Verrazanno
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 454
- 1,011
HATUZITAMBUI pre-nuptial agreements hapa Tanzaunia, na hakuna kesi iliyowahi kuendeshwa kwa vigezo vya pre-nup agreements au kuainisha vigezo vinavyotakiwa kuandika pre-nup agreements. That is the long and short of it.Ila ukimsainisha mke wako Pre-nup contract kabla ya ndoa, ukaweka terms kuhusu mali zako, hio si inakua favourable kama mtaachana? na vp inaruhusiwa kwa sheria za Tanzania?
Kwa upande wa mali ardhi sheria zinaweka bayana jinsi ya kugawana na kutapanya mali ya marehemu au mtaliki. Mkataba wa
Pre-nup utakaojaribu kuipandia kichwani sheria ya nchi utakuwa batili.
Sheria inakataza kumpoka mtaliki au mjane mali ya wanandoa, matrimonial property. Kujenga kaburi mlango wa mbele ni kumpoka mjane mali yake, pre-nup haiwezi kutumika kufanikisha uharamia huo.