Bahati haijirudii mara mbili, TID huu ndo muda wako

Bahati haijirudii mara mbili, TID huu ndo muda wako

Tatizo sijui akili ni nini... Lakini TID ana akili sana... Ila kama alivyosema Lucha tatizo ni mauzauza yake tu.

Nchi hii waendeleza vipaji hawapo wamejaa matapeli washamba tu.
Watu wenye akili nyingi na vipawa vikubwa wana hatari kubwa ya kuharibikiwa maisha kama hawapati proper treatment mfano Chid benz, Ngwair, TID, Feroouz, Nuruel, Godzilla duniani huko tuna mfano wa Whitney Houston
 
Habari wakuu,
Hii mitandao imekuwa ikiwapa watu umaarufu na kisha kuwapoteza, Mara nyingi mtu anaeibuka kuwa Maarufu mtandaoni huwa hategemei kuwa kituko chake kitampa umaarufu bali hutokea tu Gafla kuvuma na kisha kupotea,

Kumekuwa na ibuko kubwa sana la baadhi ya misemo ya watu kwende Viral na kuwapa watu umaarufu kwa mda mfupi na kisha kupotea, Kama mnavyojua mtaji wa pesa ni watu watu wakishakufaham na huu ulimwengu wa Digital unajipatia na pesa nzuri japo kilichotokea bila kutarajia hupotea bila kutarajiwa hivyohivyo.
Mfano kuna vijana Kenya walianzaga kama wanaharakati wafuasi wa Raila Omolo Odinga,
Akina Omoshi, Nuru Okanga, na Onyii,
Na moja ya harakat zao OMOSHI NA ONYII Walitumia kamsemo ka "Wataandamana kutoka mchana na mwenzje ONYII, kampa Back up ya "WENGINE TUNAANZA USIKU, TENA USIKU WA MANANE HADI ASUBUHI,

kamsemo haka kalilipuka na kutrend sana mitandaoni huwez amini hadi sasa vijana hao saiz ni watu maarufu kenya na wameanza kulamba madeal ya Ubalozi wa makampuni mbalimbali, japo umaarufu wao kwa sasa unaelekea kufifia baada ya kujiingiza katika utengenezaji wa Maudhui ile hali umaarufu walioupata haukuwa matika malengo yao.

Kwa sasa ni zam ya TOP IN DAR, Mnyama TID na kingereza chake jamaa kabahatika neno lake kuburst na kwenda viral, saizi mitandaoni challenge ni neno lake "WHY BETWEEN MY INTERVIEW YOUR PASSING ARROUND....IHATE YOU.[emoji16]

Hii ni chance kwake kupiga pesa kupitia hako ka upepo na baada ya hilo neno uhai wake katika sanaa siuoni tena,
Mkumbusheni kuwa chance never come twice. Apepee na huo upepo maana kesho nguvu yake katka sanaa inayeyuka.

Naamini kuna watu ndani ya E Africa walikuwa hawamjui TID ila kupitja hili neno lake lililoburst amejulikana hadi Kenya na kwingineko, Nashauri promoters Invest kwa TID kwa mda mfupi mpeni deal, Mpeni tower ya shows Africa kwa sasa jamaa ana nguvu sana mtaani na baada ya hapo achaneni nae,
So ushari kwake atumie huu upepo ku make something greatest kwa maisha yake.
Nimeshtuka uliposema TID alikuwa hajulikani East Afrika[emoji848]

Mitandao ina faida na athari zake, athari mojawapo ni mtu yeyote kujiandikia chochote anachojisikia. Hii inapelekea leo kwenye muziki tuna vijana waliozaliwa 2000's ndio wanachambua masuala mbalimbali.

Huwezi ukaniambia TID hakufahamika East Afrika halafu nikaamini mwandishi huyu ni mtu mzima anayeufahamu muziki vizuri
 
TID hazimo tu... 🤣🤣 ni chenga sana yule jamaa
Muhuni tu ,tumekaa wote yuko kwao sidhani km kahama.
Tunakula bia Atlanta Bar mpk kunakucha
Mengine sisemi
Kumjua tunajuana sana,ila
nilipohamia kitaa tukawa washkaji
Tid mtu poa tu,sijawai kumuona anapigana au kugombana namtu.
Kaka yake Hafidh sijui km yupo walikua wote mda wote.
Ila wote walikua watu wa amani sana.
 
Muhuni tu ,tumekaa wote yuko kwao sidhani km kahama.
Tunakula bia Atlanta Bar mpk kunakucha
Mengine sisemi
Kumjua tunajuana sana,ila
nilipohamia kitaa tukawa washkaji
Tid mtu poa tu,sijawai kumuona anapigana au kugombana namtu.
Kaka yake Hafidh sijui km yupo walikua wote mda wote.
Ila wote walikua watu wa amani sana.
2019 alipigana akapigwa vibaya, unataka kutudanganya
 

Attachments

  • Screenshot_20240503-135546.png
    Screenshot_20240503-135546.png
    614.3 KB · Views: 5
Back
Top Bottom