Mnada wa Mhunze
Senior Member
- Mar 1, 2023
- 168
- 819
Hiiii, tunauzwa kwa nguvuuuuuBahasha nzito zimegawiwa kwa wabunge wote mda huu mjadala muhimu kwa nchi ukiendelea.
....humu ndani tumegawiwa bahasha brother nzito hii issue aisee siamini kama tutatoboa!
Chanzo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bora umtoe sasa hiviBaada ya Mama naomba NIINGIE nirudishe vilivyoibiwa!!
Zipo hiviBahasha nzito zimegawiwa kwa wabunge wote mda huu mjadala muhimu kwa nchi ukiendelea.
....humu ndani tumegawiwa bahasha brother nzito hii issue aisee siamini kama tutatoboa!
Chanzo.
Wanataka kuhamisha upepo wa mjadalaBahasha nzito zimegawiwa kwa wabunge wote mda huu mjadala muhimu kwa nchi ukiendelea.
....humu ndani tumegawiwa bahasha brother nzito hii issue aisee siamini kama tutatoboa!
Chanzo.
Unaambiwa hiyo ndoa hata wanandoa wakifa itadumu tuBaada ya Mama naomba NIINGIE nirudishe vilivyoibiwa!!
Weeeeeee !!!
uongo na uzushi utawauwa nyinyi hivi wakitakankuhonga ndio wataleta hadharaniBahasha nzito zimegawiwa kwa wabunge wote mda huu mjadala muhimu kwa nchi ukiendelea.
....humu ndani tumegawiwa bahasha brother nzito hii issue aisee siamini kama tutatoboa!
Chanzo.
Mimi mzilankende muyango wa kiroho nitakiuka KWA jina la jamhuri ya MUUNGANO wa Tanzania!!Unaambiwa hiyo ndoa hata wanandoa wakifa itadumu tu
Ni barua hizo kwa akili za kawaida hata kama wabunge wanapewa rushwa sio kijinga hivyoBahasha nzito zimegawiwa kwa wabunge wote mda huu mjadala muhimu kwa nchi ukiendelea.
....humu ndani tumegawiwa bahasha brother nzito hii issue aisee siamini kama tutatoboa!
Chanzo.
Hana lolote aliridhia sheria mbovu na hata huu angepitisha kwa kishindoSorry Job Ndugai
Sasa mbona pesa kidogo sana