Bagamoyo: Mwanamke ashindwa kuzika mwili wa mumewe. Mgogoro wasababisha afunge geti marehemu alikopaswa kuzikwa na kutokomea kusikojulikana

Mimi nishadate na mchaga wa old moshi nikawa namtania alikuwa anachukia japo alinicheat akabeba mimba uko

Hila mwanamke wa kimachame muogope sana akishajua hapa pesa hipo kifo kinakuhusj
Dooh, me wanawake wanaonibamba ni wa pwani kama kule kwetu Tanga mjini, Pangani, Mafia na Bagamoyo, Kisarawe na kusini, hawa wa kaskazini siwaelewi kabisa
 
Ndio maana nasema Ndoa Ni Utapeli mtupu na Ubinafsi mkubwa sana
 
Kwa mujibu wa mashuhuda mkewe alisema ana mpango wa kuipangisha nyumba hiyo kwa wazungu, hivyo uwepo wa kaburi la mumewe tena mbele ya nyumba hiyo utazuia mipango yake. Hivyo akaamuru mwili usafirishwe akazikwe kwao Moshi.

kwa hali hiyo, nashauri jeshi la Polisi limshikilie huyo mke kuchunguza chanzo cha kifo cha mumewe hata kama amefia hospitali. inawezekana alimwekea dawa iliyommaliza taratibu.

Wanawake wengine wana tamaa ya mali kuliko shetani mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…