Bahati haijirudii mara mbili, TID huu ndo muda wako

Bahati haijirudii mara mbili, TID huu ndo muda wako

incredible terminator

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2016
Posts
2,498
Reaction score
4,162
Habari wakuu,
Hii mitandao imekuwa ikiwapa watu umaarufu na kisha kuwapoteza, Mara nyingi mtu anaeibuka kuwa Maarufu mtandaoni huwa hategemei kuwa kituko chake kitampa umaarufu bali hutokea tu Gafla kuvuma na kisha kupotea,

Kumekuwa na ibuko kubwa sana la baadhi ya misemo ya watu kwende Viral na kuwapa watu umaarufu kwa mda mfupi na kisha kupotea, Kama mnavyojua mtaji wa pesa ni watu watu wakishakufaham na huu ulimwengu wa Digital unajipatia na pesa nzuri japo kilichotokea bila kutarajia hupotea bila kutarajiwa hivyohivyo.
Mfano kuna vijana Kenya walianzaga kama wanaharakati wafuasi wa Raila Omolo Odinga,
Akina Omoshi, Nuru Okanga, na Onyii,
Na moja ya harakat zao OMOSHI NA ONYII Walitumia kamsemo ka "Wataandamana kutoka mchana na mwenzje ONYII, kampa Back up ya "WENGINE TUNAANZA USIKU, TENA USIKU WA MANANE HADI ASUBUHI,

kamsemo haka kalilipuka na kutrend sana mitandaoni huwez amini hadi sasa vijana hao saiz ni watu maarufu kenya na wameanza kulamba madeal ya Ubalozi wa makampuni mbalimbali, japo umaarufu wao kwa sasa unaelekea kufifia baada ya kujiingiza katika utengenezaji wa Maudhui ile hali umaarufu walioupata haukuwa matika malengo yao.

Kwa sasa ni zam ya TOP IN DAR, Mnyama TID na kingereza chake jamaa kabahatika neno lake kuburst na kwenda viral, saizi mitandaoni challenge ni neno lake "WHY BETWEEN MY INTERVIEW YOUR PASSING ARROUND....IHATE YOU.[emoji16]

Hii ni chance kwake kupiga pesa kupitia hako ka upepo na baada ya hilo neno uhai wake katika sanaa siuoni tena,
Mkumbusheni kuwa chance never come twice. Apepee na huo upepo maana kesho nguvu yake katka sanaa inayeyuka.

Naamini kuna watu ndani ya E Africa walikuwa hawamjui TID ila kupitja hili neno lake lililoburst amejulikana hadi Kenya na kwingineko, Nashauri promoters Invest kwa TID kwa mda mfupi mpeni deal, Mpeni tower ya shows Africa kwa sasa jamaa ana nguvu sana mtaani na baada ya hapo achaneni nae,
So ushari kwake atumie huu upepo ku make something greatest kwa maisha yake.
 
Nimeona Netflix wamepost Trending yake Instagram, halafu pia kuna waigizani wakubwa Uingereza jiliona nao wanafanya hii challenge.. Ninavyomjua jamaa ataanza kuwasumbua watu alipwe kutokana na hiyo trending madai ambayo kimsingi yatamfanya aonekane mpumbavu
 
Habari wakuu,
Hii mitandao imekuwa ikiwapa watu umaarufu na kisha kuwapoteza, Mara nyingi mtu anaeibuka kuwa Maarufu mtandaoni huwa hategemei kuwa kituko chake kitampa umaarufu bali hutokea tu Gafla kuvuma na kisha kupotea,

Kumekuwa na ibuko kubwa sana la baadhi ya misemo ya watu kwende Viral na kuwapa watu umaarufu kwa mda mfupi na kisha kupotea, Kama mnavyojua mtaji wa pesa ni watu watu wakishakufaham na huu ulimwengu wa Digital unajipatia na pesa nzuri japo kilichotokea bila kutarajia hupotea bila kutarajiwa hivyohivyo.
Mfano kuna vijana Kenya walianzaga kama wanaharakati wafuasi wa Raila Omolo Odinga,
Akina Omoshi, Nuru Okanga, na Onyii,
Na moja ya harakat zao OMOSHI NA ONYII Walitumia kamsemo ka "Wataandamana kutoka mchana na mwenzje ONYII, kampa Back up ya "WENGINE TUNAANZA USIKU, TENA USIKU WA MANANE HADI ASUBUHI,

kamsemo haka kalilipuka na kutrend sana mitandaoni huwez amini hadi sasa vijana hao saiz ni watu maarufu kenya na wameanza kulamba madeal ya Ubalozi wa makampuni mbalimbali, japo umaarufu wao kwa sasa unaelekea kufifia baada ya kujiingiza katika utengenezaji wa Maudhui ile hali umaarufu walioupata haukuwa matika malengo yao.

Kwa sasa ni zam ya TOP IN DAR, Mnyama TID na kingereza chake jamaa kabahatika neno lake kuburst na kwenda viral, saizi mitandaoni challenge ni neno lake "WHY BETWEEN MY INTERVIEW YOUR PASSING ARROUND....IHATE YOU.[emoji16]

Hii ni chance kwake kupiga pesa kupitia hako ka upepo na baada ya hilo neno uhai wake katika sanaa siuoni tena,
Mkumbusheni kuwa chance never come twice. Apepee na huo upepo maana kesho nguvu yake katka sanaa inayeyuka.

Naamini kuna watu ndani ya E Africa walikuwa hawamjui TID ila kupitja hili neno lake lililoburst amejulikana hadi Kenya na kwingineko, Nashauri promoters Invest kwa TID kwa mda mfupi mpeni deal, Mpeni tower ya shows Africa kwa sasa jamaa ana nguvu sana mtaani na baada ya hapo achaneni nae,
So ushari kwake atumie huu upepo ku make something greatest kwa maisha yake.
Yani kuna watu mimi toka kitambo wananichekesha tu. MMoja ni TID. Kuna kipindi alikuwa na makasiriko ila kwa miaka kadhaa sasa amekuwa anafurahisha.
 
Wahenga walinenaaaa 🎶
chanda chema huvishwa Peteee🎶
Na Vijembe nikasemwaaa🎶🎶
Ili mradi unikoseee🎶
Si utani unanithamini🎶🎶
Uko tayari tufe woteee🎶
kama ua yachanuaaa🎶
na wenye wivu wajinyongeee🎶

East Africa hapa TID anajulikana sana ni maarufu huyo anakipaji kikubwa ni mauzauza yake tu.
 
Nimeona Netflix wamepost Trending yake Instagram, halafu pia kuna waigizani wakubwa Uingereza jiliona nao wanafanya hii challenge.. Ninavyomjua jamaa ataanza kuwasumbua watu alipwe kutokana na hiyo trending madai ambayo kimsingi yatamfanya aonekane mpumbavu
Neflix ya nchi gani mkuu? Nimesearch sijaona, kama hutojali share link niangalie na mimi.
 
Back
Top Bottom