Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du mbona tunatishana...Wanaume wengi hawajui kufatilia ishu za misosi wao wake zao wakitenga anaamini kila kitu kipo sawa, mavyakula ya viwandani nayo anakupakia kwa wingi, kinachoanza ni kupungua nguvu za kiume, then sukari, unakuwa sanamu la kiume anakutawala unapata sonona unakufa, maisha yameisha anajimwaya mwaya na mali
Hayana formula,, tutarudi kule kule pa mke mwema hutoka kwa Mungu,, ni maombi tu ndo yatakupa kilicho bora hivi hivi ni ngumu kinomaDu mbona tunatishana...
Ila shida nyingine nikuoa mwanamke ambaye ambitions zenu zinalingana..
Bora uchukue pisi ya kijijini au uswazini ambayo ukiionga elfu 30 anaiona nyingi na kuithamini kama umempa milioni..Hadi akija kujanjaruka muda unakuwa umeenda sana..
Hawa wapenda mambo makubwa tuwaachie wakurugenzi, wabunge, mapedeshee, wastaafu n.k
Usikariri, Bruce Lee Alifia Hong Kong akazikwa Marekani.na hili la kuogopa kuzikwa kijijini kwenu ni matokeo ya kutoweka mazingira sawa, unatamba mjini unavimba unaonekana wewe ni mtu , msala sasa unapokufa wewe au unapopatwa na msiba na mnatakiwa kwenda kijijini kwenu ndipo aibu unakutana nayo, nashukuru babu yangu alijenga huko kijijini miaka hiyo ya ukoloni but nyumba zina quality kubwa sana ni ukarabati mdogo mdogo tu unafanyika
Sasa huyu si shetani kabisa
Hapana mtu akiamua azikwe kwakwe na mazingira ya kuzika yapo nini shida? Unajua nauli yako kutoka hapo Iringa mpaka unyakyusani ukiwa mzima haizidi 30,000, hapo na chenji unapata lakini ukienda ukiwa maiti million haikuachi salama, na kama unavyojua kifo hakina taarifa kama harusi kwamba utajianda, kuepusha nongwa zote zikwa ulipona hili la kuogopa kuzikwa kijijini kwenu ni matokeo ya kutoweka mazingira sawa, unatamba mjini unavimba unaonekana wewe ni mtu , msala sasa unapokufa wewe au unapopatwa na msiba na mnatakiwa kwenda kijijini kwenu ndipo aibu unakutana nayo, nashukuru babu yangu alijenga huko kijijini miaka hiyo ya ukoloni but nyumba zina quality kubwa sana ni ukarabati mdogo mdogo tu unafanyika
Kwa nini umsingizie Dada wakati ni wewe ndio umejiunga ili update umbea wa Mange?
Kwa maelezo haya wewe ni mfuasi nguli wa hiyo app ya Mange.
By the way sioni tatizo lolote, watu kama Mange ni muhimu kwenye jamii yetu, nimesoma post zote mpaka mwisho lakini reference za Mange zimefunga mjadala huu jamaa aliowa shangingi tu.
Mwanamke low profile hawezi kuwepo kwenye page za Mange eti kachafuwq hali ya hewa.
Na ninaposema low profile maana yake unaweza kuwa na maisha makubwa lakini siyo mtu wa spotlight, wengi sura halisi na Picha pamoja na video za Billionaire Bakhressa wa Azzam wameanza kuziona juzi tu, kwa miaka mingi Bakhressa anajurikana kwa jina tu, hata wewe unaweza kuwa ushahidi, hii ndio maana ya low profile ingawa mwenyewe ni high profile.
Shetani na mama mkwe wake kabisaSasa huyu si shetani kabisa
Wee nawee acha kujitoaa ufahamuuu...! Mtu hazikwi alipozaliwaa anazikwaa Kwao kwenye asilii yakee... Kama mchaga utasafirishwa kupelekwa kijijini kweny kwenye asili yenuu..Mbena iringaa kwenu hukoo hata kama ulizaliwaa Marekani.Mimi nawashangaa watu ambao husema mtu akifa anatakiwa kuzikwa alikozaliwa
Kwa hiyo ukizaliwa hospitali ya Muhimbili unatakiwa kuzikwa wodini Mihimili ulikozaliwa ukifa?
Aisee....yote maisha tu[emoji2957][emoji2957]utakuwa ni wale wale hahahhaha
... mwanamke wa Ziwani huyo; japo kabila doesn't matter but let the truth prevail badala ya uzushi.In short mwanamke alitaka auze nyumba maana hata wakati maiti imefika walijifungia ndani. Hao ndio wanawake wa kichaga
... na wewe kwa upumbavu unafakamia likitambi hilo; oooh, mke wangu ananipatia kwenye mapishi kumbe mwenzio ana malengo ya muda wa kati! Ha ha ha!Halafu yeye hali anakwambia anafanya diet.😀😀
Kufa tutakuzika popote sio unaacha maagizo kibao bila hata nauliMarehemu hakuacha Wosia wowote kuhusu wapi azikwe? Mimi tayari nimeshaambia mke wangu na ndugu zangu kwamba nikifa nikazikwe kwenye makaburi ya ukoo wetu huko kijijini kwetu Moshi, na sehemu ya kuzikwa nimeshawaonyesha kwamba nizikwe hapa.
Kurahisisha kusafirisha mwili nina mpango wa kukata bima ya maisha ya walau milioni 4 (life insurance). Haya mambo ukiyapangilia yanasaidia sana kuondokana na hii migogoro wajameni, hebu tubadilike wakuu.
... ni kweli ila huyo mmama angekuwa na nasaba ya kichaga japo upande wa bibi yake mzaa bibi yake upande wa mama angekuwa wa huko huu uzi ungekuwa page ya 1000!Mali siku hizii hazina kabilaa wanawakee wanaijuaa helaa kulikoo helaa inavyojijuaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
... mbaya zaidi wanaofanya hivyo wanakuwa kama vile hawajitambui wanafanya vitu vya aibu/ajabu!Wadada / wanawake wa siku hizi kaka kaa nao kwa machale sana, unajikuta kuna vitu unafanya mpaka watu wanakushangaa
... kamuulize huyo mwanamke aliyetaka kumpeleka marehemu Moshi badala ya kumzika hapo nyumbani kwao hadi ndugu walipoingilia.Mimi nawashangaa watu ambao husema mtu akifa anatakiwa kuzikwa alikozaliwa
Kwa hiyo ukizaliwa hospitali ya Muhimbili unatakiwa kuzikwa wodini Mihimili ulikozaliwa ukifa?
Aiseeee [emoji15] [emoji15] sasa imekula kwake mazima...Marehemu alishaacha wosia azikwe Bagamoyo. Mke ndo amegoma kwa sababu za kibiashara. Mahakama imetoa amri mke ametoroka hajazika mumewe. Na hapo awali mke alishafumaniwa na picha zake zilichafua hali ya hewa kwa mange
UGONI sio kesi kwa sheria za Tanzania. Mwanamke ku chiti hakufuti haki miliki yake ya nyumba ya wanandoa iitwayo Joint Tenancy with Right of Survivorship.Hujaelewa story ww.
Mwanamke kama hana roho mbaya asingehamia kwa huyo jamaa hata wiki tu haijaisha, na inasemekana mwanamke alichangia kumfilisi mmewe akaenda kuwekeza kwa huyo fala
Huo mchongo atakuwa ameutengeneza na mama yakeShetani na mama mkwe wake kabisa