incredible terminator
JF-Expert Member
- Aug 1, 2016
- 2,498
- 4,162
Habari wakuu,
Hii mitandao imekuwa ikiwapa watu umaarufu na kisha kuwapoteza, Mara nyingi mtu anaeibuka kuwa Maarufu mtandaoni huwa hategemei kuwa kituko chake kitampa umaarufu bali hutokea tu Gafla kuvuma na kisha kupotea,
Kumekuwa na ibuko kubwa sana la baadhi ya misemo ya watu kwende Viral na kuwapa watu umaarufu kwa mda mfupi na kisha kupotea, Kama mnavyojua mtaji wa pesa ni watu watu wakishakufaham na huu ulimwengu wa Digital unajipatia na pesa nzuri japo kilichotokea bila kutarajia hupotea bila kutarajiwa hivyohivyo.
Mfano kuna vijana Kenya walianzaga kama wanaharakati wafuasi wa Raila Omolo Odinga,
Akina Omoshi, Nuru Okanga, na Onyii,
Na moja ya harakat zao OMOSHI NA ONYII Walitumia kamsemo ka "Wataandamana kutoka mchana na mwenzje ONYII, kampa Back up ya "WENGINE TUNAANZA USIKU, TENA USIKU WA MANANE HADI ASUBUHI,
kamsemo haka kalilipuka na kutrend sana mitandaoni huwez amini hadi sasa vijana hao saiz ni watu maarufu kenya na wameanza kulamba madeal ya Ubalozi wa makampuni mbalimbali, japo umaarufu wao kwa sasa unaelekea kufifia baada ya kujiingiza katika utengenezaji wa Maudhui ile hali umaarufu walioupata haukuwa matika malengo yao.
Kwa sasa ni zam ya TOP IN DAR, Mnyama TID na kingereza chake jamaa kabahatika neno lake kuburst na kwenda viral, saizi mitandaoni challenge ni neno lake "WHY BETWEEN MY INTERVIEW YOUR PASSING ARROUND....IHATE YOU.[emoji16]
Hii ni chance kwake kupiga pesa kupitia hako ka upepo na baada ya hilo neno uhai wake katika sanaa siuoni tena,
Mkumbusheni kuwa chance never come twice. Apepee na huo upepo maana kesho nguvu yake katka sanaa inayeyuka.
Naamini kuna watu ndani ya E Africa walikuwa hawamjui TID ila kupitja hili neno lake lililoburst amejulikana hadi Kenya na kwingineko, Nashauri promoters Invest kwa TID kwa mda mfupi mpeni deal, Mpeni tower ya shows Africa kwa sasa jamaa ana nguvu sana mtaani na baada ya hapo achaneni nae,
So ushari kwake atumie huu upepo ku make something greatest kwa maisha yake.
Hii mitandao imekuwa ikiwapa watu umaarufu na kisha kuwapoteza, Mara nyingi mtu anaeibuka kuwa Maarufu mtandaoni huwa hategemei kuwa kituko chake kitampa umaarufu bali hutokea tu Gafla kuvuma na kisha kupotea,
Kumekuwa na ibuko kubwa sana la baadhi ya misemo ya watu kwende Viral na kuwapa watu umaarufu kwa mda mfupi na kisha kupotea, Kama mnavyojua mtaji wa pesa ni watu watu wakishakufaham na huu ulimwengu wa Digital unajipatia na pesa nzuri japo kilichotokea bila kutarajia hupotea bila kutarajiwa hivyohivyo.
Mfano kuna vijana Kenya walianzaga kama wanaharakati wafuasi wa Raila Omolo Odinga,
Akina Omoshi, Nuru Okanga, na Onyii,
Na moja ya harakat zao OMOSHI NA ONYII Walitumia kamsemo ka "Wataandamana kutoka mchana na mwenzje ONYII, kampa Back up ya "WENGINE TUNAANZA USIKU, TENA USIKU WA MANANE HADI ASUBUHI,
kamsemo haka kalilipuka na kutrend sana mitandaoni huwez amini hadi sasa vijana hao saiz ni watu maarufu kenya na wameanza kulamba madeal ya Ubalozi wa makampuni mbalimbali, japo umaarufu wao kwa sasa unaelekea kufifia baada ya kujiingiza katika utengenezaji wa Maudhui ile hali umaarufu walioupata haukuwa matika malengo yao.
Kwa sasa ni zam ya TOP IN DAR, Mnyama TID na kingereza chake jamaa kabahatika neno lake kuburst na kwenda viral, saizi mitandaoni challenge ni neno lake "WHY BETWEEN MY INTERVIEW YOUR PASSING ARROUND....IHATE YOU.[emoji16]
Hii ni chance kwake kupiga pesa kupitia hako ka upepo na baada ya hilo neno uhai wake katika sanaa siuoni tena,
Mkumbusheni kuwa chance never come twice. Apepee na huo upepo maana kesho nguvu yake katka sanaa inayeyuka.
Naamini kuna watu ndani ya E Africa walikuwa hawamjui TID ila kupitja hili neno lake lililoburst amejulikana hadi Kenya na kwingineko, Nashauri promoters Invest kwa TID kwa mda mfupi mpeni deal, Mpeni tower ya shows Africa kwa sasa jamaa ana nguvu sana mtaani na baada ya hapo achaneni nae,
So ushari kwake atumie huu upepo ku make something greatest kwa maisha yake.