Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Kila shetani na mbuyu wake mkuu.
Hila mimi sio shetani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boss wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila shetani na mbuyu wake mkuu.
Haaa haaa haaa,msemo tu mkuu usiutafsiri moja kwa moja. Watu wa pwani sisi hupenda kuzungumza kwa lugha ya picha.Hila mimi sio shetani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boss wangu
Ila wewe una namba mpaka za carlito wa wavuvi camp, hukosi kaushetani kidogo.Hila mimi sio shetani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] boss wangu
WamekaririKumbe wamekremu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh huyu mwanamke anaonekana mroho wa Mali..WAFIWA WAMEONA ISIWE TABU WAMEMUWEKEA MKE UA LAKE MLANGO AKIJA AMALIZIE KUZIKA. WAKAMUINGANISHIA NA BANGO[emoji119][emoji22] “MTAKA NYINGI NASABA HUPATA MINGI MISIBA”View attachment 2494264View attachment 2494265
Nina wasiwasi Me alishahisi kitu juu ya nyumba kwa Mkewe ndiyomaana akaona hata akidanja ni vyema azikwe hapo hapo ktk himaya yake.Safi, huyo mwanamke hakuwa mzuri, pengine alitaka kuuza
Haaa haaa haaa,msemo tu mkuu usiutafsiri moja kwa moja. Watu wa pwani sisi hupenda kuzungumza kwa lugha ya picha.
Ila wewe una namba mpaka za carlito wa wavuvi camp, hukosi kaushetani kidogo.
Hilo kaburi huyu mama atakuja kusawazisha na udongo juu
Mkuu raraa reree ubarikiwe, likes zako naziona.
Tena atamwaga na zege kabisa kuondoa kumbukumbu.Hilo kaburi huyu mama atakuja kusawazisha na udongo juu
Kabisa..ila dhambi sana.Hilo kaburi huyu mama atakuja kusawazisha na udongo juu
Acha zako ww matajiri wa kugonga likes sio 😆 🙏Huyo hana baya ni mwenyekiti wa matajiri hapa jf
Kaushetani kako nakajua wewe, ni gambe.[emoji23][emoji23][emoji23] tulia basi boss mkubwa kaushetani kangu wewe hukawezi hata hila ndio najifunza
Acha zako www
Kaushetani kako nakajua wewe, ni gambe.
watoto sio ndoaWatoto si ungemzalia wewe au sio.
Utaharibikiwa akili, acha kwenda kinyume na maandiko matakatifu.watoto sio ndoa
Ndoa sio watoto