Watu wenye akili nyingi na vipawa vikubwa wana hatari kubwa ya kuharibikiwa maisha kama hawapati proper treatment mfano Chid benz, Ngwair, TID, Feroouz, Nuruel, Godzilla duniani huko tuna mfano wa Whitney HoustonTatizo sijui akili ni nini... Lakini TID ana akili sana... Ila kama alivyosema Lucha tatizo ni mauzauza yake tu.
Nchi hii waendeleza vipaji hawapo wamejaa matapeli washamba tu.
Hadi mi nimeshangaa sana ujue 😂😂😂🙌🙌🙌Neflix ya nchi gani mkuu? Nimesearch sijaona, kama hutojali share link niangalie na mimi.
Q chief alimjaza mwenzake...nae akajaa😅😅😅😅TID Kigogo, anasema alikuwa anafanya mazoezi ya vocal pale Coco Beach mpaka watu wa Unguja(Zanzibar)wanamsikia.
Inatosha watoto wadogo
Mtu akiwa kwenye 40s ana uzee gani?daaaaah ila naona huyo jamaa na mwenzie yule mlalamishi kama vile uzee una wanyemelea
TID ana kipaji cha uchekeshaji tangu kitambo yupo hivyo hivyo! Hajadata wala nini!TID hazimo tu... 🤣🤣 ni chenga sana yule jamaa
Watoto wadogo hao!Thank you, bora nimeiona hii comment maana nilikua nasoma uzi namshangaa mtoa mada, maelezo mareeeeefu kumbe hamjui TID Mnyama na misemo yake
Ndo shida ya kumiliki smartphone uzeeni
PositiveHow? Are you sure man?
Nimeshtuka uliposema TID alikuwa hajulikani East Afrika[emoji848]Habari wakuu,
Hii mitandao imekuwa ikiwapa watu umaarufu na kisha kuwapoteza, Mara nyingi mtu anaeibuka kuwa Maarufu mtandaoni huwa hategemei kuwa kituko chake kitampa umaarufu bali hutokea tu Gafla kuvuma na kisha kupotea,
Kumekuwa na ibuko kubwa sana la baadhi ya misemo ya watu kwende Viral na kuwapa watu umaarufu kwa mda mfupi na kisha kupotea, Kama mnavyojua mtaji wa pesa ni watu watu wakishakufaham na huu ulimwengu wa Digital unajipatia na pesa nzuri japo kilichotokea bila kutarajia hupotea bila kutarajiwa hivyohivyo.
Mfano kuna vijana Kenya walianzaga kama wanaharakati wafuasi wa Raila Omolo Odinga,
Akina Omoshi, Nuru Okanga, na Onyii,
Na moja ya harakat zao OMOSHI NA ONYII Walitumia kamsemo ka "Wataandamana kutoka mchana na mwenzje ONYII, kampa Back up ya "WENGINE TUNAANZA USIKU, TENA USIKU WA MANANE HADI ASUBUHI,
kamsemo haka kalilipuka na kutrend sana mitandaoni huwez amini hadi sasa vijana hao saiz ni watu maarufu kenya na wameanza kulamba madeal ya Ubalozi wa makampuni mbalimbali, japo umaarufu wao kwa sasa unaelekea kufifia baada ya kujiingiza katika utengenezaji wa Maudhui ile hali umaarufu walioupata haukuwa matika malengo yao.
Kwa sasa ni zam ya TOP IN DAR, Mnyama TID na kingereza chake jamaa kabahatika neno lake kuburst na kwenda viral, saizi mitandaoni challenge ni neno lake "WHY BETWEEN MY INTERVIEW YOUR PASSING ARROUND....IHATE YOU.[emoji16]
Hii ni chance kwake kupiga pesa kupitia hako ka upepo na baada ya hilo neno uhai wake katika sanaa siuoni tena,
Mkumbusheni kuwa chance never come twice. Apepee na huo upepo maana kesho nguvu yake katka sanaa inayeyuka.
Naamini kuna watu ndani ya E Africa walikuwa hawamjui TID ila kupitja hili neno lake lililoburst amejulikana hadi Kenya na kwingineko, Nashauri promoters Invest kwa TID kwa mda mfupi mpeni deal, Mpeni tower ya shows Africa kwa sasa jamaa ana nguvu sana mtaani na baada ya hapo achaneni nae,
So ushari kwake atumie huu upepo ku make something greatest kwa maisha yake.
Na msemo wake wa Watoto wadogoT.I..d ndo bigwa wa misemo labda kama umemjua Jana
Ni yeye
Kokoto
Kama inakuja alafu inakataa
Maokoto
Mnyama
....ect
Kokoto kama ya Lucas Mkenda (Mr Nice)🤣🤣🤣🤣, kokoto ni ji supa blaki"nipige kokoto niwanyooshe watoto wadogo"
Kokoto ni style ya nywele. Hapo alikuwa ananyolewa saloon ndio akasema hivyo
Akisaidiwa na Lucas Mkenda....Mr. NiceKokoto ni kuweka super black yeye ndo muanzilishi kweli.
Muhuni tu ,tumekaa wote yuko kwao sidhani km kahama.TID hazimo tu... 🤣🤣 ni chenga sana yule jamaa
2019 alipigana akapigwa vibaya, unataka kutudanganyaMuhuni tu ,tumekaa wote yuko kwao sidhani km kahama.
Tunakula bia Atlanta Bar mpk kunakucha
Mengine sisemi
Kumjua tunajuana sana,ila
nilipohamia kitaa tukawa washkaji
Tid mtu poa tu,sijawai kumuona anapigana au kugombana namtu.
Kaka yake Hafidh sijui km yupo walikua wote mda wote.
Ila wote walikua watu wa amani sana.
Neflix ya nchi gani mkuu? Nimesearch sijaona, kama hutojali share link niangalie na mimi.
Sema walimvamia ,sio mtu wa ugomvi yule ni mtoto wa mjini tu.2019 alipigana akapigwa vibaya, unataka kutudanganya