Don Moen
JF-Expert Member
- Nov 12, 2020
- 1,636
- 3,142
Mkuu una vidole vizuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu una vidole vizuri sana
Kwa wabunge hawa wa hovyo usitarajie ChochoteBahasha nzito zimegawiwa kwa wabunge wote mda huu mjadala muhimu kwa nchi ukiendelea.
....humu ndani tumegawiwa bahasha brother nzito hii issue aisee siamini kama tutatoboa!
Chanzo.
Ndio akili zao zimefikia hapo. Wanadanganyana na kujazana ujinga.Mbona mimi nafuatilia tangu kikao kimeanza sijaona hizo bahasha?? Unapata faida gani kusema uongo?
Wamepewa barua na wala sio pesa na hiyo barua imesomwa hapa live na spika keshatoa ufafanuzi wa huo upuuzi unaoeneaNdio akili zao zimefikia hapo. Wanadanganyana na kujazana ujinga.
🥶🥶🥶Mkuu una vidole vizuri sana
Acha uzushiWacha wauze bandari Mungu mkubwa tutaikomboa kutoka kwa Hawa majangili
Mwarabu Anachukua Bandari Anaweka WaaaBahasha nzito zimegawiwa kwa wabunge wote mda huu mjadala muhimu kwa nchi ukiendelea.
....humu ndani tumegawiwa bahasha brother nzito hii issue aisee siamini kama tutatoboa!
Chanzo.
Bila shaka itakuwa mnofu wa guu la fisi mnono😂😂😂😂Bahasha nzito zimegawiwa kwa wabunge wote mda huu mjadala muhimu kwa nchi ukiendelea.
....humu ndani tumegawiwa bahasha brother nzito hii issue aisee siamini kama tutatoboa!
Chanzo.
Mkuu fanya basi namna gani unisababishie japo li ten hilo we umeshapata bahasha nzito naona
Acha ujinga na uzushi wewe dunia ya leo hakuna mtu wa kugawa rushwa kijinga hivyo wakati mwingine muwe mnatafakari kabla ya kuandikaBahasha nzito zimegawiwa kwa wabunge wote mda huu mjadala muhimu kwa nchi ukiendelea.
....humu ndani tumegawiwa bahasha brother nzito hii issue aisee siamini kama tutatoboa!
Chanzo.
Kama vile hawana uzao aisee.Hawa wanawake spika na mwenzie wanatia kinyaa, hadi naona aibu mimi.
Kwa mujibu wa kifungu kipi cha mkataba?Mnagawana bandari
Ndio maana ninakupendaHawa wanawake spika na mwenzie wanatia kinyaa, hadi naona aibu mimi.
🤣🤣🤣🤣Bahasha nzito zimegawiwa kwa wabunge wote mda huu mjadala muhimu kwa nchi ukiendelea.
....humu ndani tumegawiwa bahasha brother nzito hii issue aisee siamini kama tutatoboa!
Chanzo.