Bagamoyo Port: Serikali imewapa hisa zote wawekezaji wa Kichina

Bagamoyo Port: Serikali imewapa hisa zote wawekezaji wa Kichina

Mmesoma mkataba wa Hiyo Bandari ya Bagamoyo au mnapayuka tu hapa kama machizi?

kuna vipengele vya huo mkataba ni vya hovyo kabisa....

kimoja kinasema kuwa..." Bandari ya Dar. haitaendelezwa wala kuboreshwa wakati Bandari ya Bagamoyo ikiwa inaoperate"...

sasa vipengele kama hivo mnajua maana yake ni nini? msiwe mnapayuka kwa msiyoyajua, JK. alibakiza kutuuza tu sisi, na ni kwa vile soko letu halikuwepo.
Wewe ndio unapayuka na wala ujasoma mada hii hapa unayocomment .kama mkataba ni mbaya siungifutwa basi badala ya kuachia uendelee na ujinyime ataa hiyo hisa ya kupatia faida zaidi baadae .wewe vipi aisee umechiziki nini !!?? [emoji12] [emoji12] [emoji317]
 
Mama yangu weee,hela ninazo nionyesheni namna gani notanunua hizo hisa za serikali.
 
Mmesoma mkataba wa Hiyo Bandari ya Bagamoyo au mnapayuka tu hapa kama machizi?

kuna vipengele vya huo mkataba ni vya hovyo kabisa....

kimoja kinasema kuwa..." Bandari ya Dar. haitaendelezwa wala kuboreshwa wakati Bandari ya Bagamoyo ikiwa inaoperate"...

sasa vipengele kama hivo mnajua maana yake ni nini? msiwe mnapayuka kwa msiyoyajua, JK. alibakiza kutuuza tu sisi, na ni kwa vile soko letu halikuwepo.
Ujinga ni kumlaumu JK badala ya CCM...... Dhamana ya nchi ilikuwa na bado iko mikononi mwa CCM

Ni upuuzi kumlaumu JK badala ya CCM....... Narudia tena ni upuuzi, upuuzi, upuuzi

Nakamilisha kwa kauli ya mkuu kule Arusha

[HASHTAG]#PumbavuKabisa[/HASHTAG].......

[HASHTAG]#BringBackBenSaanane[/HASHTAG]
 
Kakuongopea nani mchina aache kujenga kwake atuletee sisi?
viwanda vinahama china kwasasa kukimbia running cost,vinahamia vietnam,bangladeshi etc.

Hata hapa watafuata cheap cost,
yaani wanasogeza viwanda karibu na wateja wao wa east and central africa na kwahiyo wanakuwa wamepunguza gharama za usafiri na pia uzalishaji
 
Tatizo la kuificha mikataba kwenye makabati.

Wangeweka wazi tungejua mbivu na mbichi za hii mikataba.
 
Shi
Tatizo la kuificha mikataba kwenye makabati.

Wangeweka wazi tungejua mbivu na mbichi za hii mikataba.
Shida sio mkataba ,shida sirikali ya viwonder haina njuluku au english imekaa kushoto nini?
 
Mmesoma mkataba wa Hiyo Bandari ya Bagamoyo au mnapayuka tu hapa kama machizi?

kuna vipengele vya huo mkataba ni vya hovyo kabisa....

kimoja kinasema kuwa..." Bandari ya Dar. haitaendelezwa wala kuboreshwa wakati Bandari ya Bagamoyo ikiwa inaoperate"...

sasa vipengele kama hivo mnajua maana yake ni nini? msiwe mnapayuka kwa msiyoyajua, JK. alibakiza kutuuza tu sisi, na ni kwa vile soko letu halikuwepo.
Wacha uwongo wewe.
Bandari ya Dar haitoshi kukidhi mizigo ya Tz na nchi jirani kama Malawi, Zambia, Congo, Ruwanda na Birundi. Isitoshe Bagamoyo SEZ ni free port ambayo activities zake nyingi ni Export facilities.

Serikali imeshindwa kulipa mchango wake sababu wakati wa JK aliweza ku secure funds from Oman kwa ajili ya hiyo share lakini Magu kuingia madarakani ameharibu kila kitu
 
Bado nawasiwasi na utekelezaji wa huu Mradi. Sijamsikia Rais akigusia chochote juu ya mipango ya mradi huu hata alipokuwa katika ziara yake ya uzinduzi wa viwanda katika mkoa wa Pwani. Kwa manufaa ya Mradi huu, Rais wetu kamwe asingesita kuelezea chochote juu ya Mradi huu. Bila shaka kuna mengi nyuma ya pazia.

Binafsi naunga mkono Mradi huu hasa kwa upande wa ajira, mapato kwa serikali, kupanuka kwa uzalishaji katika kilimo, viwanda na masoko, ukuaji wa mji wa Bagamoyo na Dar es Salaam, kuongeza ushindani wa utoaji huduma kwa bandari zetu na pengine kupunguza msongamano katikati ya mji wa Dar es Salaam.

Kwa ujumla, iwapo hii mikataba ingeweza kutazamwa upya na kuondoa mapungufu yaliyopo, bado sisi kama Taifa ni wanufaika wakubwa katika mradi huu!
 
Pale Gazeti la kenya tena lenye habari isiyo na vidhibitisho linapotufanya watanzania tunatoleana povu mtandaoni...hakuna ht mmoja alie go deep kudhibitisha hii habari zaidi ya mapovu na lawama...anyway thats how we 'Tanzanian' are good at...Lawama na mipovu...
Huwezi ukasema tume abando project ya 10B dollar kwa 20M dollar...sisi pale by land & water ni wanahisa hata kabla hatuja enject pesa zetu ss watasemaje tumeiachia project?
 
Kisha baada ya miaka kadhaa tunalalamika kuwa tunadhulumiwa.
 
Pale Gazeti la kenya tena lenye habari isiyo na vidhibitisho linapotufanya watanzania tunatoleana povu mtandaoni...hakuna ht mmoja alie go deep kudhibitisha hii habari zaidi ya mapovu na lawama...anyway thats how we 'Tanzanian' are good at...Lawama na mipovu...
Huwezi ukasema tume abando project ya 10B dollar kwa 20M dollar...sisi pale by land & water ni wanahisa hata kabla hatuja enject pesa zetu ss watasemaje tumeiachia project?

Hatutoani mapovu coz tunajua tunachozungumza na baadhi yetu tumeusoma huo mkataba tunachofahamu bandari ya Lamu wangependa hiyo bandari ijengwe kwao hilo gazeti linapiga porojo kwa manufaa yao ya Kenya kwa ufupi ni mradi mzuri utachochea maendeleo ya Bagamoyo pamoja na Dar es Salaam tatizo ni moja tu Bagamoyo haipo Chato ndio maana mradi huu Serikali haupi kipaumbele but ni project nzuri kwetu yenye manufaa.
 
..wengine wanasema ni miaka 50.
Nimeona kule Sri Lanka miaka 99
ebdb5f7ed2abda6811624cab24387412.jpg


Halafu hawa jamaa wezi sana mikataba ya unyonyaji mkuu.

986a8e2d3dd9f7caf7c5676e8da840d4.jpg
 
Mmesoma mkataba wa Hiyo Bandari ya Bagamoyo au mnapayuka tu hapa kama machizi?

kuna vipengele vya huo mkataba ni vya hovyo kabisa....

kimoja kinasema kuwa..." Bandari ya Dar. haitaendelezwa wala kuboreshwa wakati Bandari ya Bagamoyo ikiwa inaoperate"...

sasa vipengele kama hivo mnajua maana yake ni nini? msiwe mnapayuka kwa msiyoyajua, JK. alibakiza kutuuza tu sisi, na ni kwa vile soko letu halikuwepo.
Pia mkataba ni wa kitoto sana hauko wazi ni mikataba ya jikoni.Ni asili mia ngapi serikali ingepata hisa kama mwenye ardhi?
Pili kwanini Kikwete alitaka kuua bandari ya Dar ili kujenga Bagamoyo?
Kuna nini cha zaidi huko Bwagamoyo?Kwanini isiwe kujenga Tanga port ambayo ipo kwenye master plan?
Hivi Kikwete na kutembea kote miaka 6 nje kati ya kumi hawezi hesabu za kikwetu?
Hivi tulivyouzwa utumwani kupitia Bwagamoyo bado tuna mawazo na nia ya kuuzwa China miaka 50 bila kodi au mapato kwa serikali?
Hu ugonjwa wa viongozi wakuu wa serikali kugawa mali ya taifa karibu na bure wanawashwa washwa nini?
 
2020 atakuja kupayuka hisa zote wameachiwa wageni kumbe ukapuku wetu umelazimisha hayo. Pesa zinaenda kuchezewa kununua midege feki
 
Mmesoma mkataba wa Hiyo Bandari ya Bagamoyo au mnapayuka tu hapa kama machizi?

kuna vipengele vya huo mkataba ni vya hovyo kabisa....

kimoja kinasema kuwa..." Bandari ya Dar. haitaendelezwa wala kuboreshwa wakati Bandari ya Bagamoyo ikiwa inaoperate"...

sasa vipengele kama hivo mnajua maana yake ni nini? msiwe mnapayuka kwa msiyoyajua, JK. alibakiza kutuuza tu sisi, na ni kwa vile soko letu halikuwepo.
Una uhakika gani kama hivo vipengele vya kipuuzi vimeondolewa kwenye huo mkataba? Tulishangilia alivosema ujenzi WA bandari huyo usimame tunarenovate Dar port irudi kwenye ubora wake kumbe hakusimamisha kwa kupenda Ni hela hamna?? Sasa hapa inasema wachina wenyew ndo wenye hisa bahati hamjatumbia watafanyia kazi hadi lini ili kiwe Mali ya Tz kikwete alisema kwa miaka50 huu.tukauona upuuzi sasa huyu kakosa hela tumeuza hisa zoote means hatuna umiliki na hatuhusiki kwa lolote Ni Mali ya mchina cc tutakusanya kodi Tu? Je Dar port haitafungwa kwalazima kweli? Hii Ni Mali ya mchina anaweza akashusha garama za kushushia mzigo kule ili kuvutia wateja na msimfanye lolote mwisho mkajikuta Dar port imekosa mvuto mkafunga mazima..mi bado xjaona tofauti ya alichofanya kikwete na anachofanya magufuli kwenye hizi Bandar mbili..mark my words still we are doing nothing as nation tutalaumiana mbele ya safari
 
Back
Top Bottom