Bagia za dengu maziwa na mayai

Bagia za dengu maziwa na mayai

We jamaa unaenjoy sana kupika na kula unachotaka.

Mimi nikiwaza kupika kinachokuja akilini ni ugali, wali, viazi hapo niwaze mboga sasa ambayo kwakweli sipati jibu la kuridhisha, akili inawaza mboga za ajabu ajabu tu au zinazochukua muda mrefu.

Nisipopata jawabu basi naenda kwa mama ntilie anisaidie majibu siku iishe tu.
 
We jamaa unaenjoy sana kupika na kula unachotaka.

Mimi nikiwaza kupika kinachokuja akilini ni ugali, wali, viazi hapo niwaze mboga sasa ambayo kwakweli sipati jibu la kuridhisha, akili inawaza mboga za ajabu ajabu tu au zinazochukua muda mrefu.

Nisipopata jawabu basi naenda kwa mama ntilie anisaidie majibu siku iishe tu.
Inategemeana na muda pia nahisi siku nikiwa bise sana kuna mambo naona nitshindwa kufanya kabisa
 
ephen_ aliomba nimuonyeshe jinsi ya bagia za dengu zinavyo pikwaa

Nilikuwa na shughuli za hapa napale uku naangalia mpira wa yanga tukashinda uku nanyoosha



Nikawa nawaza chakula jion nikaona bagia kivile ni nyepesi kupika basi nipike
Nikaandaa karoti na hoho
View attachment 3239436
Kisha nikachukua unga wa bagia nikaweks kwenye chombo
View attachment 3239441
Baada ya hapo nukaweka karoti na hoho na kuchanga vizuri
View attachment 3239445
Kisha weka maji kidogo kidogo uji wako hakikisha uji wako haui mzito sana wala mwepesi sana kama hivi
View attachment 3239449
Kisha weka kwenye mafuta tia kidogo kidogo mimi nilitumia kijiko wengine wanatumia mkono kuweka kwenye mafuta moto weka mdogo kabisa ziive pole pole
View attachment 3239453
Baada ya hapo nikachemsha maziwa na mayai sehemu mbilintofauti now nakula karibu
View attachment 3239455
Ulie omba mkate wa mchele kesho nitakupikia muda kesho ninao wakutosha kabisa ila Mama Mwana mkate wako unao utaka ule mgumu kidogo na ugumu unakuja pale jinsi ya kuuoka pia hakuna walaji hapa kwangu
😋😋.....Mkate wa kumimina please
 
Mkuu umeoa?? Kama bado vipi ukioa mke asiejua kupika, ulishawahi kuwaza hilo??
Sijaoa ila chuo nilishawai kuwa na girlfriend ambaye hajui kupika nilikuwa sishibia nakula kumlidhisha tu ikawa akisema anakuja. Anakuta nishapika kazi yek inakuw kuosha vyombo na usafi basi
 
Back
Top Bottom