Mshenzi sanaKikubwa tu jua unacho ona sahihi kwako sio sahihi kwa mwenzako.... Kila mtu abaki na uhuru wake.... Ukiona ukristo ni upumbavu na mimi naweza kuuona uislam kwa namna ambayo nikiitaja italeta tafrani.... We kufa sa moja uzikwe sa mbili mi nife January nizikwe December inakugarimu nini????? Fata yanayo kuhusu