Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BTW, you started this thread in June claiming construction would begin 'next month' which is July. It is September now and your next month is yet to arrive.😀😀😀
Maana JPM alisitisha BagaMoyo kwa mda alipoingia ofisi ya Rais, Aliangalia Mikataba iliyokuwa imetiwa sahihi na kikwete akashtuka! Kandarasi ulikuwa kwamba Tz isipopata pesa zao za kuchangia kwenye mradi, BagaMoyo milele ingemilikiwa na waChina. Hapo ndipo JPM akawambia wachina yeye anataka iwe B.O.T ama sivyo heri atumie hiyo ardhi ya bagamoyo kuchungia mbuzi na ng'ombe zake
ndiyo maana kuna umuhimu wa kuweka mikataba ya wawekezaji peupeee for everyone to read. Hii mikataba inawahusu wananchi, ni ardhi yao, mali yao, why keep confidential? sasa hiyo 999 years ni wendawazimu.
Wait for a shock of ur life! Huku SGR Kenya financing is wanting while Uganda n Rwanda have a change of heart to be openly confirmed with SGR Tanzania third phase launch, kule Lamu port has managed to get less than $100 mln so far!Hii next month haifiki? Basi hii thread ifungwe iwache kudanganya watu. Mods fungeni haka kathread. This is a very useless thread .
Wait for a shock of ur life! Huku SGR Kenya financing is wanting while Uganda n Rwanda have a change of heart to be openly confirmed with SGR Tanzania third phase launch, kule Lamu port has managed to get less than $100 mln so far!