Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Why is Tz share holding undisclosed? isije ikawa tutapa 0.001%
- Under a three-way partnership signed with Oman and China in 2013, Tanzania was to get an undisclosed shareholding in the project by dint of raising $28 million for compensating landowners who were to be displaced.
Ikiwa total value of the project ina julikana au inaweza kukadiriwa, kwa nini wahusika wasifanye hesabu ya sehemu ilikujua share holding yetu?Financial constraints have forced Tanzania to miss out on ownership of the $10 billion Bagamoyo Port and Special Economic Zone project.
Wacha uwongo wewe.
Bandari ya Dar haitoshi kukidhi mizigo ya Tz na nchi jirani kama Malawi, Zambia, Congo, Ruwanda na Birundi. Isitoshe Bagamoyo SEZ ni free port ambayo activities zake nyingi ni Export facilities.
Serikali imeshindwa kulipa mchango wake sababu wakati wa JK aliweza ku secure funds from Oman kwa ajili ya hiyo share lakini Magu kuingia madarakani ameharibu kila kitu
Why is Tz share holding undisclosed? isije ikawa tutapa 0.001%
Ikiwa total value of the project ina julikana au inaweza kukadiriwa, kwa nini wahusika wasifanye hesabu ya sehemu ilikujua share holding yetu?
au ndio ilikuwa kama kwenyemikataba mingine ya share za Tz, kuwa nufaisha watu fulani?
Kama JK aliweza kupata hizo fedha kutoka Oman si angezitumia sehemu ya fedha hizo kuwalipa fidia wakazi wa Bagamoyo?