Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
->KWA SABABU HAUTUMII MAPATO YETU YA NDANI,BADALA YAKE UTAKAPOKAMILIKA UTATULETEA MAPATO MAKUBWA / TAFADHALI ULILETEWE WIVU AU FIGISU YOYOTE.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna visionary leader kama JPM aliwapose kwanza ili aimarishe bandari ya Dar pamoja na nyingine sasa bandari zote zipo kwenye matengenezo kabambe ili zikikamilika ziweze compete na hii ya Bagamoyo ila watu hilo hawalioni.
Tungewekeza nguvu zetu zote Bagamoyo ambayo kwa asilimia kubwa itamilikiwa na muwekezaji sisi tunachukua kodi tu na kuziacha bandari zetu kwenye hali ya umauti bado Dangote nae alikua anataka apewe bandari binafsi huu ni upumbavu uliotukuka
In fact bandari ya Tanga itakua ndio bandari kinara katika mapato mengi hivyo serikali itanufaika na bandari zake Bagamoyo itakuwa zaidi na export cargo sababu ya heavy industries capacity itakayokua nayo.
huo mkataba umeuona au ni hesrsay tu..utawala wa JK walisaini mkataba utakaowezesha Tz kuwa na kiasi cha hisa ktk bandari mpya.
..hisa hizo zingepatikana kama serekali ingetoa fedha kulipa wananchi waliopoteza ardhi zao ili kupisha mradi.
..serekali ya Magufuli imeshindwa ku raise pesa za kufidia wananchi na hivyo kupelekea kupoteza hisa za Tz ktk mradi.
..Wachina watamiliki bandari ya Bagamoyo kwa miaka 30++ kabla hawajaikabidhi kwa Tz.
..nina wasiwasi mbele ya safari tutaanza kulalamika kwamba tunaibiwa kutokana na kusaini mkataba mbaya.
NB.
..kama sijakosea aliyeleta mradi huu ni Waziri Mkuu Pinda alipofanya ziara China.
Cc Richard, Nzi
Nyinyi ndo tumewachoka na ukigeugeu wenu bola hawa kijani at least wanajitambua sio nyinyi mnatapatapa kwa kujiharishia na kulamba matapishiNchi haiendeshwi kama vicoba.huwezi kuniambia nishike linalonihusu kama wameshindwa kuongoza wakae pembeni.
CCM imechokwa nchi nzima
....tukusaidiaje ?CCM imechokwa nchi nzima
huo mkataba umeuona au ni hesrsay tu
ndo nini hiki umeongeaNyinyi ndo tumewachoka na ukigeugeu wenu bola hawa kijani at least wanajitambua sio nyinyi mnatapatapa kwa kujiharishia na kulamba matapishi
sihitaji msaada....tukusaidiaje ?
Tuliza nyenge zako !sihitaji msaada
Hata sasa hivi una wasiwasi?..utawala wa JK walisaini mkataba utakaowezesha Tz kuwa na kiasi cha hisa ktk bandari mpya.
..hisa hizo zingepatikana kama serekali ingetoa fedha kulipa wananchi waliopoteza ardhi zao ili kupisha mradi.
..serekali ya Magufuli imeshindwa ku raise pesa za kufidia wananchi na hivyo kupelekea kupoteza hisa za Tz ktk mradi.
..Wachina watamiliki bandari ya Bagamoyo kwa miaka 30++ kabla hawajaikabidhi kwa Tz.
..nina wasiwasi mbele ya safari tutaanza kulalamika kwamba tunaibiwa kutokana na kusaini mkataba mbaya.
NB.
..kama sijakosea aliyeleta mradi huu ni Waziri Mkuu Pinda alipofanya ziara China.
Cc Richard, Nzi
Hata sasa hivi una wasiwasi?
Nikafikri akili zimesombwa na upepo kama kina Yeriko..Ndio nina wasiwasi.
..Sitaridhika kama hatutakuwa na HISA za kutosha ktk mradi huo.
Nikafikri akili zimesombwa na upepo kama kina Yeriko