja za Mke wake aliyetaka akazikwe Mkoani Kilimanjaro.

Ndugu Jamaa na Marafiki waliojitokeza kwa ajili ya maziko ya Marehemu Henry wamekuta geti la nyumbani kwake limefungwa huku ikielezwa kuwa Mkewe hajulikani alipo.
Sheria za au maamuzi ya mahakama za Tz huwa zinaniacha hoi!
Wenzetu walioendelea, wanamheshimu Sana mume au mke wa mtu, kuliko hata wazazi na ndugu zake.
Hapa kwetu ni kinyume kabisa! Huyu mke anadharauliwa, na hapo mume kazikwa bila ya mkewe kuwepo, mke wa Mengi naye anadharauliwa, wosia wa marehemu unadharauliwa, ni nini maana ya sheria kwa Tz?!!
 
Hivi ukishakuwa na ndoa mwenye haki ya kuzika ni mke au ndugu wa mume?

Naona kama umetukana bila sababu hivi.
Yaani kwa Tz hizi tafsiri za sheria hazina mantiki kabisa, na ina shangaza jinsi jamii inavyoshadadia kudhalilishwa kwa mke wa mhusika!
 
Sheria za au maamuzi ya mahakama za Tz huwa zinaniacha hoi!
Wenzetu walioendelea, wanamheshimu Sana mume au mke wa mtu, kuliko hata wazazi na ndugu zake.
Hapa kwetu ni kinyume kabisa! Huyu mke anadharauliwa, na hapo mume kazikwa bila ya mkewe kuwepo, mke wa Mengi naye anadharauliwa, wosia wa marehemu unadharauliwa, ni nini maana ya sheria kwa Tz?!!
RIP Dr Mengi
 
Sheria za au maamuzi ya mahakama za Tz huwa zinaniacha hoi!
Wenzetu walioendelea, wanamheshimu Sana mume au mke wa mtu, kuliko hata wazazi na ndugu zake.
Hapa kwetu ni kinyume kabisa! Huyu mke anadharauliwa, na hapo mume kazikwa bila ya mkewe kuwepo, mke wa Mengi naye anadharauliwa, wosia wa marehemu unadharauliwa, ni nini maana ya sheria kwa Tz?!!
Naona tz kuna maeneo sheria hazifanyi kazi bali utamaduni uliozoeleka na watu
 
Kuna mtu mmoja mashuhuri sana jana alikuwa anatupa story hii ila kwa mujibu wake ni kuwa:

Marehemu aliandika wosia kutaka akifa azikwe kwenye compound ya nyumba yake ila mkewe akakataa huku ndugu wakishikilia wosia utimizwe

Basi sekeseke hilo likaenda Mahakamani huko hakimu akaamuru wosia wa marehemu ufanyiwe kazi maana yake marehemu azikwe ndani ya compound yake

Mkewe anakataa hili sababu halisi hatujui ila inadhaniwa kuwa kuzikwa kwa marehemu nyumbani kwake kunaweza kuaffect mambo kadhaa

1. Akizikwa hapo nyumba haiwezi chukuliwa mkopo
2. Akizikwa hapo si rahisi nyumba kupata mpangishaji
3. Akizikwa hapo si rahisi kwa mwanaume atakaekuwa na mahusiano na mjane huo kwenda kuishi kwenye nyumba ile
4. Akizikwa hapo si rahisi kupata mnunuzi

Haya yote ni kwa mujibu wa mtu huyo mashuhuri sana hapa nchini

haya ameandika albert msando kwenye post ya millard!! mtu mmoja mtu mmoja[emoji38] mashuhuri mashuhuri
 
Mwanamke gani wa kibongo atakubali kusaini akose Mali?, Wengi wanafuata Mali kwako si dudu maana kama ni dudu mbona wanakua wanazo nyingi tu b4 ww

Dawa yao
Sheria za au maamuzi ya mahakama za Tz huwa zinaniacha hoi!
Wenzetu walioendelea, wanamheshimu Sana mume au mke wa mtu, kuliko hata wazazi na ndugu zake.
Hapa kwetu ni kinyume kabisa! Huyu mke anadharauliwa, na hapo mume kazikwa bila ya mkewe kuwepo, mke wa Mengi naye anadharauliwa, wosia wa marehemu unadharauliwa, ni nini maana ya sheria kwa Tz?!!

Sisi ni waafrica.

Sheria zetu za ndoa na mirathi. Zimechanganywa uzungu kidogo na taratibu za kimila kidogo.

Mahakama ama sheria inafata mila pia za wanandoa.

Mila zetu nyingi mke hana mamlaka ya kuamua mume wake azikwe wapi
 
Mtu akishakuwa ni mume/mke wa mtu halali mwenzie akitangulia all alobaki ndio wa kupanga ni wapi mume/mke wangu atazikwa! Sio ndugu......ndugu kuingilia kupanga flani azikiwe wapi ndio wana jambo lao
Wenye wajibu wa Mume azikwe wapi ni ndugu, na Mwenye wajibu mke azikwe wapi ni mume
 
Kumbe mnyantunzu ! Alimwekea baba mdogo wangu Sumu , kile chakula kikamwagika akala mbwa akaangusha ndani ya sekunde kadhaa

Sema Yule baba [emoji119], akaita tu majirani akachota akapeleka sample hospital akaenda kupiga bia, Hakumuuliza Yule mama

Ila Bmkubwa alikaa Kama 2weeks akaondoka na nguo zake tu, mpaka Leo hajulikani alipo.
J
Kazi kweli
 
Back
Top Bottom